Mateka wa kiyahudi wasipopatikana je Israel itafanya nini?? Je bado wapo hai?

Mateka wa kiyahudi wasipopatikana je Israel itafanya nini?? Je bado wapo hai?

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Tukiwa tunaona nakushuhudia nguvu kubwa Israeli kubomoa ukanda wa gaza wote kama inavyojinasibu kuwa ni operation lakini kwa wachambuzi wa kivita wanasema Israel inatafuta mateka wakiyahudi 253+ ambao walitekwa na Hamas!

Wakati huo Vyama vya upinzani na wananchi wa Israel wakiandamana kumtaka Netanyau ajiuzuru kwa kushindwa kuwarudisha wapendwa wao! Mbinyo unaotoka ndani ya Israel ni mkubwa ambapo Nettanyau anataka meza ya mazungumzo kwa Hamas lakini kwa sharti moja ili wakae nikwamba wawarudishe Mateka kwanza na wao ndo watakaa meza na kuzungumza! ila Hamas wanajua janja ya Netanyau wanasema tuanze mazungumzo kwanza uache vita urudishe wapalestna 2700! waliopo katika magereza ya Israel!

Israel inaonekana hataki lakini kwa hili atalazimika tu,maana mbinyo anaoupata kutoka nchini mwake ni mkubwa!. Swali langu endapo Hamas wasipo warudisha itakuwaje je hao mateka wapo hai je aiwezekani waliuwawa kwa kisasa baada ya israel kuua watu wengi uko Gaza? Je itakuwaje kama wasipoonekana??Tafakuri
 
Tukiwa tunaona nakushuhudia nguvu kubwa Israeli kubomoa ukanda wa gaza wote kama inavyojinasibu kuwa ni operation lakini kwa wachambuzi wa kivita wanasema Israel inatafuta mateka wakiyahudi 150+ ambao walitekwa na Hamas! Wakati huo Vyama vya upinzani na wananchi wa Israel wakiandamana kumtaka Netanyau ajiuzuru kwa kushindwa kuwarudisha wapendwa wao! Mbinyo unaotoka ndani ya Israel ni mkubwa ambapo Nettanyau anataka meza ya mazungumzo kwa Hamas lakini kwa sharti moja ili wakae nikwamba wawarudishe Mateka kwanza na wao ndo watakaa meza na kuzungumza! ila Hamas wanajua janja ya Netanyau wanasema tuanze mazungumzo kwanza uache vita urudishe wapalestna 2700! waliopo katika magereza ya Israel! Israel inaonekana hataki lakini kwa hili atalazimika tu,maana mbinyo anaoupata kutoka nchini mwake ni mkubwa!. Swali langu endapo Hamas wasipo warudisha itakuwaje je hao mateka wapo hai je aiwezekani waliuwawa kwa kisasa baada ya israel kuua watu wengi uko Gaza? Je itakuwaje kama wasipoonekana??Tafakuri
Sasa sioni faida ya hamas kudai wafungwa 2700 kwa kuteka wayahudi 253 na kupelekea vita iliyoua wapalestina 30000 na kubomoa 50% ya nyumba za Gaza
 
Hasara wanayoipata Wapalestina ni kubwa kwa gharama ya ujinga wa Hamas.
Makundi aina ya hamas yote ni akili ndogo sana. Jaribu kuangalia Taliban wanachofanya kwa wanawake wa Afghanistan,jaribu kuangalia Boko haram ilivyoteka wale watoto wa shule wa kike nakuwabaka kwa miaka,jaribu kufikiria huko Somalia jitu jinga la alshabab linaenda kujilipua sokoni huku linaimba Allahu akbar.
 
Sidhani kama watu humu wanaelewa gharama ya kudai uhuru ? Ndio maana CCM mpaka sasa wana uhuru wa kutawala
Kudai ukitakacho kama ni haki yako ya kweli ni jambo jema.Lakini,mbinu zinatakiwa kuwa za akili nyingi bila kuumiza watu wako.Kudai chako siyo ufunguo wa kujiumiza au kuruhusu kuumizwa zaidi ya matarajio.
 
Kudai ukitakacho kama ni haki yako ya kweli ni jambo jema.Lakini,mbinu zinatakiwa kuwa za akili nyingi bila kuumiza watu wako.Kudai chako siyo ufunguo wa kujiumiza au kuruhusu kuumizwa zaidi ya matarajio.
Sidhani kama gharama za kudai uhuru unazifahamu.

Unafikiri uhuru unaletwa kwa soft ways soma historia za mataifa yote yanayo tikisa dunia juu ya mabadiliko yao yalikuwaje.

Matembezi ya hisani hayaleti mabadiliko yoyote hizo njia wanazo tumia Hamas ni sahihi kabisa sema tu wanakosa support zaidi kwa majirani zake.

Israel anapaswa atandikwe mpaka sebuleni mwake ili ajue machungu ya kuwa koloni wenzake.
 
Makundi aina ya hamas yote ni akili ndogo sana. Jaribu kuangalia Taliban wanachofanya kwa wanawake wa Afghanistan,jaribu kuangalia Boko haram ilivyoteka wale watoto wa shule wa kike nakuwabaka kwa miaka,jaribu kufikiria huko Somalia jitu jinga la alshabab linaenda kujilipua sokoni huku linaimba Allahu akbar.
True, never give them a chance
 
Wasipopatokana Israel wamesema hiyo vita itaendelea millele hadi watakapatikana hai au wamekufa

Na wamesema lazima wakabidhiwe kabla mfumgo wa Ramadhani kuanza mfungo ukianza hawajakabidhi watakachokifanya Dunia hadji kusahau.Kuwa hicho walichofanya cha mtoto
 
Sidhani kama gharama za kudai uhuru unazifahamu.

Unafikiri uhuru unaletwa kwa soft ways soma historia za mataifa yote yanayo tikisa dunia juu ya mabadiliko yao yalikuwaje.

Matembezi ya hisani hayaleti mabadiliko yoyote hizo njia wanazo tumia Hamas ni sahihi kabisa sema tu wanakosa support zaidi kwa majirani zake.

Israel anapaswa atandikwe mpaka sebuleni mwake ili ajue machungu ya kuwa koloni wenzake.
Mimi si wewe hadi nikuchagulie njia yako ya madai.Tumia unayoiona inafaa.
 
Sidhani kama gharama za kudai uhuru unazifahamu.

Unafikiri uhuru unaletwa kwa soft ways soma historia za mataifa yote yanayo tikisa dunia juu ya mabadiliko yao yalikuwaje.

Matembezi ya hisani hayaleti mabadiliko yoyote hizo njia wanazo tumia Hamas ni sahihi kabisa sema tu wanakosa support zaidi kwa majirani zake.

Israel anapaswa atandikwe mpaka sebuleni mwake ili ajue machungu ya kuwa koloni wenzake.
Majirani wanajua matokeo ya hilo ndio maana hawathubutu, Egypt alishaonja miaka ya 70
 
Hii vita inapelekea Taifa huru la Wapalestina kupatikana siku si nyingi zijazo !!!
Taifa Huru la wapalestina linapatikana kwa damu ya wapalestina !!
Na lazima iwe hivyo wasipokubali kuwa hivyo inapaswa ukoloni waukubali na yawe ndio maisha yao.

Hamas mbinu wanazo tumia ni sahihi kabisa inachohitajika ni support zaidi kwa majirani zake
 
Back
Top Bottom