Habari wadau.
Hivi wahindi na waarabu wanatumia mbinu gani ya kumaliza mirathi zao bila ugomvi na huku watoto wanazaa wengi na waarab wanaoa wake wengi.
Vifo vya mabilionea wa kitanzania wenye asili ya kihindi na kiarab ni vingi ila hatusikii wakigombea mali zao
Ila sisi weusi kila tajiri akifa tu lazima seke seke tuzisikie za kugombea mali.
Mfano mengi, mama getrude lwakatare, bilionea msuya, viki kamata na mumewe, etc etc
Ni ujanja gani wanatuzidi waarab kama ni elimu mbona shule za ukweli na vyuo vya majuu ambavyo watoto wa matajiri wahindi na waarab wanasoma hizo hizo pia watoto wa matajiri weusi ila bado wanagombea mirathi kila leo
Hivi wahindi na waarabu wanatumia mbinu gani ya kumaliza mirathi zao bila ugomvi na huku watoto wanazaa wengi na waarab wanaoa wake wengi.
Vifo vya mabilionea wa kitanzania wenye asili ya kihindi na kiarab ni vingi ila hatusikii wakigombea mali zao
Ila sisi weusi kila tajiri akifa tu lazima seke seke tuzisikie za kugombea mali.
Mfano mengi, mama getrude lwakatare, bilionea msuya, viki kamata na mumewe, etc etc
Ni ujanja gani wanatuzidi waarab kama ni elimu mbona shule za ukweli na vyuo vya majuu ambavyo watoto wa matajiri wahindi na waarab wanasoma hizo hizo pia watoto wa matajiri weusi ila bado wanagombea mirathi kila leo