Matani

Mentor we ni mjinga kiasi kwamba hata chizi anakushinda busara! Twende, twende afu mkeo haeleweki jinsia kirahisi kiasi kwamba hata akienda kujiandikisha hospitali kutibiwa lazima aulizwe jinsia(sex).
Nilikukuta umezubaa ukiangalia chupa ya orange
juice...eti kisa imeandikwa "concentrate"....
 

hyo ilohighlitiwa bluu duh!
 
Mentor una mdomo mkubwa mpaka huwa unatumia kuhidhani ndani vitu vidogovidogo kama simu na funguo ili usizipoteze.
 
Mentor una mdomo mkubwa mpaka huwa unatumia kuhidhani ndani vitu vidogovidogo kama simu na funguo ili usizipoteze.
\

Jaluo...ndo maana TV yako ni ndogo mpaka ina scroll-bars!
 
mentor ndo maana mkeo alijamba mbele za watu, akafunguliwa mashtaka hadi sasa kesi ipo mahakamani na yupo rumande bila dhamana.
 

una jasho linanuka hadi wa mama wauza vitumbua wanakuja kukuomba japo tone tu ili wakaumulie unga wao badala ya hamira.
 
hahahahahahah!uwiii!hakya mungu nimecheka!Mentol ni kiboko

na wewe unapenda wali ndo maana siku ile ulivyotaka kujiua ulipanda juu ya mti mamako akakusihi ushuke ukakataa, alivyokwambia ushuke umalizie wali wako ndo ujiue ukashuka kwa furaha fasta fasta, hadi mod wakakupiga ban kwa ujinga wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…