Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Wewe unaakili kuliko hao wachina walizoona hizo mbinu zinafaa kwao ? Jibu swaliUmewahi kukaa jirani nami na kunilinganisha na mchina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaakili kuliko hao wachina walizoona hizo mbinu zinafaa kwao ? Jibu swaliUmewahi kukaa jirani nami na kunilinganisha na mchina?
Umewahi kuniona au unataka nijibu kukufurahisha tu?Unabishana kuhusu ulaji wa upepo kwa uma?Wewe unaakili kuliko hao wachina walizoona hizo mbinu zinafaa kwao ? Jibu swali
Huna akili sihitaji hata kukuonaUmewahi kuniona au unataka nijibu kukufurahisha tu?Unabishana kuhusu ulaji wa upepo kwa uma?
Kwani uhuru upi wa palestina kwani palestina ilishawahi kuwepo?Sidhani kama gharama za kudai uhuru unazifahamu.
Unafikiri uhuru unaletwa kwa soft ways soma historia za mataifa yote yanayo tikisa dunia juu ya mabadiliko yao yalikuwaje.
Matembezi ya hisani hayaleti mabadiliko yoyote hizo njia wanazo tumia Hamas ni sahihi kabisa sema tu wanakosa support zaidi kwa majirani zake.
Israel anapaswa atandikwe mpaka sebuleni mwake ili ajue machungu ya kuwa koloni wenzake.
Kuheshimiana ni suala dogo sana.Huna akili sihitaji hata kukuona
Wewe ni tahira ?Kwani uhuru upi wa palestina kwani palestina ilishawahi kuwepo?
Nani sasa wa kumtandika? Maana kila mmoja anayewatetea Hamas, anafanya hivyo kwenye keyboard au micIsrael anapaswa atandikwe mpaka sebuleni mwake ili ajue machungu ya kuwa koloni wenzake.
Hujajibu swali je taifa la palestina liliwahi kuwepo ? Lilianza mwaka ganiWewe ni tahira ?
Aiseeee washauwawa hao na najiuliza tu waliwatekajeTukiwa tunaona nakushuhudia nguvu kubwa Israeli kubomoa ukanda wa gaza wote kama inavyojinasibu kuwa ni operation lakini kwa wachambuzi wa kivita wanasema Israel inatafuta mateka wakiyahudi 253+ ambao walitekwa na Hamas!
Wakati huo Vyama vya upinzani na wananchi wa Israel wakiandamana kumtaka Netanyau ajiuzuru kwa kushindwa kuwarudisha wapendwa wao! Mbinyo unaotoka ndani ya Israel ni mkubwa ambapo Nettanyau anataka meza ya mazungumzo kwa Hamas lakini kwa sharti moja ili wakae nikwamba wawarudishe Mateka kwanza na wao ndo watakaa meza na kuzungumza! ila Hamas wanajua janja ya Netanyau wanasema tuanze mazungumzo kwanza uache vita urudishe wapalestna 2700! waliopo katika magereza ya Israel!
Israel inaonekana hataki lakini kwa hili atalazimika tu,maana mbinyo anaoupata kutoka nchini mwake ni mkubwa!. Swali langu endapo Hamas wasipo warudisha itakuwaje je hao mateka wapo hai je aiwezekani waliuwawa kwa kisasa baada ya israel kuua watu wengi uko Gaza? Je itakuwaje kama wasipoonekana??Tafakuri
Hapa ulipo uliza kuhusu taifa la PalestineHujajibu swali je taifa la palestina liliwahi kuwepo ? Lilianza mwaka gani
Ni hesabu za kijinga kudai watu 2,700 kwa kupoteza uhai wa watu 30,000Sasa sioni faida ya hamas kudai wafungwa 2700 kwa kuteka wayahudi 253 na kupelekea vita iliyoua wapalestina 30000 na kubomoa 50% ya nyumba za Gaza
Wewe unaakili kuliko hao wachina walizoona hizo mbinu zinafaa kwao ? Jibu swali
Palestina haitawahi kutokea tena mkianzisha vita israel ndio ana dhidi kuchukua maeneoHii vita inapelekea Taifa huru la Wapalestina kupatikana siku si nyingi zijazo !!!
Taifa Huru la wapalestina linapatikana kwa damu ya wapalestina !!
Inasikitisha sana,wanatangaza kufia katika kudai haki kwa kujitoa ufahamu kufa na wasiodaiwa hiyo haki.Makundi aina ya hamas yote ni akili ndogo sana. Jaribu kuangalia Taliban wanachofanya kwa wanawake wa Afghanistan,jaribu kuangalia Boko haram ilivyoteka wale watoto wa shule wa kike nakuwabaka kwa miaka,jaribu kufikiria huko Somalia jitu jinga la alshabab linaenda kujilipua sokoni huku linaimba Allahu akbar.
Sasa kama mnajua uwamuzi wa hamas kudai uhuru ni sahihi mbona mnatulilia lia wapalestina wanatesekaHongera, umefanikiwa kuwajibu wote kwa wakati mmoja wale ambao wanahoji uamuzi wa Hamas kuingia vitani dhidi ya israel.
Japo wanacho fanya Israel sio sahihi lakini hakuna siku wataruhusu taifa la kufikirika linaloitwa palestina kuundwa kwa sababu masharti ya kuundwa kwake Israel hawezi kukubali kwa namna yoyote ile, Amka kwenye huo usingizi usije ukaloeka godoro ni masika hii utakosa pa kuanikaHii vita inapelekea Taifa huru la Wapalestina kupatikana siku si nyingi zijazo !!!
Taifa Huru la wapalestina linapatikana kwa damu ya wapalestina !!
Sasa hivi duniani kote Hadi marekani wanapush Palestine wapate taifa lao...acha Israel wabomoe majumba Ila Palestine wakipata taifa lao watakua wameshinda,Sasa hv Israel wanalazimisha Hilo taifa la Palestine lisiwe na jeshiHasara wanayoipata Wapalestina ni kubwa kwa gharama ya ujinga wa Hamas.
Marekani tu akisema Palestine iwepo basi inakuwepo,maana ndiye amlishae IsraelJapo wanacho fanya Israel sio sahihi lakini hakuna siku wataruhusu taifa la kufikirika linaloitwa palestina kuundwa kwa sababu masharti ya kuundwa kwake Israel hawezi kukubali kwa namna yoyote ile, Amka kwenye huo usingizi usije ukaloeka godoro ni masika hii utakosa pa kuanika