Match ya Boxing kati ya Mike Tyson na Jake Paul, matokeo yalikwisha pangwa

Match fixing........ Yes, it was.

Wamepigana ile kisela tu. Mike hakuwa seriously Wala bwana Paul. Wote lengo lao lilikuwa Moja, kutoaibishana.
 
Dogo hujui kitu, rudi kafanye tafiti.... Boxing inapangwa vizuri tu
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.
 
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.
 
You can't box at 58, huwezi tu, it's the other way around, walipanga wasimuaibishe tu Tyson.... In a serious fight Jake anampiga huyu Mzee hata napambano 100 mfululizo, the Mike you knew is gone, this is the shadow of the man, get over it
Mike tyson at 58 still yuko fit, hizi type of game ni za marketing. At hiyo age kungewekwa mkanda, ungemuona mike wa tofauti
 
Dogo hujui kitu. Unakaa kwenye kijiwe unasimuliwa unakuja anzisha uzi. Hata Jake Paul humfahamu. Unasema siyo Pro? Hujui.
 
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.
Dogo acha kukariri kwamba kila unayechat nae humu ni dogo wa 2000... Nzi akiacha ujinga anaweza kutengeneza asali.... Acha kuwa kama Nzi
 
Dogo hujui kitu. Unakaa kwenye kijiwe unasimuliwa unakuja anzisha uzi. Hata Jake Paul humfahamu. Unasema siyo Pro? Hujui.
View attachment 3153991
Narudia tena, Jake Paul ni madogo wa mjini wanaojaribu bahati zao kwenye kila mchezo, ni kama I Show Speed alivyo....

Sasa wewe baki na komwe lako hapo...
 
Dogo acha kukariri kwamba kila unayechat nae humu ni dogo wa 2000... Nzi akiacha ujinga anaweza kutengeneza asali.... Acha kuwa kama Nzi
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.
 
Narudia tena, Jake Paul ni madogo wa mjini wanaojaribu bahati zao kwenye kila mchezo, ni kama I Show Speed alivyo....

Sasa wewe baki na komwe lako hapo...
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.
 
hv hawa jamaa huwa wanapeleka wapi hela?
 
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.
Shida wewe dogo unaleta ujuaji kwenye kurasa za watu, ngoja tuje tukupakie mkongo tukutatue hilo jicho la tatu... Madogo wa siku hizi mnaleta dharau kwa Baba zenu
 
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. Halafu hamna kitu kichwani. Mmejaza makamasi tu badala ya ubongo na kazi yenu ni ku twerk tu siku nzima.
Shida wewe dogo unaleta ujuaji kwenye kurasa za watu, ngoja tuje tukupakie mkongo tukutatue hilo jicho la tatu... Madogo wa siku hizi mnaleta dharau kwa Baba zenu
 
Mkuu Dogo ni professional boxer
Wasifu wake popote pale unasomeka hivyo...... just do a simple googling
Unless wewe ndio unithibitishie kwamba sio professional boxer

Pambano lilikua halisi Mike alikua najaribu bahati yake

Swala la mpunga bado nasisitiza ni mabondia gani wanaopigana kwasababu zisizo za kibiashara? hawataki mpunga hadi inaonekana ajabu kwa Mike kuondoka na mpunga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…