Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Tupo kwenye ulimwengu wa kibepari, wenye nazo ndio wanaojenga viwanda na kutuajiri sisi masikini, tangu lini uliona tajiri kaajiriwa?Vijana mnapopenda kutawaliwa na kulishwa bure kama ma gigolo.
Akulishe , akuajiri akupe mke wakati wewe unafanya nini?