Matarajio ya wasafi tv yamekuwa negative kwa wahusika

Matarajio ya wasafi tv yamekuwa negative kwa wahusika

Fredirick bundala ama sky walker alikuwa mtangazaji wa rfa enzi zile ila naona yupo close sana na wasafi ndo kutwa kuitangaza
.
Screenshot_20180511-150103_GBInsta.jpg
 
Tatizo jina la hiyo Tv nalo halikuwa well programmed hakukuwa na haja ya kuendelea kuiita wasafi TV , mshauli wao alichemsha na kwakuwa tcra wanaangalia mpunga wakaisajili hivyohivyo, yumkini sku akaibuka mwingine na kuanzisha wachafu TV, hapo ndio moto utakapo waka.
 
Hivi clouds tv ina vipindi gani vizuri?

Uzuri wa kitu inategemea na Mtazamo,Elimu na life style yako

Mie kwangu Shilawadu huenda kikawa ndio kipindi kizuri zaid lakin kwako kikawa ndio kipindi kibaya zaid
 
jamaa walitegema itashika sana aisee lakin naona baada ya mwezi imekuwa kama youtube channel tu au kama tv zilizoanza kwa mbwembwe ila hazikufika popote kama TTV1 Kwanzatv bongonativetv swahili tv yaaani hata milardayo tv japo ni online ina wafuatiliaji wengi kuliko wasafi pole wahusika uwekezajinwa tv ni mgumu zitaendelea kubamba zilizobamba tu

Na kama tv imeshindwa kubamba je radio mtaweza ? Waulizen ufm
Kinachotakiwa ni ubunifu na uvumilivu na watafanikiwa. Wanapaswa kuelewa kuwa Watanzania wanapenda sana habari za mipasho na umbea na burudani sana zikiwemo tamthiliya za Kifilipino.

Wakiwekeza kwenye muziki, habari za udaku za wanamuziki, habari za umbeya za wanasiasa na watu maarufu, bongo muvi, habari za michezo na tips za kubet na tamthiliya za Kifilipino hakika watatoboa sana. Kwa sasa hivi haya ndiyo mambo Watanzania wanapenda kusikiliza.
 
Majungu yana uhusiano wa karibu sana na utanzania .
 
Wabongo ni wanafiki sana!
Angalia wote waliowahi kugombana na clouds, mwanzoni utaona kama mpo pamoja ila mwishoni unajikuta uko peke yako!
Refer TID ,vinega,Jide,RamaD,Ruby......
walipata sapoti sana ya RAIA mwanzoni!

Mwanzoni nakumbuka ilikuwa kila mahali Wasafi TV, Mara clouds Sasa watapotea ila kiukweli zile amsha amsha zimepotea ghafla!

Ni kama enzi zile TVE inaanzishwa humu zilikua thread za kusifia zinaanzishwa kila siku!
Ila Sasa hivi yako wapi?
 
Wakipunguza kuajiri wasio na ujuzi wala si taaluma yao watafanikiwa.
 
Wapumbavu hao badala waweke iwe free to air wanajifanya iwe inalipiwa..
Yani Discovery tulipie Nat Geo tulipie hadi hizi taka taka sijui Wasafi Azam tulipie?
No way!
Umasikini mbaya sana aisee... Omba Mungu akupunguzie umasikini Mzee baba
 
Back
Top Bottom