Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao waghana walikuwa wanamwambia huyo mtangazaji kuwa tunalipiza wazungu wametuibia sana na walipeleka mababu zetu kama watumwa.
Wanawapigaje sasa?Hapana wanawapiga ela. Hadi mahali wanawatolea hata kwao wanawapeleka halafu wanawapga na kutambaa wanawaachia vumbi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata Jide lazima yule mpopo macho kurembua alimpiga tukio
Wanawake tunapitia mengi[emoji848]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]matapeli wapo kila mahali.
mi huyu nimekutana nae watsap tumechat sana kaniambia yuko Dubai.
anatuma voice notes tu hataki nimuone kwa selfie anadai simu yake mbovu..
Hapa kaanza kuniomba hela
View attachment 2182424
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mtu yuko dubai analipwa laki 7 kwa mwezi lakin anaomba omba elfu 36 eti mzigo umekwama kariakoo[emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 2182428
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ni mpopo au?Very true....Kuna jamaa aliniingia na gia hii huwezi amini[emoji1787][emoji1787]
Napewa dola yan nahongwa balaa, si nikasema danga ndo hili[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]...
Mara ghafla kumbe ile kazi alivyokuwa anafanya na cheo kikubwa kampuni flan maarufu hapa bongo alikuwa anaact yaan anafundishwa kazi, mara akatemeshwa mzigo,akarudi kitaa weee nilikoma[emoji848][emoji848]
Nilikuwa napewaa business proposal za kuinvest almanusura niingie king, nilkuja kushtuka baada ya kumpa kahela kakubwa kidogo kamsaidie kipindi hiki kigumu, ndo akaona ohoo kumbe huyu fwala ana hela eeh afwaaa sasa!
All in all I thank God nilimstukia kabla sijaumia vibaya,[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Sasa hivi naulizwa mbona Wity unanikwepa? Hahahaha
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tena huyu ni mbongo mwenzetu tu ...halafu nikikutajia kabila lake sasa utachoka[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Ni lile kabila linaloongoza kwa ushamba wa kila kitu kivutio cha watalii[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu nae yupo insta. Ana tako, sura, shepu.. si mchezo[emoji23][emoji23][emoji23]
nimetest kama kweli anauza K maana sio kwa mirusho ile kwenye video zake..
nimemwambia nina dola mia nataka mzigo..
kaomba 20k
maji nimeyaomba, sijui niyanywe[emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 2182443View attachment 2182444
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asee ningeumia vibaya maana nilianza kumuamini walah[emoji848]
Kilichoniokoa kuna siku nilimwambia twende kwenye hiyo business ambayo nikitoa mi milioni 5 after 3 weeks tunapata 10m...I want to see with my naked eyes[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo zilianza chenga nyingi mara ooh opportunities ziko nyingi sio lazima hiyo tu, kesho yake nikapigwa proposal nyingine hapo ndo akili ilianza kucharge[emoji848][emoji848][emoji848]
Nilikimbia sikugeuka nyuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Matapeli wa bongo bana View attachment 2183564
Yani ni ujasiri. Unaishi na mtu akiwa nje ya nyumba unapata wasiwasi kama atarudi mzima au la na bado unamzalia na watoto. Ila wanawake sisi majasiri sanaKe wana roho ngumu sana, ebu chukulia wapo Majambazi, Wachawi na bado Ke wameolewa nao na wanawajua vizuri sana hao Me zao.
Yani mimi kuna habari ukiniletea naona utapeli tu.Hehehe ,mtu unaambiwa utoe milion moja ili upate 50milion Yaan ujue tu hapo wanaitaka milion yako ndio target
Ehehhe eti toa pesa nikuunganishe sehemu 😂😂😂Yani mimi kuna habari ukiniletea naona utapeli tu.
Wacha weee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu kama hawa pitia madalali.
Ukiingia kwa hii style wanakulipua.