Mateka wa kiyahudi wasipopatikana je Israel itafanya nini?? Je bado wapo hai?

Mateka wa kiyahudi wasipopatikana je Israel itafanya nini?? Je bado wapo hai?

Wasipopatokana Israel wamesema hiyo vita itaendelea millele hadi watakapatikana hai au wamekufa

Na wamesema lazima wakabidhiwe kabla mfumgo wa Ramadhani kuanza mfungo ukianza hawajakabidhi watakachokifanya Dunia hadji kusahau.Kuwa hicho walichofanya cha mtoto
Mbona tuliambiwa Israel ina intelijensia kali sana? Wanakwamaje kuwapata
 
Mbona tuliambiwa Israel ina intelijensia kali sana? Wanakwamaje kuwapata
Wameshajua walipo mbona
Waliwakimbizia nchi ya Qatar
Israel wametishia kuishambulia Qatar na Qatar yuko kwenye Mazungumzo na Raisi wa Ufaransa anayesimamia swala hilo ili kuwarudisha hao mateka kabla ya Ramadhani kuanza
 
Israel wametishia kuishambulia Qatar
Kwahiyo makomandoo wa taifa teule walishindwa kujua mateka wametoroshwaje ilihali wana intelijensia kali dunia nzima? Yaani mtu umeteka Gaza nzima hao mateka walitoroshwaje majasusi wateule wasijue?
 
Israel wametishia kuishambulia Qatar
Mbona tuliambiwa wanaokoaga mateka wao kwa kutumia makomandoo popote pale duniani, sasa kivipi mpaka wavamie nchi na mandege na mavifaru ili kuokoa mateka 200 tu!! Si makomandoo wa taifa teule 10 tu tuliambiwa wanatosha?
 
Tukiwa tunaona nakushuhudia nguvu kubwa Israeli kubomoa ukanda wa gaza wote kama inavyojinasibu kuwa ni operation lakini kwa wachambuzi wa kivita wanasema Israel inatafuta mateka wakiyahudi 253+ ambao walitekwa na Hamas!

Wakati huo Vyama vya upinzani na wananchi wa Israel wakiandamana kumtaka Netanyau ajiuzuru kwa kushindwa kuwarudisha wapendwa wao! Mbinyo unaotoka ndani ya Israel ni mkubwa ambapo Nettanyau anataka meza ya mazungumzo kwa Hamas lakini kwa sharti moja ili wakae nikwamba wawarudishe Mateka kwanza na wao ndo watakaa meza na kuzungumza! ila Hamas wanajua janja ya Netanyau wanasema tuanze mazungumzo kwanza uache vita urudishe wapalestna 2700! waliopo katika magereza ya Israel!

Israel inaonekana hataki lakini kwa hili atalazimika tu,maana mbinyo anaoupata kutoka nchini mwake ni mkubwa!. Swali langu endapo Hamas wasipo warudisha itakuwaje je hao mateka wapo hai je aiwezekani waliuwawa kwa kisasa baada ya israel kuua watu wengi uko Gaza? Je itakuwaje kama wasipoonekana??Tafakuri
Labda huwajui wayahud. Hata Netanyahu akiachia kichapo kiko pale pale mkuu.
 
Hii vita inapelekea Taifa huru la Wapalestina kupatikana siku si nyingi zijazo !!!
Taifa Huru la wapalestina linapatikana kwa damu ya wapalestina !!
Akuna namna nyingine kabbisa
 
Mbona tuliambiwa wanaokoaga mateka wao kwa kutumia makomandoo popote pale duniani, sasa kivipi mpaka wavamie nchi na mandege na mavifaru ili kuokoa mateka 200 tu!! Si makomandoo wa taifa teule 10 tu tuliambiwa wanatosha?
Kwanza wanatoa tishio ndicho walichofanya kabla kutumia military operation
Sababu wao wana ugomvi na Hamas nchi ya Qatar imeamua kununua ugomvi ndio wanamwambia Qatar lete mateka wetu la sivyo tunalianzisha na wewe
 
Kwanza wanatoa tishio ndicho walichofanya kabla kutumia military operation
Sababu wao wana ugomvi na Hamas nchi ya Qatar imeamua kununua ugomvi ndio wanamwambia Qatar lete mateka wetu la sivyo tunalianzisha na wewe
Mateka wako Gaza humo humo subiri siku ya mabadilishano uone
 
Mbona tuliambiwa wanaokoaga mateka wao kwa kutumia makomandoo popote pale duniani, sasa kivipi mpaka wavamie nchi na mandege na mavifaru ili kuokoa mateka 200 tu!! Si makomandoo wa taifa teule 10 tu tuliambiwa wanatosha?
Zile ni movie kwanza fahamu myahudi hakuwa akijua kuwa kuna maandaki gaza nzima hivyo mpaka wanaibukia Israel wanaua watu wanateka wengine wanazama nao gaza myahudi aliishiwa pozi ndiyo maana kisasi nikuua watu hovyo na jamaa nahisi mateka wapo syria au Lebanon au hata Iran au walishauwawa zamani yote yanawezekana!!
 
Sidhani kama gharama za kudai uhuru unazifahamu.

Unafikiri uhuru unaletwa kwa soft ways soma historia za mataifa yote yanayo tikisa dunia juu ya mabadiliko yao yalikuwaje.

Matembezi ya hisani hayaleti mabadiliko yoyote hizo njia wanazo tumia Hamas ni sahihi kabisa sema tu wanakosa support zaidi kwa majirani zake.

Israel anapaswa atandikwe mpaka sebuleni mwake ili ajue machungu ya kuwa koloni wenzake.
Sasa hiyo ni ndoto ya alinacha ambayo kwa bahati mbaya haitatimia.
 
Na lazima iwe hivyo wasipokubali kuwa hivyo inapaswa ukoloni waukubali na yawe ndio maisha yao.

Hamas mbinu wanazo tumia ni sahihi kabisa inachohitajika ni support zaidi kwa majirani zake
Majirani zao wanajua hawawezi kukubali kuonja sumu.
 
Back
Top Bottom