Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Huu uzi una inspire watu kuwa ma scammer😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiiya mwaka jana?Kuna dada mmoja mbongo alikuwa anapiga mzigo UN, alipigwa tukio na hao raia acha kabisa...
Jamaa alijifanya pastor, akamuoa binti yule na harusi ikafanywa Bongo na huko kwao upoponi...
Miezi miwili mingi, ndoa imevunjika na dada si mfanyakazi tena wa UN...
Hiiya mwaka jana?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Mimi mpaka dakika hii nachat na dada tapeli na sina haja ya kuficha namba zake.
View attachment 2182821
Nipo makini bro,I will play Smart,Cha muhimu kuwa makini usije ukalambwa wewe maana cha wizi usije shikwa utajuta
Acha ubahiri, we toa tu utapata zaidiKuna kijana namfahamu alinitafuta aniunganishe kazi Un nimpe laki 2
Nikajiuliza pesa tenaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mi mtu akishaniambia nitoe pesa hanioni
Mkuu scammer hapa Bongo wapo wanapga ela nyingi tu hao unaowaskia mapapaa. Basi tu ni vile mtu kutaja taja majina ya watu humu nomaKuna scammer mmoja wa Urusi alifanya harusi ya $500,000 kwenye golf court.
Scammers wa Bongo kuna la kujifunza hapa.
Acha roho hiyo, ungetuma tuHata mim nishawahi fanyiwa kama hii mzigo ukafika zanzibar [emoji23][emoji23][emoji23] naambiwa nitume laki 6 na mwanaume kapewa namba yangu nikamuambia kaka chukua eti hiyo mizigo itakusaidia [emoji23][emoji23][emoji23]
Wamekua wengi siku hizi.Mimi mpaka dakika hii nachat na dada tapeli na sina haja ya kuficha namba zake.
View attachment 2182821
Hii inshu nishawahi kuisikia,ukiwaomba passport wanakwambia uwalipe million 20Watu wa west Africa wameshaligundua chaka la Bongo, mtapigwa sana...
Dada zetu tamaa nyingi akili ndogo wengi wao..
Sasa hivi wanawatumia sana kwenye ukahaba wengine Turkey, China, Dubai, Nigeria nk.
wanawaswaga tu huko na kuhold passport mpaka wamalize madeni...
Acha madongo wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa kama unatamaa ya kuhongwa gari mara dollar kwanini usipigwe tukio...
Mapenzi yakweli huwa yanamuonekano wake, tamaa mbele matokea yake mapopo wanawapiga...
😂😂😂😂 bora tukainywe barAcha ubahiri, we toa tu utapata zaidi
😂😂😂😂 bora tukainyweAcha ubahiri, we toa tu utapata zaidi
We mpe akutapeli we naye utamtapeli siku ingine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora tukainywe bar
Mim siwez mtapeli mtuWe mpe akutapeli we naye utamtapeli siku ingine