Mateka aisifu Hamas

Ni sahihi, wameufanya uislam wenyewe kabisa, kwa mafunzo ya mtume. Sio mijitu inafanya hovyo hovyo, inachinja watu wasio na hatia huku ikitaja jina la allah, jitu linaemda kujilipua, linaua watu hawana hatia, wanaupaka matope uislam
Hamas hawajatimiza hata moja hapo , juz trh 7 si wameua watoto wazee na kulipua misitu , Msiwe mnasahau mapena jaman ,ikipita miaka mtakumbuka kwel?
 
Inaruhusiwa kuteka kwa nia na madhumuni mazuri
kumteka kibibi kwasabab za kisiasa ni sahihi ? Mnaezekana waislam mnamuabudu Shetani , sijawai ona dini inafundisha ujinga kama Uislam , budha wakristu wote sijawai dini inafundisha ukorofi eti kuteka inaruhusiwa kwasabab maalum , Hiyo dini ikagueni mapema , SIKU ZA MWISHO ITAKUJA LIMTU LITAKULAZIMISHA KUMFUATA NA UKIKATAA UTAISH KWA MATESO , LEO TUNAONA VIKUNDI VINGI VYA KUENEZA UASLAM KWA LZM NA UKIKATAA UNAISH KWA MATATIZO KM MCH ADAM ALIYEISHI SOMALIA KAMA MKRISTU MKE WAKE WALIMUUA BILA SABAB NDUGU ZAKE WAKALAZIMISHWA KUMTENGA , PIA DINI INASEMA HILI JITU UKILIKUBALI KITAKUWEKEA ALAMA ILI LIWATAMBUE WATU NA LEO TUNAONA WAISLAM WANAPAMBANA KUWA NA SIGDA USONI , UISLAM UNA KILA DALILI YA KUWA DINI YA SHETAN , MAANA INAFUNDISHA MIGOGORO KULIKO KUWAFANYA WATU WAPENDA LICHA TOFAUTI ZAO
 
Na kuuwa watoto na wwazee na wanawake wasiyo kuwa na hatia nini?
 
Ma Shaa Allah, najivunia sana Uislam wangu. Wewe unajivunia nini, upagani?

Uislam mwema sana, karibu.
Wewe unajivunia tu utamaduni wa kiarabu hamna zaidi na waafrika ni malimbukeni sana kuacha utamaduni wao na kukumbatia tamaduni za kigeni ambazo kwa upumbavu wao wanadanganywa eti ni dini. Bure kabisa.
 
Usijustify ugaidi kama nyenzo ya kutangaza imani yako.Hao jamaa wamekuta watu wanaendesha maisha yao kama kawaida wakaingia wakaua na kuteka halafu mnataka kujifariji kwamba dini yenu inatreat vizuri mateka.Hao unaowataja hawauwi kwa jina la Mungu wao
 
Toa ushaidi mateka alibakwa au kuuliwa na Hamas. Mmetumia nguvu nyingi sana kukaririsha watu kuwa Hamas ni watu wa ovyo kwa stori nyingi zisizokuwa na ushaidi. Sasa angalia m/mungu jinsi anavyotisha. Mnawasafisha Hamasi wenyewe bila shuruti
Kwa hiyo Hamas wamesafika?
 
Kama ni wema hivyo, kwa nini asiendelee kukaa nao?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo sio hoja na haiondoi ukweli kwamba Hamas ni kikundi cha kigaidi. Hamuwezi mkaua watu namna hiyo na kuteka wengine halafu bado mnasifiwa kwamba nyie ni watu wema na utakuta hata hao wanaowasifia nao ukichunguza utakuta ni walewale.
 

Weka hiyo clip hapa
 
Hiyo sio hoja na haiondoi ukweli kwamba Hamas ni kikundi cha kigaidi. Hamuwezi mkaua watu namna hiyo na kuteka wengine halafu bado mnasifiwa kwamba nyie ni watu wema na utakuta hata hao wanaowasifia nao ukichunguza utakuta ni walewale.

Hamas ni magaidi, ila majeshi ya israel si magaidi

Mtu anatetea haki yake wewe unamuita gaidi! Marekani amewaharibu sana enyi wapagani wa Tanzania na duniani kote msiokua na imani

الحمد الله: إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 
Safi sana kuwaonyesha kwa vitendo, sio kukaririshwa na marekani kuwa uislamu ni dini ya magaidi
Mbona wale wengine waliwaua bila hatia? 1405 unaweza kuta hata walikuwa hawajawai kugombana na mpalestina hata mmoja sema uislaeli wao umewaumiza..........hapo hakuna cha quran wala bedui ...........wacha wapewe revenge iliyotukuka ili wajifunze
 
Toa ushaidi mateka alibakwa au kuuliwa na Hamas. Mmetumia nguvu nyingi sana kukaririsha watu kuwa Hamas ni watu wa ovyo kwa stori nyingi zisizokuwa na ushaidi. Sasa angalia m/mungu jinsi anavyotisha. Mnawasafisha Hamasi wenyewe bila shuruti
I namaanisha wewe ujaziona clip za wale waislaeli waliouliwa bila hatia?..........kwa hiyo wale waislaeli wamejiua wenyewe.....?......ile takbil ilikuwa ya kujitekenya na harafu unacheka? Ama kweli hii dini yenu wapumbavu ni wengi kuliko wenye akili ....
 
Wale watetea LGBTQ sio magaidi? au hilo jambo ni jema kwako wewe yahudi wa Nzega?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…