Matajiri wanazidi kuwa matajiri na masikini wanazidi kuwa masikini

South Africa imebebwa na Wayahudi, huwajui vizuri Wayahudi.
hilo swala la south Africa silikatai najua kama company nying S.A zipo chini ya wayahud lakini elon musk ni mmarekani aliyezaliwa S.A lakini pia ana uraia wa U.S.A , canada na south africa sio myahudi
 
hilo swala la south Africa silikatai najua kama company nying S.A zipo chini ya wayahud lakini elon musk ni mmarekani aliyezaliwa S.A lakini pia ana uraia wa U.S.A , canada na south africa sio myahudi
Facebook founder ni nani?
 
Wewe ndio umelijuwa hilo leo, mbona JF Platinum members wanalipia?
Nimepata swali! Hivi unavyo lipia hiyo platinum members una pata nn cha tofauti na ss watumiaji wa kawaida!!?
 
Angalia upya hesabu zako, umekosea kuzidisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…