Mtazamo wako una leta ladha ya ukweli, mara nyingi tajiri hajitambulishi yeye kama ni tajiri hadi pale tu atapokuwa na uwezo wa kurudisha kile anachokipata kwa wahitaji wengine bila kutegemea return ya chochote hicho ndicho kipimo cha utajiri.Tajiri hajisemi huwa unaona vitendo tu
Haya tajiri wa jf tumekusikia na domo zege lako
Kaka angu ndio maana nasema huwa hawasemi wapo kimya kama wewe hapo utakuta bonge la tajiri upo zako kimya tu hawa maneno mengi hakuna kitu kabisaSasa hapa tunatumia ID fake utamuonaje huyo tajiri kwa vitendo? hebu nipe elimu Dada.
Asante mkuu tupo pamojaMtazamo wako wako una leta ladha ya ukweli, mara nyingi tajiri hajitambulishi yeye kama ni tajiri hadi pale tu atapokuwa na uwezo wa kurudisha kile anachokipata kwa wahitaji wengine bila kutegemea return ya chichote hicho ndicho kipimo cha utajiri.
Mfano mzuri Bill Gate na wengineo wanalitambua hilo.
Na ni nani anapenda kuwahonga kazi wanawake weupe weupe? πNani anatembea na mkuu wa wilaya ya kisarawe
Mkuu tambua kwamba utajiri ni relative term, inategemea unajilinganisha na watu gani. Mfano, mimi nikipita mtaani na ki-passo changu kuna watu huwa wananiita tajiri. Kwa hiyo acha watu wengine waku-judge, siyo wewe mwenyewe kujipa sifa ya utajiri...Kweli kabisa wana roho za ajabu sana....
lakini pia nadhani jamii yetu ina watu wana dhiki sana....manake ukisema tu ww ni tajiri watu wanapata hasira kali automatically wanakuchukia.....
mm nimezungumzia facts halisi nilizokutana nazo mlimani city...
na jinsi ambavyo nilivyo muoga kutongoza kwenye kadamnasi....
sijaongeza kitu wala sijapunguza kitu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanaowezaga kutongoza wanawake hovyo hovyo ni watu wa hali ya chini hasa wauza urembo,mitumba nk.....wana maneno kama cherehani....mm binafsi mpaka nimwambie mwanamke nakupenda....nikama vile nimebeba na kutua lori la mchanga...
Uko vizuri TajirSiweki hela nyingi bank siku hizi....
regime haitabiriki hii....
but siwezi kuwa na USD cash below dola laki mbili
Ulioandika ni kweli lakini hali mtaani ni tofauti kabisa. Wanawake wanaangalia mzigo kwanza then mambo mengine ndio yanafuatiaUsisahau CHARACTER/PERSONALITY & INTELLECT .
Wakaka huwa mnadhani we are all empty boxes tunajazwa kwa material things na muonekano wa mwanaume tu ila trust me......for a lot of us, utakapofungua mdomo kuzungumza ndo tunajua kama ni NDIO au HAPANA.
Vijana wana hasira kitaani hali mbaya, alafu wewe unawaringishia na utajiri wako wa Mcity lazima wakuchukie tuKweli kabisa wana roho za ajabu sana....
lakini pia nadhani jamii yetu ina watu wana dhiki sana....manake ukisema tu ww ni tajiri watu wanapata hasira kali automatically wanakuchukia.....
mm nimezungumzia facts halisi nilizokutana nazo mlimani city...
na jinsi ambavyo nilivyo muoga kutongoza kwenye kadamnasi....
sijaongeza kitu wala sijapunguza kitu...
Hakika kabisa mkuu,, na Hiyo good looking ndy imebeba personality Mkuu.Usisahau CHARACTER/PERSONALITY & INTELLECT .
Wakaka huwa mnadhani we are all empty boxes tunajazwa kwa material things na muonekano wa mwanaume tu ila trust me......for a lot of us, utakapofungua mdomo kuzungumza ndo tunajua kama ni NDIO au HAPANA.
mkuu samahani nashida na wewe,pm haifungukiHabari zenu.....
Leo nataka tushee kitu kimoja, sisi matajiri hakika ni waoga kweli kutongoza mwanamke uliyempenda kwa mara ya kwanza public.....!!!
Hasa pale anapokuwa hakufahamu.....!
kwamfano juzi nilikuwa pale mlimani city shopping
nikajitutumua kumtongoza mtoto mmoja mzuri....alikuwa haelekei kabisa...
nikachomekea zaidi akanipa jibu bovu
nikajikuta nipo samaki samaki napiga grants nilipotoka pale nikapanda gari hme....
ndio maana nikitaka mwanamke hasa nikiwa public/ kwenye watu wengi natumiaga manyoka/wapambe.....
kuepusha aibu na mawazo yasiyo na mpango...
karibu kwa maoni...
Tangu lini matajiri wakanywa grants mkuu?nikajitutumua kumtongoza mtoto mmoja mzuri....alikuwa haelekei kabisa...
nikachomekea zaidi akanipa jibu bovu
nikajikuta nipo samaki samaki napiga grants nilipotoka pale nikapanda gari hme....
Ndo maana sikujumuisha Mzee Kigogo maana gold diggers wapo na watazidi kuwepo. Hii ni kwa wale tu ambao wanahitaji true partnership/companionship na sio watu wakuwalipia bills na kuwawezesha kuishi mjini. Ikitokea mkahitaji kusaidiana mbeleni sawa.....lakini sio first priority.Ulioandika ni kweli lakini hali mtaani ni tofauti kabisa. Wanawake wanaangalia mzigo kwanza then mambo mengine ndio yanafuatia