THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,201
- 1,974
ππ hatujapishana ila mimi sina papara alafu nimezoea pesa ya jasho nakuumiza kichwa. Si pesa ya chaap kwa haraka!Kuna kijana namfahamu alinitafuta aniunganishe kazi Un nimpe laki 2
Nikajiuliza pesa tenaa ππππ mi mtu akishaniambia nitoe pesa hanioni