Match ya Boxing kati ya Mike Tyson na Jake Paul, matokeo yalikwisha pangwa

Match ya Boxing kati ya Mike Tyson na Jake Paul, matokeo yalikwisha pangwa

You can't box at 58, huwezi tu, it's the other way around, walipanga wasimuaibishe tu Tyson.... In a serious fight Jake anampiga huyu Mzee hata napambano 100 mfululizo, the Mike you knew is gone, this is the shadow of the man, get over it
DOgo haelewi hilo yeye kaambiwa tu kuwa lilipangwa. Basi kabeba hivyo hata Mike Tyson hamfaham alikuwaje. Hawa madogo wa 2000s ni changamoto sana.
 
Kuna taarifa zinasambaa kwamba Mike Tyson alishaanza kuingia kwenye utitiri wa madeni. Ukwasi wote aliokusanya ujanani aliufuja kwa haraka sana

Nakubaliana na mtoa mada kwamba moja ya sababu za hili pambano ilikuwa ni kumtoa Mike kwenye hiyo financial crisis aliyokuwa anapitia.

Kwenye hilo pambano Mike kaondoka na 20$ million, hii ni sawa na 54 billions kwa pesa za madafu, sio haba.
Hata George Foreman aliacha boxing 1977 akarudi mwaka 1994 , ana kitambi na alikuwa mhubiri kwa muda mrefu, alirudi kutafuta pesa baada ya manager wake kula pesa zake zote...

Katika umri wa miaka 45 akachukua mkanda wa dunia katika uzito wa juu kitu ambacho hakuna aliyetegemea na ikabaki historia hadi hii leo.

Haya ni mambo yanatokea.
 
Ambacho sio cha kweli kwenye maelezo yako ni kusema pambano limepangwa matokeo
Hakuna namna ambapo Bondia wa kaliba na umri wa Jack anahitaji kupanga matokeo ili kumpiga Tyson wa miaka 58

Kuhusu Tyson na Jack kutafuta hela.... hakuna pambano duniani linalofanyika wahusika wasipate hela
 
Wengi mlioangalia Boxing match kati ya Youtuber Paul Logan na bondia nguli Mike Tyson, mnaweza kudhani Mike Tyson ameshindwa, ila kiuhalisia Mike Tyson alipangwa kuuza match hili amfanye Paul Logan kuwa maarufu zaidi, ni mbinu za kibiashara za kumkuza Paul Logan, na tayari media nyingi za Marekani zilikwisha sema kuwa Paul Logan lazima ashinde. Lengo la pili ilikuwa ni kumuwezesha Mike Tyson kiuchumi.

Kwenye kufanya Promotion wazungu wako mbele ya muda. Achana na hawa wabongo wanatukanana insta kutafuta kiki, issues ya Tyson na Logan inaanza utotoni ambapo kuna picha ilipigwa ikionesha Tyson akin'gata shati la Logan alilovaa kipindi akiwa mtoto, katika onesho moja la Mike Tyson miaka ya 90, baadae Logan abaada ya kukua ndio akaja na promotion ya pambano na Tyson kwa ajili ya kukuza biashara huku akitumia hiyo picha ya Utotoni kama silaha kwamba anataka kulipa kisasi

Mwisho wa pambano hilo Logan baada ya kushinda kaonesha kutoa shukurani za dhati kwa mike na akimuita "Nguli wa muda wote wa Boxing", na kusema kuwa amekuwa akimtazama tangu utotoni. Mwisho logan aliinamisha kichwa kama ishara ya kutoa shukurani kwa Mike baada ya pambano.

Kwahiyo unaamini tyson angeshinda! Watu weupe huwa mnawachukuliaje kwa mfano!
 
Hujui boxing dogo. Unadhani mike wa miaka hii 58 atakuwa the same na anayepigana naye yupo kwenye 20s kama sikosei 27? Usikurupuke. Promotions ni kawaida. Unafahamu Messi L. Aliwahi mwogesha mchezaji gani akiwa mdogo na sasa hivi ni mchezaji maarufu? Jake to bow ni kuonesha respect kwa Mike Tyson. Wazungu wana respect so hata kama angekuwa hajawah onana naye kila Mwanamasumbwi anamfahamu Mike Tyson ni nani.

DOgo haya mambo huyafaham.siyo kila ukisimuliwa unakuja kuanzisha uzi.
Jinsi unavyo address vitu kwa kuita watu dogo ni inadhihirisha ni kwa namna gani unakurupuka, na unanyea kambi bila kujua anayezungumza ni mtu wa aina gani na wa umri gani!

Ungekuja na hoja nzuri bila kunyea kambi ningekujibu kwa hoja...

Matokeo kupangwa kwenye Boxing sio jambo geni, labda kama wewe ni mgeni kwenye Boxing.... Pili kwa experience ya Mike Tyson ukitoa umri, bado yuko fit sana kwenye Boxing ukilinganisha na Logan ambaye ni YouTuber tu na sio professional boxer.... Kwa umri wa Mike Tyson na bado akaweza kwenda Round zaidi ya Saba na kushindwa kwa point unahisi ni kitu cha kawaida... Boxing yao imepangwa, hiyo ni full stop, Bishana na Keyboard yako... Alafu pia acha kuleta dharau kwenye Post za watu, Maku wewe
 
DOgo haelewi hilo yeye kaambiwa tu kuwa lilipangwa. Basi kabeba hivyo hata Mike Tyson hamfaham alikuwaje. Hawa madogo wa 2000s ni changamoto sana.
Dogo hujui kitu, rudi kafanye tafiti.... Boxing inapangwa vizuri tu
 
You can't box at 58, huwezi tu, it's the other way around, walipanga wasimuaibishe tu Tyson.... In a serious fight Jake anampiga huyu Mzee hata napambano 100 mfululizo, the Mike you knew is gone, this is the shadow of the man, get over it
Jake Paul sio Professional Boxer, uwezi kulinganisha na Mike Tyson ambaye alikuwa Heavyweight champion na Experienced Boxer. Jake Paul alikuwa anakaa kama ingekuwa a serious fight


Hilo pambano lilikuwa ni Biashara kumuinua Jake Paul na kumtajirisha Mike Tyson ambaye anapitia shida za kifedha. Sign the Contract
 
Ambacho sio cha kweli kwenye maelezo yako ni kusema pambano limepangwa matokeo
Hakuna namna ambapo Bondia wa kaliba na umri wa Jack anahitaji kupanga matokeo ili kumpiga Tyson wa miaka 58

Kuhusu Tyson na Jack kutafuta hela.... hakuna pambano duniani linalofanyika wahusika wasipate hela
Nikusahihishe kwanza Jake Paul sio Bondia Professional.... Jake Paul ni madogo wa mjini wanaojua kutafuta Pesa kwa kutengeneza vitu vyenye kuleta Attention... Nitafutie Biograph ya Jake Paul inayosema yeye ni professional boxer....

Mike Tyson ni miongoni mwa Boxer professional waliowahi kutisha Dunia, na mpaka sasa bado anaogopwa,

Jake Paul kiuhalisia wakipigana lazima angeshindwa, ila ni kwa sababu ya kibiashara, Mike Tyson kaamua kuchukua mpunga
 
Hujui boxing dogo. Unadhani mike wa miaka hii 58 atakuwa the same na anayepigana naye yupo kwenye 20s kama sikosei 27? Usikurupuke. Promotions ni kawaida. Unafahamu Messi L. Aliwahi mwogesha mchezaji gani akiwa mdogo na sasa hivi ni mchezaji maarufu? Jake to bow ni kuonesha respect kwa Mike Tyson. Wazungu wana respect so hata kama angekuwa hajawah onana naye kila Mwanamasumbwi anamfahamu Mike Tyson ni nani.

DOgo haya mambo huyafaham.siyo kila ukisimuliwa unakuja kuanzisha uzi.
Ficha ujinga na wewe,unakua kama Lucas Mwashambwa mshamba mshamba toka mbozi.anajifanya anaijua ccm cheo hapati ng'oooo
 
Back
Top Bottom