aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
jamaa walitegema itashika sana aisee lakin naona baada ya mwezi imekuwa kama youtube channel tu au kama tv zilizoanza kwa mbwembwe ila hazikufika popote kama TTV1 Kwanzatv bongonativetv swahili tv yaaani hata milardayo tv japo ni online ina wafuatiliaji wengi kuliko wasafi pole wahusika uwekezajinwa tv ni mgumu zitaendelea kubamba zilizobamba tu
Na kama tv imeshindwa kubamba je radio mtaweza ? Waulizen ufm
Na kama tv imeshindwa kubamba je radio mtaweza ? Waulizen ufm