The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Poa ila wewe ni kati ya member ambao nawakubali sana.Insha'Allah kheri ustaadh
Heshima kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa ila wewe ni kati ya member ambao nawakubali sana.Insha'Allah kheri ustaadh
Likewise 😊Poa ila wewe ni kati ya member ambao nawakubali sana.
Heshima kwako.
Kwanza nikiona post zako namkumbuka kahtaanPoa ila wewe ni kati ya member ambao nawakubali sana.
Heshima kwako.
Riches rules over the poor. Ulitaka wakusaidie nini wakati wao ili wawe matajiri lazima wahakikishe unakuwa kapuku.Nimekaa nakatafakari sana juu ya social benefits tunazopata kama jamii kutoka kwa Hawa tunaowaita businesses bundit wa hapa nyumbani.
Kuanzia kwa Mohamed Dewj, Salim Bakhresa, Assas na wengine wengi hawana msaada wa moja kwa moja kwa jamii zaidi. Hivi kweli hizo Foundation wanazoanzisha mfamo Mo foundation imesaidia vijana wangapi kimasomo kama siyo uhuni tu.
Hawawazi kurudisha kwenye jamii kile wanachochukua japo kwa uchache kupitia huduma za afya ama elimu. Mabilioni wanayoyachukua kupitia biashara jamii haipati chochote zaidi ya ajira za ujira mdogo kwa vijana kwenye viwanda vyao.
Hawa matajiri wanatakiwa wasaport elimu kwa kutoa ufadhiri wa masomo angalau kwa vijana wachache, watoe pesa kwa ajili ya matibabu kwa wazee ama lishe kwa watoto na siyo kuchukua tu na kujimilikisha. Wenzako nchi nyingine wanatoa saport kubwa kwenye mambo ya kijamii.
Itachukua miaka mingi kupata tajiri aina ya Mengi alitoa misaada bila kujali itikadi za kidini sio km hawa wanaogawa pesa kwenye msikiti wa kwa mtoro.Umesema kweli...
Nlishuhudia watoto wa Bakharesa wakiendesha Gari za kifahari hapa Bongo.
Kuna haja ya kuwakumbusha waige Mfano watajiri Mengi
Acha wivu uende mbinguni,,,kama baba yako alikuwa anaishia kukaa kwenye ubanda na kunywa mnazi shauri yako!!!,,,kwani mtoto wa baresa kuendesha gari ya kifahari inakuuma niini??? wewe panya buku nini,,,"ACHA WIVU"Nimekaa nakatafakari sana juu ya social benefits tunazopata kama jamii kutoka kwa Hawa tunaowaita businesses bundit wa hapa nyumbani.
Kuanzia kwa Mohamed Dewj, Salim Bakhresa, Assas na wengine wengi hawana msaada wa moja kwa moja kwa jamii zaidi. Hivi kweli hizo Foundation wanazoanzisha mfamo Mo foundation imesaidia vijana wangapi kimasomo kama siyo uhuni tu.
Hawawazi kurudisha kwenye jamii kile wanachochukua japo kwa uchache kupitia huduma za afya ama elimu. Mabilioni wanayoyachukua kupitia biashara jamii haipati chochote zaidi ya ajira za ujira mdogo kwa vijana kwenye viwanda vyao.
Hawa matajiri wanatakiwa wasaport elimu kwa kutoa ufadhiri wa masomo angalau kwa vijana wachache, watoe pesa kwa ajili ya matibabu kwa wazee ama lishe kwa watoto na siyo kuchukua tu na kujimilikisha. Wenzako nchi nyingine wanatoa saport kubwa kwenye mambo ya kijamii.
Mkuu wao wa unyonyaji ni LumumbaNimekaa nakatafakari sana juu ya social benefits tunazopata kama jamii kutoka kwa Hawa tunaowaita businesses bundit wa hapa nyumbani.
Kuanzia kwa Mohamed Dewj, Salim Bakhresa, Assas na wengine wengi hawana msaada wa moja kwa moja kwa jamii zaidi. Hivi kweli hizo Foundation wanazoanzisha mfamo Mo foundation imesaidia vijana wangapi kimasomo kama siyo uhuni tu.
Hawawazi kurudisha kwenye jamii kile wanachochukua japo kwa uchache kupitia huduma za afya ama elimu. Mabilioni wanayoyachukua kupitia biashara jamii haipati chochote zaidi ya ajira za ujira mdogo kwa vijana kwenye viwanda vyao.
Hawa matajiri wanatakiwa wasaport elimu kwa kutoa ufadhiri wa masomo angalau kwa vijana wachache, watoe pesa kwa ajili ya matibabu kwa wazee ama lishe kwa watoto na siyo kuchukua tu na kujimilikisha. Wenzako nchi nyingine wanatoa saport kubwa kwenye mambo ya kijamii.
huku bara aliko hakuna wazeeBakhressa zanzibar ana wazee wengi anawalipa 300k kwa mwezi km posho la uzeeni
Bakhressa zanzibar ana wazee wengi anawalipa 300k kwa mwezi km posho la uzeeni
Mie kuna mtu wa bank aliniambia ndio huwa wanawawekea hizoNi kweli huwa anawapa Ila sio icho kiwango ulichoandika
Mkuu ni suala la kueleweshana Wala si kwa Nia mbaya. Sijaomba mtu Hela na Wala si mnyonge kihivyo kama unavyonifikria. Naposema uwajibikaji wa Hawa wafanya biashara wakubwa sijasema watoe pesa mikononi kwa watu ila Nina maanisha wachangie kwenye huduma kama afya elimu ili warudishe fadhira kwa jamii inayotumia bidhaa zao.Acha wivu uende mbinguni,,,kama baba yako alikuwa anaishia kukaa kwenye ubanda na kunywa mnazi shauri yako!!!,,,kwani mtoto wa baresa kuendesha gari ya kifahari inakuuma niini??? wewe panya buku nini,,,"ACHA WIVU"
Ilikuwa 20K na sio wazee wote . baadhi yao.Mie kuna mtu wa bank aliniambia ndio huwa wanawawekea hizo
Basi kanidanganya 🤣
ni afya jiunge na bima ya afya,kama ni elimu,serikali inatoa elimu bure kuanzia shule za msingi mpaka sekondari,na huko vyuoni kuna mikopo ya serikali"ACHA WIVU"Mkuu ni suala la kueleweshana Wala si kwa Nia mbaya. Sijaomba mtu Hela na Wala si mnyonge kihivyo kama unavyonifikria. Naposema uwajibikaji wa Hawa wafanya biashara wakubwa sijasema watoe pesa mikononi kwa watu ila Nina maanisha wachangie kwenye huduma kama afya elimu ili warudishe fadhira kwa jamii inayotumia bidhaa zao.
Wewe jamaa hauko sawa upstairskama
ni afya jiunge na bima ya afya,kama ni elimu,serikali inatoa elimu bure kuanzia shule za msingi mpaka sekondari,na huko vyuoni kuna mikopo ya serikali"ACHA WIVU"
wewe ndio chizi!!! unategemea akina MO wakulishie familia yako??? sasa mimi na wewe nani chizi?Wewe jamaa hauko sawa upstairs
mafao ya wenza wa viongozi wastaafu ni kufuru.Hakuna aliyekatazwa kuwa tajiri na nadhani cha kuwauliza ni kama wanalipa kodi stahiki. Kama wanalipa then kinachobaki ni jukumu la hao wanaonunua V8 mpya Ila vyoo vya madarasa tunasubiri ufadhili wa marekani
Wewe ni hasara kwa taifa zimawewe ndio chizi!!! unategemea akina MO wakulishie familia yako??? sasa mimi na wewe nani chizi?