Kwani bozi boziana ni tajiri wa africa, huyu si mwanamuziki, tena mkongomani, hii ni tabia ya wasanii karibia woote duniani.
Matajiri afrika ni kina dangote.
Usiseme wasanii karibu wote duniani, sema wasanii washamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani bozi boziana ni tajiri wa africa, huyu si mwanamuziki, tena mkongomani, hii ni tabia ya wasanii karibia woote duniani.
Matajiri afrika ni kina dangote.
mi nadhani ungesema waafrika kwa ujumla ndo tuna hulka hiyo! angalia wanamuziki wa kimarekani alafu angalia wanamuziki wazungu ndani ya marekani hiyo hiyo!!
Utaona wanamuzik mweusi anamiliki gari kama 100 hivi wakati wakizungu ana gari zake chache tu!! It is in our blood broo!! sisi waafrika ni selfish sana
Jamani waafrika tukose rangi,sura,hata kuvaa? Acheni watu watupie
Hizo hizo za brand kubwa kubwa sema si tunapiga fake🤣🤣Na nyie maskini wa africa mnapendelea kuvaa nguo gani kulinganisha na maskini wa Ulaya?
I second you my dear! Life is too short to wear ugly stuffs! Wacha tupambane ila siku migodi ikitema basi tutakuwa tunapia vitu vya hatari.Hata mi nikiwa nazo ntavaa, nyi binadamu sio watu wakuwasikiliza...
kila mtu anavipaumbele vyake, niache kuvaa Versace kisa Elon yoko havai [emoji28][emoji28] We only live once, live your one life the way you want to...
Sent using Jamii Forums mobile app
yani itakua ni Gucci / Versace Fendi Handbag za Bvlgari yani Expensive stuffsI second you my dear! Life is too short to wear ugly stuffs! Wacha tupambane ila siku migodi ikitema basi tutakuwa tunapia vitu vya hatari.
Bila kusahau perfumeyani itakua ni Gucci / Versace Fendi Handbag za Bvlgari yani Expensive stuffs
Mambo ya Acqua Di Gio By Giorgio ArmaniBila kusahau perfume
Ntaachana na hizi za sasa nianze kutumia creed nk