Mie sijawahi kuona vipindi vizuri clauds tv naona tu nyimbo nyingi nashangaa watu wanavyoiona hakuna kituo kama claudsUzuri wa kitu inategemea na Mtazamo,Elimu na life style yako
Mie kwangu Shilawadu huenda kikawa ndio kipindi kizuri zaid lakin kwako kikawa ndio kipindi kibaya zaid
We taaira kweli kweli...ninachofanya ni VALUE FOR MONEY mf!Umasikini mbaya sana aisee... Omba Mungu akupunguzie umasikini Mzee baba
Umasikini mbaya sana.. Trust me, ni mbaya sana. Komaa na TBC, maana kama hujalipia kifurushi cha Azam hata hii ITV huipati...We taaira kweli kweli...ninachofanya ni VALUE FOR MONEY mf!
Yani utoe hela ununue izo takataka? ITV ambayo ni supabrand hailipiwi sembuse izo takataka?
Kwa Tanganyika hapa hakuna TV inayotoa products ambazo any reasonabo person can purchase!
We matako kweli kweli
We mavi iyo Azam Tv hata siku moja sijawai kuiangalia....Umasikini mbaya sana.. Trust me, ni mbaya sana. Komaa na TBC, maana kama hujalipia kifurushi cha Azam hata hii ITV huipati...
Wabongo ni wanafiki sana!
Angalia wote waliowahi kugombana na clouds, mwanzoni utaona kama mpo pamoja ila mwishoni unajikuta uko peke yako!
Refer TID ,vinega,Jide,RamaD,Ruby......
walipata sapoti sana ya RAIA mwanzoni!
Mwanzoni nakumbuka ilikuwa kila mahali Wasafi TV, Mara clouds Sasa watapotea ila kiukweli zile amsha amsha zimepotea ghafla!
Ni kama enzi zile TVE inaanzishwa humu zilikua thread za kusifia zinaanzishwa kila siku!
Ila Sasa hivi yako wapi?
Hahaha... Kumbe umasikini unaleta stress kiasi hiki?? Hahahaha.. Mitusi yote ya nini Mzee baba? Kujitia mjanja kumbe unalala sebuleni kwa Shemeji yako... HahahahahaaaWe mavi iyo Azam Tv hata siku moja sijawai kuiangalia....
Halafu we choko mimi natumia Digital Receiver Tv zote za Tanganyika nazipata Free to Air na nyingine 130..
ndo mana unavoniambia mambo ya kulipia vifurushi nakuona kama mseng.e baridi vile.
Mwenzio Mashauzi amekufa juzi kwa kansa ya mkun.du bado ww endelea kuquote wanaume tuu
Na kujiita majina ya wanaume na kuweka picha zao
Yani mseng.e baridi utamjua eti "hahahahha"Hahaha... Kumbe umasikini unaleta stress kiasi hiki?? Hahahaha.. Mitusi yote ya nini Mzee baba? Kujitia mjanja kumbe unalala sebuleni kwa Shemeji yako... Hahahahahaaa
Yani njaa mbaya sana.. HahahahaYani mseng.e baridi utamjua eti "hahahahha"
Jishtukie wali nazi ww
Hiki ulichoandika Kuna Siku nilimwambia mdogo wangu flani juzi amenikumbusha!Hakika na wewe umeliona
Unapenda sana kuchokoza watu!Kilichowadondosha wasafi ua jeusi. Tangu hapo kila wakifanyacho kinabuma
Nasubiria mapovu View attachment 773864
ha Haaa haaaNilidhani labda watafiti walikosea kumbe ni sahihi kabisa kwamba tz watu wake ni wenye wivu,tamaa sasa napata picha....
kabisa "" kabisaa kabisaaaKama wamekuja ku join kwenye industry ya utangazaji watafikia malengo Yao lakin Kama wamekuja kuwaondoa Clouds wamejipa assignment ngumu sana
hahaaa hahaa daahh "" George BetramWapumbavu hao badala waweke iwe free to air wanajifanya iwe inalipiwa..
Yani Discovery tulipie Nat Geo tulipie hadi hizi taka taka sijui Wasafi Azam tulipie?
No way!
Huo ni wivu broojamaa walitegema itashika sana aisee lakin naona baada ya mwezi imekuwa kama youtube channel tu au kama tv zilizoanza kwa mbwembwe ila hazikufika popote kama TTV1 Kwanzatv bongonativetv swahili tv yaaani hata milardayo tv japo ni online ina wafuatiliaji wengi kuliko wasafi pole wahusika uwekezajinwa tv ni mgumu zitaendelea kubamba zilizobamba tu
Na kama tv imeshindwa kubamba je radio mtaweza ? Waulizen ufm
Nadhani walifanya hii investment kumkomoa mtu.Mi nadhani walikurupuka kufanya hii investment ya TV
Ahahaaaah...hahaaa hahaa daahh "" George Betram
hah haaa wabongo kwa majungu hatujambo"" aiseeAhahaaaah...
Kusaga(Wasafi TV owner) inabidi ajitahidi asikilize ushauri wa jamaa..!
hah hahaaa mbona mapema mnoo kutoa hukumu mkuu""Kilichowadondosha wasafi ua jeusi. Tangu hapo kila wakifanyacho kinabuma
Nasubiria mapovu View attachment 773864