Mate kujaa mdomoni, tena yenye harufu mbaya wakati wa kuamka asubuhi husababishwa na nini?

Mate kujaa mdomoni, tena yenye harufu mbaya wakati wa kuamka asubuhi husababishwa na nini?

Jamani wataalam au mtu anayejua hili tatizo la Kujaa Kwa mate mdomo wakati wa kuamka asubuhi, tena haya mate Huwa yanatoa harufu mbaya mno, muda mwingine hata mchana tu nikilala sana, nikiamka tu nakuta mate yamejaa mdomon sijui shid ni nini.

Wataalam au wenye kujua hili tatizo jamanšŸ™
Jitahidi kuweka kinywa chako safi wakati wote
Asubuhi piga mswaki vizuri
Kila ukila hakikisha unasukutua mdomo kutoa mabaki ya chakula ambayo yanavutia bacteria na ndio wanaoleta barufu mbaya mdomoni
Na kabla ya kulala usiku piga mswaki vizuri
Hutojawa na mate asubuhi kama kinywa chako ni kisafi
 
Jamani wataalam au mtu anayejua hili tatizo la Kujaa Kwa mate mdomo wakati wa kuamka asubuhi, tena haya mate Huwa yanatoa harufu mbaya mno, muda mwingine hata mchana tu nikilala sana, nikiamka tu nakuta mate yamejaa mdomon sijui shid ni nini.

Wataalam au wenye kujua hili tatizo jamanšŸ™
Swaki kabla ya kulala utakuja kunidshukuru baadae
 
Back
Top Bottom