Matapeli wa kimapenzi mtandaoni kutoka west Afrika



pesa sio rahisi kutoa... jamani huyo dada anadai analipwa laki 7

lakini anakomaa nimpe 36,000

keshaniunga kwa watu wanne niongee nao
 
Hao waghana walikuwa wanamwambia huyo mtangazaji kuwa tunalipiza wazungu wametuibia sana na walipeleka mababu zetu kama watumwa.

Ndivo akili za kiafrika zilivo, Acha wazungu waendelee kutwita makima tu
 
tapeli tony kabeti kampuni ya kupeleka wanafunzi nje ya nchi inaitwa universty abroad tapeli mkubwa
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ni mpopo au?
 
Tena huyu ni mbongo mwenzetu tu ...halafu nikikutajia kabila lake sasa utachoka[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]

Ni lile kabila linaloongoza kwa ushamba wa kila kitu kivutio cha watalii[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ke wana roho ngumu sana, ebu chukulia wapo Majambazi, Wachawi na bado Ke wameolewa nao na wanawajua vizuri sana hao Me zao.
Yani ni ujasiri. Unaishi na mtu akiwa nje ya nyumba unapata wasiwasi kama atarudi mzima au la na bado unamzalia na watoto. Ila wanawake sisi majasiri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…