Matajiri wakubwa Tanzania hawana msaada wowote kwa jamii zaidi ya kuinyonya

Matajiri wakubwa Tanzania hawana msaada wowote kwa jamii zaidi ya kuinyonya

🟦Mimi nimeandika hivi 👇👇
"Ili ufanikiwe Lazima utatue matatizo ikiwemo matatizo ya masikini"

NB: Zingatia neno "IKIWEMO" , Naona
kama unatafuta ubishi ambao
haupo..

Uko sahihi Hedges funds wao wanasolve Tatizo la Matajiri
👇👇👇View attachment 3150519
Lakini most of Richest man Wanasolve pia matatizo ya masikini Njaa, Magonjwa, Ukosefu wa Elimu, Taraka sababu ya hali ngumu, Matatizo ya kusaikolojia n.k

Wanakuja na njia ya kusaidia masikini ila kwa kulipwa kiasi kidogo ambacho kikikusanywa kwa wingi ndio faida yenyewe mkuu ...!!
Acha maelezo mengi... hapo uliposema wanasolve matatizo ya matajiri was enough......
Huhitaji kuchanganua hao matajiri wanasolve nini, kuna wengine ni majizi ya mali za umma wanatupia hela zao huko
 
Acha maelezo mengi... hapo uliposema wanasolve matatizo ya matajiri was enough......
Huhitaji kuchanganua hao matajiri wanasolve nini, kuna wengine ni majizi ya mali za umma wanatupia hela zao huko
HA!HA!HA
 
Nimekaa nakatafakari sana juu ya social benefits tunazopata kama jamii kutoka kwa Hawa tunaowaita businesses bundit wa hapa nyumbani.

Kuanzia kwa Mohamed Dewj, Salim Bakhresa, Assas na wengine wengi hawana msaada wa moja kwa moja kwa jamii zaidi. Hivi kweli hizo Foundation wanazoanzisha mfamo Mo foundation imesaidia vijana wangapi kimasomo kama siyo uhuni tu.

Hawawazi kurudisha kwenye jamii kile wanachochukua japo kwa uchache kupitia huduma za afya ama elimu. Mabilioni wanayoyachukua kupitia biashara jamii haipati chochote zaidi ya ajira za ujira mdogo kwa vijana kwenye viwanda vyao.

Hawa matajiri wanatakiwa wasaport elimu kwa kutoa ufadhiri wa masomo angalau kwa vijana wachache, watoe pesa kwa ajili ya matibabu kwa wazee ama lishe kwa watoto na siyo kuchukua tu na kujimilikisha. Wenzako nchi nyingine wanatoa saport kubwa kwenye mambo ya kijamii.

Tunataka kuona mchango wa moja kwa moja wa wafanyabiashara wakubwa kwenye afya, elimu na huduma zingine na siyo kuhusika kwenye michezo na sekta ya entertainment pekee.
Asas n mzawa wa iringa...umewahii kufika iringa?????..…..
 
Nimekaa nakatafakari sana juu ya social benefits tunazopata kama jamii kutoka kwa Hawa tunaowaita businesses bundit wa hapa nyumbani.

Kuanzia kwa Mohamed Dewj, Salim Bakhresa, Assas na wengine wengi hawana msaada wa moja kwa moja kwa jamii zaidi. Hivi kweli hizo Foundation wanazoanzisha mfamo Mo foundation imesaidia vijana wangapi kimasomo kama siyo uhuni tu.

Hawawazi kurudisha kwenye jamii kile wanachochukua japo kwa uchache kupitia huduma za afya ama elimu. Mabilioni wanayoyachukua kupitia biashara jamii haipati chochote zaidi ya ajira za ujira mdogo kwa vijana kwenye viwanda vyao.

Hawa matajiri wanatakiwa wasaport elimu kwa kutoa ufadhiri wa masomo angalau kwa vijana wachache, watoe pesa kwa ajili ya matibabu kwa wazee ama lishe kwa watoto na siyo kuchukua tu na kujimilikisha. Wenzako nchi nyingine wanatoa saport kubwa kwenye mambo ya kijamii.

Tunataka kuona mchango wa moja kwa moja wa wafanyabiashara wakubwa kwenye afya, elimu na huduma zingine na siyo kuhusika kwenye michezo na sekta ya entertainment pekee.
Tafuta hela uje utekeleze hivyo vipaumbele vyako. Sio kupangia watu wengine mambo ambayo sio vipaumbele vyao.
 
UMASKINI NI LAANA. Mleta mada ni zaidi ya mpuuzi. Wewe na ukoo wako mmekatazwa kuwa matajiri? Kwa akili kama hizi bado safari ni ndefu kama nchi.
Mkuu wewe huelewi mifumo ya maisha ndiyo maana unanishangaa
 
lakini wanalipa kodi kwa urefu wa kamba zao. Waulize wakusanya kodi wanazitumiaje!! Ngoma ipo hapo
 
Back
Top Bottom