Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
TrueChini ya Magufuli Tanzania ilikuwa inageuka economic power house wa east Africa kwa kasi ya ajabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TrueChini ya Magufuli Tanzania ilikuwa inageuka economic power house wa east Africa kwa kasi ya ajabu
Dogo unatumia IDs nyingi sana huwa mnalipwa?Ficha ujinga na wewe,unakua kama Lucas Mwashambwa mshamba mshamba toka mbozi.anajifanya anaijua ccm cheo hapati ng'oooo
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.Ficha ujinga na wewe,unakua kama Lucas Mwashambwa mshamba mshamba toka mbozi.anajifanya anaijua ccm cheo hapati ng'oooo
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.Dogo hujui kitu, rudi kafanye tafiti.... Boxing inapangwa vizuri tu
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.Jinsi unavyo address vitu kwa kuita watu dogo ni inadhihirisha ni kwa namna gani unakurupuka, na unanyea kambi bila kujua anayezungumza ni mtu wa aina gani na wa umri gani!
Ungekuja na hoja nzuri bila kunyea kambi ningekujibu kwa hoja...
Matokeo kupangwa kwenye Boxing sio jambo geni, labda kama wewe ni mgeni kwenye Boxing.... Pili kwa experience ya Mike Tyson ukitoa umri, bado yuko fit sana kwenye Boxing ukilinganisha na Logan ambaye ni YouTuber tu na sio professional boxer.... Kwa umri wa Mike Tyson na bado akaweza kwenda Round zaidi ya Saba na kushindwa kwa point unahisi ni kitu cha kawaida... Boxing yao imepangwa, hiyo ni full stop, Bishana na Keyboard yako... Alafu pia acha kuleta dharau kwenye Post za watu, Maku wewe
Mike tyson at 58 still yuko fit, hizi type of game ni za marketing. At hiyo age kungewekwa mkanda, ungemuona mike wa tofautiYou can't box at 58, huwezi tu, it's the other way around, walipanga wasimuaibishe tu Tyson.... In a serious fight Jake anampiga huyu Mzee hata napambano 100 mfululizo, the Mike you knew is gone, this is the shadow of the man, get over it
Dogo hujui kitu. Unakaa kwenye kijiwe unasimuliwa unakuja anzisha uzi. Hata Jake Paul humfahamu. Unasema siyo Pro? Hujui.Nikusahihishe kwanza Jake Paul sio Bondia Professional.... Jake Paul ni madogo wa mjini wanaojua kutafuta Pesa kwa kutengeneza vitu vyenye kuleta Attention... Nitafutie Biograph ya Jake Paul inayosema yeye ni professional boxer....
Mike Tyson ni miongoni mwa Boxer professional waliowahi kutisha Dunia, na mpaka sasa bado anaogopwa,
Jake Paul kiuhalisia wakipigana lazima angeshindwa, ila ni kwa sababu ya kibiashara, Mike Tyson kaamua kuchukua mpunga
Dogo acha kukariri kwamba kila unayechat nae humu ni dogo wa 2000... Nzi akiacha ujinga anaweza kutengeneza asali.... Acha kuwa kama NziNyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.
Narudia tena, Jake Paul ni madogo wa mjini wanaojaribu bahati zao kwenye kila mchezo, ni kama I Show Speed alivyo....Dogo hujui kitu. Unakaa kwenye kijiwe unasimuliwa unakuja anzisha uzi. Hata Jake Paul humfahamu. Unasema siyo Pro? Hujui.
View attachment 3153991
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.Dogo acha kukariri kwamba kila unayechat nae humu ni dogo wa 2000... Nzi akiacha ujinga anaweza kutengeneza asali.... Acha kuwa kama Nzi
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.Narudia tena, Jake Paul ni madogo wa mjini wanaojaribu bahati zao kwenye kila mchezo, ni kama I Show Speed alivyo....
Sasa wewe baki na komwe lako hapo...
Mfate akakuongoze wewe pamoja na malaikaChini ya Magufuli Tanzania ilikuwa inageuka economic power house wa east Africa kwa kasi ya ajabu
hv hawa jamaa huwa wanapeleka wapi hela?Kuna taarifa zinasambaa kwamba Mike Tyson alishaanza kuingia kwenye utitiri wa madeni. Ukwasi wote aliokusanya ujanani aliufuja kwa haraka sana
Nakubaliana na mtoa mada kwamba moja ya sababu za hili pambano ilikuwa ni kumtoa Mike kwenye hiyo financial crisis aliyokuwa anapitia.
Kwenye hilo pambano Mike kaondoka na 20$ million, hii ni sawa na 54 billions kwa pesa za madafu, sio haba.
Shida wewe dogo unaleta ujuaji kwenye kurasa za watu, ngoja tuje tukupakie mkongo tukutatue hilo jicho la tatu... Madogo wa siku hizi mnaleta dharau kwa Baba zenuNyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.
Shida wewe dogo unaleta ujuaji kwenye kurasa za watu, ngoja tuje tukupakie mkongo tukutatue hilo jicho la tatu... Madogo wa siku hizi mnaleta dharau kwa Baba zenuNyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.
Mkuu Dogo ni professional boxerNikusahihishe kwanza Jake Paul sio Bondia Professional.... Jake Paul ni madogo wa mjini wanaojua kutafuta Pesa kwa kutengeneza vitu vyenye kuleta Attention... Nitafutie Biograph ya Jake Paul inayosema yeye ni professional boxer....
Mike Tyson ni miongoni mwa Boxer professional waliowahi kutisha Dunia, na mpaka sasa bado anaogopwa,
Jake Paul kiuhalisia wakipigana lazima angeshindwa, ila ni kwa sababu ya kibiashara, Mike Tyson kaamua kuchukua mpunga
I'm supporting none of you but Hii kauli ya kuita watu DOGO Huwa siielewi kabisa. Bangi zinawaharibu sana hawaDogo hujui kitu, rudi kafanye tafiti.... Boxing inapangwa vizuri tu
Kufikisha umri kama wa huyo mwamba bila kuwa na familia hali yakuwa huna tatizo la kiafya ni uhuni.Nan kakuambia kutokua na familia ni kuishi kihuni?
Dah inaonekana hataki familia iwe maarufu maana ameificha.Ameoa