Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wiz Khalifa amemaliza hatuna la kuongeza.Je mwenzetu huyu anayelilia kuwekwa kwenye list ya wanamuziki matajiriView attachment 1845521
Mkuu nadhani Kaunda ni vazi la kisoshalistiHivi kwa Nn Sijawahi kuona Viongozi Wa Nchi za magharibi na Marekani wakivaa Kaunda Suti kama walivyo Viongozi Wa Kiafrika?
Kwa Hyo Waafrica Ndio Washoshalist?Mkuu nadhani Kaunda ni vazi la kisoshalisti
Bidhaa zenye brand kubwa zinaleta heshima kutokana na kuaminika kwa brand yenyewe, mfano 'swiss made', Mercedes Benz n.k.Kuna kutovaa labels (brand) na kuficha labels, vinginevyo awe amelipwa…. sisi kwetu ni sifa ila kwa wenzenu ni biashara.
Jifunzeni hizo tofauti kwanza.
Mwenzetu huyu muongomuongo sana, anafahamika kwa kuongeza 0. Mtaalamu wa kuwashika mapembe wale raia wanyonge wa fikraJe mwenzetu huyu anayelilia kuwekwa kwenye list ya wanamuziki matajiriView attachment 1845521
Watu wenye hela si ndio matajirisijui mada zenu mnaokota wapi ?
hebu weka picha za matajiri ya afrika
tuwalinganishe na matajari ya ulaya
hata hivyo afrika hakuna matajiri kuna watu wenye hela
Bidhaa zenye brand kubwa zinaleta heshima kutokana na kuaminika kwa brand yenyewe, mfano 'swiss made', Mercedes Benz n.k.
Hata 'huko kwao' kuva labels ni sifa pia, inakua biashara pale ambapo tu kampuni inaweza kufaidika kibiashara endapo mtu maarufu atavaa brand husika!
Sahihi kabisa.Hicho ndicho hasa pointi yangu, mtu tajiri hahitaji heshima ya namna hiyo ya kupaisha brand za watu bila kulipwa… hata akitumia bidhaa zao lakini hatoruhusu label ionekane kwa maana ni promo tosha na itatumika kibiashara.
Boziboziana ni tajiri?we ni mgeni wa wakongo?
Mzee Bozi Boziana amevaa track suit ya Christian Dior lakini Bill Gate, Mark Zuckerbergs hata Jeff wa Amazon huvaa nguo za kawaida sana.
kumbe wewe ni fans mwenzangu wa Lionel RichieSijawahi kumuona Lionel Richie amevaa lable kubwa tena ionekane hivi.