Matatizo ya Mzio (Allergies) Mbalimbali: Visababishi, Madhara, Kinga na Tiba



Asante kwa andiko hili. Watu wengi huwa wanachukulia kirahisi mambo haya wakati yanaweza kugharimu uhai wa mtu

kwa kuongezea tu, Allergy ni MZIO kwa Kiswahili fasaha.

Asante
 
Kuja jamaa alikauja home alisema ana aleji na dagaa nili maindi kwa sababu home ndo ilikuwa mboga pendwa .napenda dagaa kinoma
Mimi mwenyewe nnapenda sana hio kitoweo ila nikila tu siku hiohio naanza kupata vidonda mdomoni,
hua nnajitahidi kwelikweli kujizuia nisile ila nikiiona tu mate yanajaa mdomoni lazima nipige walau tonge mbili halafu balaa linaanzia hapohapo, siku hizi home wameacha kabisa kupika hio kitu.
 
Me na allergy na Mayai yaan nikiyala tu lazima nitapike na kuugua kabisa hivi humu akuna mwny dawa anisaidiee
 
Kiboko yangu ni papai. Hili tunda Mimi nikionja hata kipande kidogo kama punje ya karanga hiyo siku nitalazwa, nana allergy na hii kitu na staki hata kuigusa, nishakubali matokeo, hata nikihisi harufu ya papai tu nakuwa zaidi ya teja.
 
Nilikuwa na mzio wa nyama nyekundu kwa miaka 6 ilikuwa nikila tu nawashwa usisimuliwe, rafiki yangu mmoja akanambia ili upone hiyo kitu inakubid ukubali yatakayokutokea nikakubali. Akanambia kula nyama wala usiwaze kuwashwa, siku ya kwanza mbona niliifurahia show, nikaipiga na siku ya pili ngoma ikawa noma vile vile.

Nikaipiga mara ya tatu, bado nikawashwa vile vile, ya nne ikawa sio kivile akawa ananisisitiza kunywa maji mengi sana na nijitahidi ile kitu nisiiweke akilini kwamba ninayo. Mara zingine zilizofuata nikawa nagonga fresh tu mpaka leo.

Nilichokuja kujifunza, mara nyingi Mzio huwa unatengenezwa na akili, ukiiruhusu akili jambo fulani ndivyo litakavyokuwa na usipojizuia linazua matatizo
 
Na mimi nasumbuliwa na hii kitu bado dawa ya uhakika sijapata dawa nilizowahi tumia ni Allegex, Cetrizine, na nasal spray inatwa Avamy, nikitumia hiz dawa napata nafuu kwamiezi kama miwili hivi halafu tatizo linarudi tena.
 
Mi nilipona kwa kunywa maji mengi kila wakati hasa nikiamka tu,kupiga push up Asubuhi napoamka za kutosha,Nikivaa nguo hasa mashati mara moja tu kwa siku nabadili,Nikilala nahakikisha nafunga mdomo napumulia pua,Nakuwa na henkachief safi wakati wote.

Nimepona.
 
Dawa kubwa ya allergy ni kuepuka vichocheo vyake lasivo itabidi tu uendelee kutumia ant histamine drugs kutuliza hali hiyo.
 
Jaribu kuchunguza kinywani tatizo hilo linasababishwa na kuota kinyama juu ya ulimi kinaotea kwenye ulimi juu.

Ukikiona hicho nitafute nitakuelekeza dawa kitapona utumie huenda ikasaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…