lile tangazo la
ka we ni mzembe
na lile la rungu
lile la rangi_zembwela ana mwambia mashaka,mzee nimepaka rangi nyumba....
safar ni safari_advert bora ya wakat wote
af kuna ile kitu amanda
umkute tu baba mkwe anasema Weita niongeze!
michepuko,no no no kibonde hapana
gazeti la kasheshe
siasa unapenda siasa
ukute tu unaambiwa bado hujakamilisha
au yule anasems,mimi ni daktari wenu wa meno hapa nyumbani,na nimevaa koti jipya,je mimi ni nan
cofrin_wakat nnapokuwa na watoto wakubwa kama wewe
good morning_yan me naumwa af unanambia good morning
fatakiii
dum dum do do dodo,tigo,ebwana ee!
old is good!