wap inaonesha waisrael wamemmind? kwahiyo kuua watu 260 inakuwa halali kisa kauli ya huyo bibiAisee Wayahudi wamemmaindi kichizi huyo mama.
Nimetembelea Website ya Waisrael wanalaumu kuwa kwa nini Serikali haikumanage situation kabla huyo mama hajaongea na vyombo vya habari.
mtando huu hapa: Why did Israel allow a public diplomacy disaster?
Hata Sky news wamenukuu maneno ya huyo mama , wamendika hivi
View attachment 2791685
hao wengine aliowaua ilikuwa sw tu kisa alisena wasiue watu fulan ?Hivi ndivo mtume alivyosema
Na HAMAS wamefanya kwa vitendoView attachment 2791701
Hamas hawajatimiza hata moja hapo , juz trh 7 si wameua watoto wazee na kulipua misitu , Msiwe mnasahau mapena jaman ,ikipita miaka mtakumbuka kwel?Ni sahihi, wameufanya uislam wenyewe kabisa, kwa mafunzo ya mtume. Sio mijitu inafanya hovyo hovyo, inachinja watu wasio na hatia huku ikitaja jina la allah, jitu linaemda kujilipua, linaua watu hawana hatia, wanaupaka matope uislam
watu 260 waliuliwa ni sw tu ? waislam kichwan ni bogas sanaWanajuta kwanini walimuoji public [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Sisi Hamas tunaendelea kupiga kimya. Mtajuana huko wenyewe
kumteka kibibi kwasabab za kisiasa ni sahihi ? Mnaezekana waislam mnamuabudu Shetani , sijawai ona dini inafundisha ujinga kama Uislam , budha wakristu wote sijawai dini inafundisha ukorofi eti kuteka inaruhusiwa kwasabab maalum , Hiyo dini ikagueni mapema , SIKU ZA MWISHO ITAKUJA LIMTU LITAKULAZIMISHA KUMFUATA NA UKIKATAA UTAISH KWA MATESO , LEO TUNAONA VIKUNDI VINGI VYA KUENEZA UASLAM KWA LZM NA UKIKATAA UNAISH KWA MATATIZO KM MCH ADAM ALIYEISHI SOMALIA KAMA MKRISTU MKE WAKE WALIMUUA BILA SABAB NDUGU ZAKE WAKALAZIMISHWA KUMTENGA , PIA DINI INASEMA HILI JITU UKILIKUBALI KITAKUWEKEA ALAMA ILI LIWATAMBUE WATU NA LEO TUNAONA WAISLAM WANAPAMBANA KUWA NA SIGDA USONI , UISLAM UNA KILA DALILI YA KUWA DINI YA SHETAN , MAANA INAFUNDISHA MIGOGORO KULIKO KUWAFANYA WATU WAPENDA LICHA TOFAUTI ZAOInaruhusiwa kuteka kwa nia na madhumuni mazuri
Walipovamia tarehe 7 walikuwa wanatekeleza amri ipi kati ya hizo ulizozitaja?Hivi ndivo mtume alivyosema
Na HAMAS wamefanya kwa vitendoView attachment 2791701
Na kuuwa watoto na wwazee na wanawake wasiyo kuwa na hatia nini?Kumteka kikongwe kama huyo tu ni ugaidi na ndio tushuhudie wale wanaosema vikundi kama Hamas ni vikundi vya kigaidi sio waongo.
Na huyo kikongwe kwenye mahojiano alisema wakati wa kutekwa alipewa kipigo pamoja na kuporwa mkufu wake na watekaji taarifa ambayo mleta mada kwa sababu za kiimani hajaongelea kabisa.
Kama wewe kweli ni muungwana na mwenye kumuogopa Mungu kiukweli bila unafiki huwezi kabisa kufanya vitendo vya kigaidi kama kuteka watu sanasana unatakiwa kutafuta ufumbuzi wa changamoto zako kwa maombi zaidi.
Wewe unajivunia tu utamaduni wa kiarabu hamna zaidi na waafrika ni malimbukeni sana kuacha utamaduni wao na kukumbatia tamaduni za kigeni ambazo kwa upumbavu wao wanadanganywa eti ni dini. Bure kabisa.Ma Shaa Allah, najivunia sana Uislam wangu. Wewe unajivunia nini, upagani?
Uislam mwema sana, karibu.
Usijustify ugaidi kama nyenzo ya kutangaza imani yako.Hao jamaa wamekuta watu wanaendesha maisha yao kama kawaida wakaingia wakaua na kuteka halafu mnataka kujifariji kwamba dini yenu inatreat vizuri mateka.Hao unaowataja hawauwi kwa jina la Mungu waoHawa wanaoua watoto kwa miaka 50 sasa tuwaite nani? Waliovamia iraq bila ya sababu na kuua mamilioni ya watu tuwaite nani? Mamilioni ya watu wameuliwa na magharibi hadi babu zako huku africa bila ya sababu, waliopiga bomu la hiroshima hadi wakaharibu vizazi kwa mamilioni waitwe nani? Na huyo mzee wako aliyetekwa amewasifia hao hamas publicly hadi wazungu wanaona aibu na wamekata hii clip hata sky news
Kwa hiyo Hamas wamesafika?Toa ushaidi mateka alibakwa au kuuliwa na Hamas. Mmetumia nguvu nyingi sana kukaririsha watu kuwa Hamas ni watu wa ovyo kwa stori nyingi zisizokuwa na ushaidi. Sasa angalia m/mungu jinsi anavyotisha. Mnawasafisha Hamasi wenyewe bila shuruti
Wapi inaruhusiwa?Inaruhusiwa kuteka kwa nia na madhumuni mazuri
Kama ni wema hivyo, kwa nini asiendelee kukaa nao?Mwanamke mzee Muisrael aliyeachiliwa huru na wapiganaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema alikirimiwa na kutendewa wema katika muda wa wiki mbili alipokuwa ameshikiliwa mateka na kundi hilo la wanamapambano wa Palestina.
Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo, Yocheved Lifshitz, ajuza wa miaka 85, amesema Hamas ilimpatia daktari wa kushughulikia afya yake na kufanya kila njia kuhakikisha anapata dawa zake.
Ameongeza kuwa wapiganaji wa Hamas walishughulikia pia mahitaji yake. Bi Lifshitz amesema: "tulikula mkate, jibini nyeupe na matango, kama wao."
Bi Kizee huyo Muisrael ameendelea kusimulia alivyokirimiwa na wanamuqawama wa Palestina akisema: "walituambia wanaiamini Qur'ani na kwa hivyo hawatatudhuru".
Alipoulizwa kwa nini alipeana mkono na mmoja wa wanachama wa Hamas wakati wa kuachiliwa kwake, Bi Lifshitz alisema kwa sababu "walliamiliana nasi kwa wema na walishughulikia mahitaji yetu yote."
Jumatatu usiku, tawi la kijeshi la Hamas la Brigedi za Al Qassam lilitangaza kuwa limewaachilia huru mateka wawili wa Israel - Yocheved Lifshitz na Nurit Cooper mwenye umri wa 79 - kwa "sababu za ubinadamu."
Hiyo sio hoja na haiondoi ukweli kwamba Hamas ni kikundi cha kigaidi. Hamuwezi mkaua watu namna hiyo na kuteka wengine halafu bado mnasifiwa kwamba nyie ni watu wema na utakuta hata hao wanaowasifia nao ukichunguza utakuta ni walewale.Kuna mama mmoja wa kiyahudi Hamas waliingia katika nyumba yake, huyu mama akawaambia nina watoto wawili, wale Hamas wakamuambia usijali, sisi ni waislamu hatutokudhuru, huyu mama akashangaa sana akiwa na wasi wasi, wale Hamas wakaketi nae na watoto wake kwenye dining room.
Kulikuwa na askari mmoja mwenye silaha akiwalinda wengine wakizunguka ndani kufanya ukaguzi.
Mwanamke huyo wa kiyahudi anaendelea kusema pale mezani kulikuwa na ndizi, yule mpiganaji mmoja akamuomba yule mama, "naweza kula ndizi moja?", Huyu mama akamjibu ndio.
Anasema walikaa hapo kwa masaa mawili na baadae wakaondoka na wakafunga mlango.
NB: Sizungumzii udini, na nimeandika taarifa kama huyo mama alivyosema.
Hawa Hamas ukisikiliza shuhuda za walio wengi, medias kuna vitu hawasemi lakini kiukweli sidhani kama hawa jamaa wana ugaidi kama inavyodaiwa, na hata kama wanafanya matukio hayo ni kwa sababu kuna jambo ambalo wanafanyiwa na wao wanalipiza.
Lakini pia ni nguvu ya media tu waliyonayo West, lakini gaidi wa kwanza duniani ni US mwenyewe, i can say that.
Tazama hii video.
View: https://www.youtube.com/watch?v=rD7NI0tGbp8
Hao jamaa hamas, walimfyatulia binti risasi mpaka wamehakikisha atakua amekufa ila binti kumbe yuko hai bado.
Sasa ufanye uvamizi uue zaidi ya watu 1400 leo urudishe wawili useme wao ni wema😂😂😂😂.
Acheni ucheshi mnaocomment jamani.
Hiyo sio hoja na haiondoi ukweli kwamba Hamas ni kikundi cha kigaidi. Hamuwezi mkaua watu namna hiyo na kuteka wengine halafu bado mnasifiwa kwamba nyie ni watu wema na utakuta hata hao wanaowasifia nao ukichunguza utakuta ni walewale.
Mbona wale wengine waliwaua bila hatia? 1405 unaweza kuta hata walikuwa hawajawai kugombana na mpalestina hata mmoja sema uislaeli wao umewaumiza..........hapo hakuna cha quran wala bedui ...........wacha wapewe revenge iliyotukuka ili wajifunzeSafi sana kuwaonyesha kwa vitendo, sio kukaririshwa na marekani kuwa uislamu ni dini ya magaidi
I namaanisha wewe ujaziona clip za wale waislaeli waliouliwa bila hatia?..........kwa hiyo wale waislaeli wamejiua wenyewe.....?......ile takbil ilikuwa ya kujitekenya na harafu unacheka? Ama kweli hii dini yenu wapumbavu ni wengi kuliko wenye akili ....Toa ushaidi mateka alibakwa au kuuliwa na Hamas. Mmetumia nguvu nyingi sana kukaririsha watu kuwa Hamas ni watu wa ovyo kwa stori nyingi zisizokuwa na ushaidi. Sasa angalia m/mungu jinsi anavyotisha. Mnawasafisha Hamasi wenyewe bila shuruti
Aya yote pedophile Muhammad aliyafanyaHivi ndivo mtume alivyosema
Na HAMAS wamefanya kwa vitendoView attachment 2791701
Wale watetea LGBTQ sio magaidi? au hilo jambo ni jema kwako wewe yahudi wa Nzega?Kumteka kikongwe kama huyo tu ni ugaidi na ndio tushuhudie wale wanaosema vikundi kama Hamas ni vikundi vya kigaidi sio waongo.
Na huyo kikongwe kwenye mahojiano alisema wakati wa kutekwa alipewa kipigo pamoja na kuporwa mkufu wake na watekaji taarifa ambayo mleta mada kwa sababu za kiimani hajaongelea kabisa.
Kama wewe kweli ni muungwana na mwenye kumuogopa Mungu kiukweli bila unafiki huwezi kabisa kufanya vitendo vya kigaidi kama kuteka watu sanasana unatakiwa kutafuta ufumbuzi wa changamoto zako kwa maombi zaidi.