Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
DOgo haelewi hilo yeye kaambiwa tu kuwa lilipangwa. Basi kabeba hivyo hata Mike Tyson hamfaham alikuwaje. Hawa madogo wa 2000s ni changamoto sana.You can't box at 58, huwezi tu, it's the other way around, walipanga wasimuaibishe tu Tyson.... In a serious fight Jake anampiga huyu Mzee hata napambano 100 mfululizo, the Mike you knew is gone, this is the shadow of the man, get over it
Uhuni ni kitu gani labda mimi ndio sielewi🤔Kutokuwa na familia ni kuishi kihuni ndio
Kwamujibu wa kanuni ipi? Na nani aliweka hiyo kanuni?Kutokuwa na familia ni kuishi kihuni ndio
Hata George Foreman aliacha boxing 1977 akarudi mwaka 1994 , ana kitambi na alikuwa mhubiri kwa muda mrefu, alirudi kutafuta pesa baada ya manager wake kula pesa zake zote...Kuna taarifa zinasambaa kwamba Mike Tyson alishaanza kuingia kwenye utitiri wa madeni. Ukwasi wote aliokusanya ujanani aliufuja kwa haraka sana
Nakubaliana na mtoa mada kwamba moja ya sababu za hili pambano ilikuwa ni kumtoa Mike kwenye hiyo financial crisis aliyokuwa anapitia.
Kwenye hilo pambano Mike kaondoka na 20$ million, hii ni sawa na 54 billions kwa pesa za madafu, sio haba.
Hata Jake kaingiza pesa ndefu sana kupitia umaarufu wa Tyson.Hamna Cha mandonga. Wamepiga hela ndefu sana. Tyson $20M na Jake $40M.....
Hii ilikuwa kumzidishia umaarufu Jake na kutunisha mfuko wa Mike.
Dola 10mil duh kuna watu wanapesaNimesoma sehemu kipindi yupo kwenye peak alikuwa na Dola 300 milioni, mpaka anapigana na Jake alibakiwa na dola 10 milioni.
Hilo lilikuwa linakwenda kuwa.Chini ya Magufuli Tanzania ilikuwa inageuka economic power house wa east Africa kwa kasi ya ajabu
Wengi mlioangalia Boxing match kati ya Youtuber Paul Logan na bondia nguli Mike Tyson, mnaweza kudhani Mike Tyson ameshindwa, ila kiuhalisia Mike Tyson alipangwa kuuza match hili amfanye Paul Logan kuwa maarufu zaidi, ni mbinu za kibiashara za kumkuza Paul Logan, na tayari media nyingi za Marekani zilikwisha sema kuwa Paul Logan lazima ashinde. Lengo la pili ilikuwa ni kumuwezesha Mike Tyson kiuchumi.
Kwenye kufanya Promotion wazungu wako mbele ya muda. Achana na hawa wabongo wanatukanana insta kutafuta kiki, issues ya Tyson na Logan inaanza utotoni ambapo kuna picha ilipigwa ikionesha Tyson akin'gata shati la Logan alilovaa kipindi akiwa mtoto, katika onesho moja la Mike Tyson miaka ya 90, baadae Logan abaada ya kukua ndio akaja na promotion ya pambano na Tyson kwa ajili ya kukuza biashara huku akitumia hiyo picha ya Utotoni kama silaha kwamba anataka kulipa kisasi
Mwisho wa pambano hilo Logan baada ya kushinda kaonesha kutoa shukurani za dhati kwa mike na akimuita "Nguli wa muda wote wa Boxing", na kusema kuwa amekuwa akimtazama tangu utotoni. Mwisho logan aliinamisha kichwa kama ishara ya kutoa shukurani kwa Mike baada ya pambano.
Jinsi unavyo address vitu kwa kuita watu dogo ni inadhihirisha ni kwa namna gani unakurupuka, na unanyea kambi bila kujua anayezungumza ni mtu wa aina gani na wa umri gani!Hujui boxing dogo. Unadhani mike wa miaka hii 58 atakuwa the same na anayepigana naye yupo kwenye 20s kama sikosei 27? Usikurupuke. Promotions ni kawaida. Unafahamu Messi L. Aliwahi mwogesha mchezaji gani akiwa mdogo na sasa hivi ni mchezaji maarufu? Jake to bow ni kuonesha respect kwa Mike Tyson. Wazungu wana respect so hata kama angekuwa hajawah onana naye kila Mwanamasumbwi anamfahamu Mike Tyson ni nani.
DOgo haya mambo huyafaham.siyo kila ukisimuliwa unakuja kuanzisha uzi.
Jake Paul sio Professional Boxer, uwezi kulinganisha na Mike Tyson ambaye alikuwa Heavyweight champion na Experienced Boxer. Jake Paul alikuwa anakaa kama ingekuwa a serious fightYou can't box at 58, huwezi tu, it's the other way around, walipanga wasimuaibishe tu Tyson.... In a serious fight Jake anampiga huyu Mzee hata napambano 100 mfululizo, the Mike you knew is gone, this is the shadow of the man, get over it
Nikusahihishe kwanza Jake Paul sio Bondia Professional.... Jake Paul ni madogo wa mjini wanaojua kutafuta Pesa kwa kutengeneza vitu vyenye kuleta Attention... Nitafutie Biograph ya Jake Paul inayosema yeye ni professional boxer....Ambacho sio cha kweli kwenye maelezo yako ni kusema pambano limepangwa matokeo
Hakuna namna ambapo Bondia wa kaliba na umri wa Jack anahitaji kupanga matokeo ili kumpiga Tyson wa miaka 58
Kuhusu Tyson na Jack kutafuta hela.... hakuna pambano duniani linalofanyika wahusika wasipate hela
Ficha ujinga na wewe,unakua kama Lucas Mwashambwa mshamba mshamba toka mbozi.anajifanya anaijua ccm cheo hapati ng'ooooHujui boxing dogo. Unadhani mike wa miaka hii 58 atakuwa the same na anayepigana naye yupo kwenye 20s kama sikosei 27? Usikurupuke. Promotions ni kawaida. Unafahamu Messi L. Aliwahi mwogesha mchezaji gani akiwa mdogo na sasa hivi ni mchezaji maarufu? Jake to bow ni kuonesha respect kwa Mike Tyson. Wazungu wana respect so hata kama angekuwa hajawah onana naye kila Mwanamasumbwi anamfahamu Mike Tyson ni nani.
DOgo haya mambo huyafaham.siyo kila ukisimuliwa unakuja kuanzisha uzi.
Kiswahili,mhuni ni mtu asiye na ndoaNan kakuambia kutokua na familia ni kuishi kihuni?
Kutokua na ndoaUhuni ni kitu gani labda mimi ndio sielewi🤔
Kwa kamusi ya chumbani kwako upo sawa mkuuKiswahili,mhuni ni mtu asiye na ndoa