Matajiri wakubwa Tanzania hawana msaada wowote kwa jamii zaidi ya kuinyonya

Matajiri wakubwa Tanzania hawana msaada wowote kwa jamii zaidi ya kuinyonya

Nimekaa nakatafakari sana juu ya social benefits tunazopata kama jamii kutoka kwa Hawa tunaowaita businesses bundit wa hapa nyumbani.

Kuanzia kwa Mohamed Dewj, Salim Bakhresa, Assas na wengine wengi hawana msaada wa moja kwa moja kwa jamii zaidi. Hivi kweli hizo Foundation wanazoanzisha mfamo Mo foundation imesaidia vijana wangapi kimasomo kama siyo uhuni tu.

Hawawazi kurudisha kwenye jamii kile wanachochukua japo kwa uchache kupitia huduma za afya ama elimu. Mabilioni wanayoyachukua kupitia biashara jamii haipati chochote zaidi ya ajira za ujira mdogo kwa vijana kwenye viwanda vyao.

Hawa matajiri wanatakiwa wasaport elimu kwa kutoa ufadhiri wa masomo angalau kwa vijana wachache, watoe pesa kwa ajili ya matibabu kwa wazee ama lishe kwa watoto na siyo kuchukua tu na kujimilikisha. Wenzako nchi nyingine wanatoa saport kubwa kwenye mambo ya kijamii.
Riches rules over the poor. Ulitaka wakusaidie nini wakati wao ili wawe matajiri lazima wahakikishe unakuwa kapuku.
 
Umesema kweli...
Nlishuhudia watoto wa Bakharesa wakiendesha Gari za kifahari hapa Bongo.

Kuna haja ya kuwakumbusha waige Mfano watajiri Mengi
Itachukua miaka mingi kupata tajiri aina ya Mengi alitoa misaada bila kujali itikadi za kidini sio km hawa wanaogawa pesa kwenye msikiti wa kwa mtoro.
 
Nimekaa nakatafakari sana juu ya social benefits tunazopata kama jamii kutoka kwa Hawa tunaowaita businesses bundit wa hapa nyumbani.

Kuanzia kwa Mohamed Dewj, Salim Bakhresa, Assas na wengine wengi hawana msaada wa moja kwa moja kwa jamii zaidi. Hivi kweli hizo Foundation wanazoanzisha mfamo Mo foundation imesaidia vijana wangapi kimasomo kama siyo uhuni tu.

Hawawazi kurudisha kwenye jamii kile wanachochukua japo kwa uchache kupitia huduma za afya ama elimu. Mabilioni wanayoyachukua kupitia biashara jamii haipati chochote zaidi ya ajira za ujira mdogo kwa vijana kwenye viwanda vyao.

Hawa matajiri wanatakiwa wasaport elimu kwa kutoa ufadhiri wa masomo angalau kwa vijana wachache, watoe pesa kwa ajili ya matibabu kwa wazee ama lishe kwa watoto na siyo kuchukua tu na kujimilikisha. Wenzako nchi nyingine wanatoa saport kubwa kwenye mambo ya kijamii.
Acha wivu uende mbinguni,,,kama baba yako alikuwa anaishia kukaa kwenye ubanda na kunywa mnazi shauri yako!!!,,,kwani mtoto wa baresa kuendesha gari ya kifahari inakuuma niini??? wewe panya buku nini,,,"ACHA WIVU"
 
Nimekaa nakatafakari sana juu ya social benefits tunazopata kama jamii kutoka kwa Hawa tunaowaita businesses bundit wa hapa nyumbani.

Kuanzia kwa Mohamed Dewj, Salim Bakhresa, Assas na wengine wengi hawana msaada wa moja kwa moja kwa jamii zaidi. Hivi kweli hizo Foundation wanazoanzisha mfamo Mo foundation imesaidia vijana wangapi kimasomo kama siyo uhuni tu.

Hawawazi kurudisha kwenye jamii kile wanachochukua japo kwa uchache kupitia huduma za afya ama elimu. Mabilioni wanayoyachukua kupitia biashara jamii haipati chochote zaidi ya ajira za ujira mdogo kwa vijana kwenye viwanda vyao.

Hawa matajiri wanatakiwa wasaport elimu kwa kutoa ufadhiri wa masomo angalau kwa vijana wachache, watoe pesa kwa ajili ya matibabu kwa wazee ama lishe kwa watoto na siyo kuchukua tu na kujimilikisha. Wenzako nchi nyingine wanatoa saport kubwa kwenye mambo ya kijamii.
Mkuu wao wa unyonyaji ni Lumumba
 
Acha wivu uende mbinguni,,,kama baba yako alikuwa anaishia kukaa kwenye ubanda na kunywa mnazi shauri yako!!!,,,kwani mtoto wa baresa kuendesha gari ya kifahari inakuuma niini??? wewe panya buku nini,,,"ACHA WIVU"
Mkuu ni suala la kueleweshana Wala si kwa Nia mbaya. Sijaomba mtu Hela na Wala si mnyonge kihivyo kama unavyonifikria. Naposema uwajibikaji wa Hawa wafanya biashara wakubwa sijasema watoe pesa mikononi kwa watu ila Nina maanisha wachangie kwenye huduma kama afya elimu ili warudishe fadhira kwa jamii inayotumia bidhaa zao.
 
kama
Mkuu ni suala la kueleweshana Wala si kwa Nia mbaya. Sijaomba mtu Hela na Wala si mnyonge kihivyo kama unavyonifikria. Naposema uwajibikaji wa Hawa wafanya biashara wakubwa sijasema watoe pesa mikononi kwa watu ila Nina maanisha wachangie kwenye huduma kama afya elimu ili warudishe fadhira kwa jamii inayotumia bidhaa zao.
ni afya jiunge na bima ya afya,kama ni elimu,serikali inatoa elimu bure kuanzia shule za msingi mpaka sekondari,na huko vyuoni kuna mikopo ya serikali"ACHA WIVU"
 
Back
Top Bottom