Match ya Boxing kati ya Mike Tyson na Jake Paul, matokeo yalikwisha pangwa

Match ya Boxing kati ya Mike Tyson na Jake Paul, matokeo yalikwisha pangwa

Kuna taarifa zinasambaa kwamba Mike Tyson alishaanza kuingia kwenye utitiri wa madeni. Ukwasi wote aliokusanya ujanani aliufuja kwa haraka sana

Nakubaliana na mtoa mada kwamba moja ya sababu za hili pambano ilikuwa ni kumtoa Mike kwenye hiyo financial crisis aliyokuwa anapitia.

Kwenye hilo pambano Mike kaondoka na 20$ million, hii ni sawa na 54 billions kwa pesa za madafu, sio haba.
Hiyo phase ya kufirisika na kuwa na madeni mike alikuwa ashaipita. Alitumia mali vibaya akafirisika akafile for bankruptcy lakini baadae akaweza fanya maamuzi ya kibiashara na kurudi kuwa na pesa japo si hata robo ya pesa aliyokuwa nayo awali, lakini last I checked alikuwa ana kama utajiri wa dollar milion 10 za kimarekani kutoka kuwa na utajiri wa dola milion 300 za awali.
 
Wengi mlioangalia Boxing match kati ya Youtuber Paul Logan na bondia nguli Mike Tyson, mnaweza kudhani Mike Tyson ameshindwa, ila kiuhalisia Mike Tyson alipangwa kuuza match hili amfanye Paul Logan kuwa maarufu zaidi, ni mbinu za kibiashara za kumkuza Paul Logan, na tayari media nyingi za Marekani zilikwisha sema kuwa Paul Logan lazima ashinde. Lengo la pili ilikuwa ni kumuwezesha Mike Tyson kiuchumi.

Kwenye kufanya Promotion wazungu wako mbele ya muda. Achana na hawa wabongo wanatukanana insta kutafuta kiki, issues ya Tyson na Logan inaanza utotoni ambapo kuna picha ilipigwa ikionesha Tyson akin'gata shati la Logan alilovaa kipindi akiwa mtoto, katika onesho moja la Mike Tyson miaka ya 90, baadae Logan abaada ya kukua ndio akaja na promotion ya pambano na Tyson kwa ajili ya kukuza biashara huku akitumia hiyo picha ya Utotoni kama silaha kwamba anataka kulipa kisasi

View attachment 3153853

Mwisho wa pambano hilo Logan baada ya kushinda kaonesha kutoa shukurani za dhati kwa mike na akimuita "Nguli wa muda wote wa Boxing", na kusema kuwa amekuwa akimtazama tangu utotoni. Mwisho logan aliinamisha kichwa kama ishara ya kutoa shukurani kwa Mike baada ya pambano.

View attachment 3153854
Hii mechi ilipigwa lini mkuu?
 
Hivi Tyson anakuwaga na familia au ana ishi kihuni tu?
Muhuni lazima awe amekamilika labda unamaanisha msela mavi ?
1731865457919.png

1731865619846.png
 
DOgo haelewi hilo yeye kaambiwa tu kuwa lilipangwa. Basi kabeba hivyo hata Mike Tyson hamfaham alikuwaje. Hawa madogo wa 2000s ni changamoto sana.
 
Wengi mlioangalia Boxing match kati ya Youtuber Paul Logan na bondia nguli Mike Tyson, mnaweza kudhani Mike Tyson ameshindwa, ila kiuhalisia Mike Tyson alipangwa kuuza match hili amfanye Paul Logan kuwa maarufu zaidi, ni mbinu za kibiashara za kumkuza Paul Logan, na tayari media nyingi za Marekani zilikwisha sema kuwa Paul Logan lazima ashinde. Lengo la pili ilikuwa ni kumuwezesha Mike Tyson kiuchumi.

Kwenye kufanya Promotion wazungu wako mbele ya muda. Achana na hawa wabongo wanatukanana insta kutafuta kiki, issues ya Tyson na Logan inaanza utotoni ambapo kuna picha ilipigwa ikionesha Tyson akin'gata shati la Logan alilovaa kipindi akiwa mtoto, katika onesho moja la Mike Tyson miaka ya 90, baadae Logan abaada ya kukua ndio akaja na promotion ya pambano na Tyson kwa ajili ya kukuza biashara huku akitumia hiyo picha ya Utotoni kama silaha kwamba anataka kulipa kisasi

View attachment 3153853

Kwa mujibu wa mkataba waliosaini Mike Tyson na Jake Paul, Tyson hakuwa anaruhusiwa kutumia Ngumi aina ya UPPER CUT katika muda wowote wa pambano

Pambano hilo halikutakiwa kumalizika mapema na kama ingetokea Tyson akashinda mapema basi asingelipwa kiasi chote cha fedha alizotakiwa kulipwa (Dola milioni 20)

Pambano hilo lilitazamwa na watu milioni 60 kupitia Netflix huku wengine elfu 70,000, ambao walinunua tiketi kwenye uwanja wa AT&T huku mauzo ya tiketi yakiingiza jumla ya dola milioni 18,

Mwisho wa pambano hilo Logan baada ya kushinda kaonesha kutoa shukurani za dhati kwa mike na akimuita "Nguli wa muda wote wa Boxing", na kusema kuwa amekuwa akimtazama tangu utotoni. Mwisho logan aliinamisha kichwa kama ishara ya kutoa shukurani kwa Mike baada ya pambano.

View attachment 3153854
Nakubaliana na wewe 💯
 
Wewe hamnazo
Hujui boxing dogo. Unadhani mike wa miaka hii 58 atakuwa the same na anayepigana naye yupo kwenye 20s kama sikosei 27? Usikurupuke. Promotions ni kawaida. Unafahamu Messi L. Aliwahi mwogesha mchezaji gani akiwa mdogo na sasa hivi ni mchezaji maarufu? Jake to bow ni kuonesha respect kwa Mike Tyson. Wazungu wana respect so hata kama angekuwa hajawah onana naye kila Mwanamasumbwi anamfahamu Mike Tyson ni nani.

DOgo haya mambo huyafaham.siyo kila ukisimuliwa unakuja kuanzisha uzi.
 
Mzee wety Jana baya.
Anahitaji pongezi kwa umri huo bado anarusha ngumi. Sio mchezo
 
Yaani mkuu umeshindwa kutambua hiyo picha ni Photoshop au ndio unatupanga.

Labda useme imetengenezwa siyo imepigwa miaka hiyo ya 90.
 
Hata mimi nilihisi kuna fixing imefanyika. Yaani roundi kibao Tyson alikuwa harushi ngumi hata moja!. Sisi tunajua Tyson asingesjindwa kurusha ngumi hata tano za kumkalisha dogo
 
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.
I think Tyson alikuwa ana ngata gloves. Ameonekana mara kibao akijizuia kutupa ngumi na hata zile Combination zake.

Kweli Mike Iron Tyson wa kurusha punches 79 tu🤣. Dude ameishi ktk Script, utaona hata ktk face off zao, interviews alizo kuwa anafanyiwa alikuwa hapo kimwili tu, but akili na nafsi yake vinapingan na Script aliyopewa.

Tungetaka kuona real Fight, ingekuw MSHINDI anapewa USD 100M .

Tyson ni Warthog, Kasongo yeye.
IMG_20241118_002231.jpg
 
Nan kakuambia kutokua na familia ni kuishi kihuni?
Asante kwa Kututetea wale tusiokuwa na Familia bado huku tukionekana na Washamba kuwa Sisi ni Wahuni wakati kiuhalisia Sisi ni Watu wazuri na wastaarabu sana kwani huwa tunawasaidia mno Wake za Wanaume wenye Familia pale wanaposhindwa Kuwahudumia ipasavyo huko Majumbani Kwao.
 
Wengi mlioangalia Boxing match kati ya Youtuber Paul Logan na bondia nguli Mike Tyson, mnaweza kudhani Mike Tyson ameshindwa, ila kiuhalisia Mike Tyson alipangwa kuuza match hili amfanye Paul Logan kuwa maarufu zaidi, ni mbinu za kibiashara za kumkuza Paul Logan, na tayari media nyingi za Marekani zilikwisha sema kuwa Paul Logan lazima ashinde. Lengo la pili ilikuwa ni kumuwezesha Mike Tyson kiuchumi.

Kwenye kufanya Promotion wazungu wako mbele ya muda. Achana na hawa wabongo wanatukanana insta kutafuta kiki, issues ya Tyson na Logan inaanza utotoni ambapo kuna picha ilipigwa ikionesha Tyson akin'gata shati la Logan alilovaa kipindi akiwa mtoto, katika onesho moja la Mike Tyson miaka ya 90, baadae Logan abaada ya kukua ndio akaja na promotion ya pambano na Tyson kwa ajili ya kukuza biashara huku akitumia hiyo picha ya Utotoni kama silaha kwamba anataka kulipa kisasi

View attachment 3153853

Kwa mujibu wa mkataba waliosaini Mike Tyson na Jake Paul, Tyson hakuwa anaruhusiwa kutumia Ngumi aina ya UPPER CUT katika muda wowote wa pambano

Pambano hilo halikutakiwa kumalizika mapema na kama ingetokea Tyson akashinda mapema basi asingelipwa kiasi chote cha fedha alizotakiwa kulipwa (Dola milioni 20)

Pambano hilo lilitazamwa na watu milioni 60 kupitia Netflix huku wengine elfu 70,000, ambao walinunua tiketi kwenye uwanja wa AT&T huku mauzo ya tiketi yakiingiza jumla ya dola milioni 18,

Mwisho wa pambano hilo Logan baada ya kushinda kaonesha kutoa shukurani za dhati kwa mike na akimuita "Nguli wa muda wote wa Boxing", na kusema kuwa amekuwa akimtazama tangu utotoni. Mwisho logan aliinamisha kichwa kama ishara ya kutoa shukurani kwa Mike baada ya pambano.

View attachment 3153854
Ile ilikuwa kiki tu, Tyson angetaka pambano LA kweli, angemtsfuta Athony Joshua, au Maywhether! Mwamba kafulia, kaamua kupiga pesa kwa comedy za boxing
 
Back
Top Bottom