Mateka wa Tanzania kutoachiwa mapema kuna kosa tumefanya

Mateka wa Tanzania kutoachiwa mapema kuna kosa tumefanya

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kama inavyojulikana kuwa mateka wa nchi za nje huwa wanaachiwa tu kwa kushtukiz kwani Hamas hawakuwaingiza kwenye mashari yao ya kusitishwa vita,
Siku mbili za mwanzo wameachiwa waisrael wengi wao wakiwa ni akinamama na watoto.Pamoja nao walitolewa mateka kikundi kutoka Thailand.Katika orodha ya siku ya tatu yupo mateka wa Urusi ambaye Hamas wanasema wamemuachia baada ya raisi Putin kuwa na ukaribu nao.
Tanzania tunaweza tukawa tumejiuliza mbona mateka wetu,Mollel hajatolewa ?
Kwa namna ambavyo Hamas wamekuwa wakiwatoa mateka kwa kuzingatia maslahi ya pande zote lazima wizara ya mambo ya nje ya Palestina ilipata taarifa jinsi ambavyo Tanzania imeonekana kupuuza maslahi yao na kushindwa kulaani wazi wazi ukatili wa Israel kiasi kwamba jeshi la polisi la Tanzania lilipiga marufuku maandamano ya kuilaani Israel.
Naamini hatimae mateka huyo waliyebaki naye baada ya mwenzake kuuliwa na mabomu ya Israel atatolewa salama lakini kumuweka wa mwisho ni salamu kwa Tanzania kutokana na kubadili siasa zake katika miaka michache iliyopita.
 
Kama inavyojulikana kuwa mateka wa nchi za nje huwa wanaachiwa tu kwa kushtukiz kwani Hamas hawakuwaingiza kwenye mashari yao ya kusitishwa vita,
Siku mbili za mwanzo wameachiwa waisrael wengi wao wakiwa ni akinamama na watoto.Pamoja nao walitolewa mateka kikundi kutoka Thailand.Katika orodha ya siku ya tatu yupo mateka wa Urusi ambaye Hamas wanasema wamemuachia baada ya raisi Putin kuwa na ukaribu nao.
Tanzania tunaweza tukawa tumejiuliza mbona mateka wetu,Mollel hajatolewa ?
Kwa namna ambavyo Hamas wamekuwa wakiwatoa mateka kwa kuzingatia maslahi ya pande zote lazima wizara ya mambo ya nje ya Palestina ilipata taarifa jinsi ambavyo Tanzania imeonekana kupuuza maslahi yao na kushindwa kulaani wazi wazi ukatili wa Israel kiasi kwamba jeshi la polisi la Tanzania lilipiga marufuku maandamano ya kuilaani Israel.
Naamini hatimae mateka huyo waliyebaki naye baada ya mwenzake kuuliwa na mabomu ya Israel atatolewa salama lakini kumuweka wa mwisho ni salamu kwa Tanzania kutokana na kubadili siasa zake katika miaka michache iliyopita.
Hao wanaomshikilia huyo mateka ambaye hahusiki na huu mzozo ni malimbukeni.
 
Kama inavyojulikana kuwa mateka wa nchi za nje huwa wanaachiwa tu kwa kushtukiz kwani Hamas hawakuwaingiza kwenye mashari yao ya kusitishwa vita,
Siku mbili za mwanzo wameachiwa waisrael wengi wao wakiwa ni akinamama na watoto.Pamoja nao walitolewa mateka kikundi kutoka Thailand.Katika orodha ya siku ya tatu yupo mateka wa Urusi ambaye Hamas wanasema wamemuachia baada ya raisi Putin kuwa na ukaribu nao.
Tanzania tunaweza tukawa tumejiuliza mbona mateka wetu,Mollel hajatolewa ?
Kwa namna ambavyo Hamas wamekuwa wakiwatoa mateka kwa kuzingatia maslahi ya pande zote lazima wizara ya mambo ya nje ya Palestina ilipata taarifa jinsi ambavyo Tanzania imeonekana kupuuza maslahi yao na kushindwa kulaani wazi wazi ukatili wa Israel kiasi kwamba jeshi la polisi la Tanzania lilipiga marufuku maandamano ya kuilaani Israel.
Naamini hatimae mateka huyo waliyebaki naye baada ya mwenzake kuuliwa na mabomu ya Israel atatolewa salama lakini kumuweka wa mwisho ni salamu kwa Tanzania kutokana na kubadili siasa zake katika miaka michache iliyopita.

Kwani wapo wangapi? Tupe takwimu tuchambue hapa.
 
Idadi hata Israel yenye kusifika na ujasusi hawaijui.Wanashtukiza kupokea orodha kutoka Hamas.
Kwanza waulize wao kabla kuniuliza mimi.

Taarifa tulizonazo toka ubalozi wa Tz zilieleza kuwa ni watanzania wawili ambapo juzijuzi Israel yenyewe ilikiri kuwa walikuwa ni wawili na mmoja amefariki! Sasa wewe tupe takwimu zako maana tunajua yupo mmoja huko kwa watekaji maana tusijeanzisha uzushi na taharuki humu! Chap, tuletee takwimu zako na wewe, mimi nimeshakupa zangu!
 
Kama inavyojulikana kuwa mateka wa nchi za nje huwa wanaachiwa tu kwa kushtukiz kwani Hamas hawakuwaingiza kwenye mashari yao ya kusitishwa vita,
Siku mbili za mwanzo wameachiwa waisrael wengi wao wakiwa ni akinamama na watoto.Pamoja nao walitolewa mateka kikundi kutoka Thailand.Katika orodha ya siku ya tatu yupo mateka wa Urusi ambaye Hamas wanasema wamemuachia baada ya raisi Putin kuwa na ukaribu nao.
Tanzania tunaweza tukawa tumejiuliza mbona mateka wetu,Mollel hajatolewa ?
Kwa namna ambavyo Hamas wamekuwa wakiwatoa mateka kwa kuzingatia maslahi ya pande zote lazima wizara ya mambo ya nje ya Palestina ilipata taarifa jinsi ambavyo Tanzania imeonekana kupuuza maslahi yao na kushindwa kulaani wazi wazi ukatili wa Israel kiasi kwamba jeshi la polisi la Tanzania lilipiga marufuku maandamano ya kuilaani Israel.
Naamini hatimae mateka huyo waliyebaki naye baada ya mwenzake kuuliwa na mabomu ya Israel atatolewa salama lakini kumuweka wa mwisho ni salamu kwa Tanzania kutokana na kubadili siasa zake katika miaka michache iliyopita.
Siyo Siri, kwa upande wa Serikali yetu ya Tz kuna uzembe fulani ulifanyika ktk kuwanusuru mateka raia wa Tz. Tangu enzi za utawala wa awamu ya Kwanza za Mwl. Nyerere, msimamo wa Tanzania unajulikana wazi kabisa kuhusu mgogoro huu wa Israel na Palestina kwamba Tz inaunga mkono uhuru wa Wapalestina, naamini hata Wapalestina wenyewe na Hamas wanatambua msimamo huu wa Serikali yetu. Kwa kutumia msimamo huu na kwa kutumia urafiki mkubwa uliopo kati ya Serikali ya Tz na Serikali marafiki na Wapalestina/Kundi la Hamas, Serikali yetu ingeweza kuishawishi au kuwaomba Hamas kuweza kuwaachia huru au kuwatendea wema mateka raia wa Tz. Serikali ingefanya ushawishi huu kwa kuwatumia/kupitia marafiki wa Hamas kama vile Serikali ya Misri, Yemen, Iran, UAE, Qatar, n.k., kwa vyovyote vile Hamas wasingeweza kukataa ombi la Serikali ya Tz ukizingatia kwamba Tz siyo nchi ambayo ni maadui wa Wapalestina au Hamas.
 
Kama inavyojulikana kuwa mateka wa nchi za nje huwa wanaachiwa tu kwa kushtukiz kwani Hamas hawakuwaingiza kwenye mashari yao ya kusitishwa vita,
Siku mbili za mwanzo wameachiwa waisrael wengi wao wakiwa ni akinamama na watoto.Pamoja nao walitolewa mateka kikundi kutoka Thailand.Katika orodha ya siku ya tatu yupo mateka wa Urusi ambaye Hamas wanasema wamemuachia baada ya raisi Putin kuwa na ukaribu nao.
Tanzania tunaweza tukawa tumejiuliza mbona mateka wetu,Mollel hajatolewa ?
Kwa namna ambavyo Hamas wamekuwa wakiwatoa mateka kwa kuzingatia maslahi ya pande zote lazima wizara ya mambo ya nje ya Palestina ilipata taarifa jinsi ambavyo Tanzania imeonekana kupuuza maslahi yao na kushindwa kulaani wazi wazi ukatili wa Israel kiasi kwamba jeshi la polisi la Tanzania lilipiga marufuku maandamano ya kuilaani Israel.
Naamini hatimae mateka huyo waliyebaki naye baada ya mwenzake kuuliwa na mabomu ya Israel atatolewa salama lakini kumuweka wa mwisho ni salamu kwa Tanzania kutokana na kubadili siasa zake katika miaka michache iliyopita.
kwahiyo unaona ni sw mtu kukulazimisha kushiriki vita yake ? na kibaya zaidi waafadhiri ugaidi bara afrika ambao umeleta madhara sio tu kwa watu iman nyingine bali hadi waislam , ndugu zetu waafrika amkeni mnaabudu mizimu ya waarabu inatuua na kutunyanyapaa ,TUSIFUNGWE AKILI NA HIZI DINI ZA KULETEWA
 
Halafu kama sio waislam uhuru wa Tanganyika leo mpaka pengine lingalikuwa Koloni na UK
Google mapinduzi ya Zanzibar yalifanywa na nani? Hao waislamu orijino waarabu walikimbizwa Zanzibar. Kwanini?
Unafikiri tungebaki kuwa koloni la UK? Hii nchi ingepata uhuru tu
kwani Kenya ilipata uhuru kwa kuwepo kwa waislamu?
 
Google mapinduzi ya Zanzibar yalifanywa na nani? Hao waislamu orijino waarabu walikimbizwa Zanzibar. Kwanini?
Unafikiri tungebaki kuwa koloni la UK? Hii nchi ingepata uhuru tu
kwa Kenya ilipata uhuru kwa kuwepo kwa waislamu?
Tanganyika woga. Mwaka wa 40 mnadai katiba mpya kimya. Kenya mbona washaipata
 
Kama inavyojulikana kuwa mateka wa nchi za nje huwa wanaachiwa tu kwa kushtukiz kwani Hamas hawakuwaingiza kwenye mashari yao ya kusitishwa vita,
Siku mbili za mwanzo wameachiwa waisrael wengi wao wakiwa ni akinamama na watoto.Pamoja nao walitolewa mateka kikundi kutoka Thailand.Katika orodha ya siku ya tatu yupo mateka wa Urusi ambaye Hamas wanasema wamemuachia baada ya raisi Putin kuwa na ukaribu nao.
Tanzania tunaweza tukawa tumejiuliza mbona mateka wetu,Mollel hajatolewa ?
Kwa namna ambavyo Hamas wamekuwa wakiwatoa mateka kwa kuzingatia maslahi ya pande zote lazima wizara ya mambo ya nje ya Palestina ilipata taarifa jinsi ambavyo Tanzania imeonekana kupuuza maslahi yao na kushindwa kulaani wazi wazi ukatili wa Israel kiasi kwamba jeshi la polisi la Tanzania lilipiga marufuku maandamano ya kuilaani Israel.
Naamini hatimae mateka huyo waliyebaki naye baada ya mwenzake kuuliwa na mabomu ya Israel atatolewa salama lakini kumuweka wa mwisho ni salamu kwa Tanzania kutokana na kubadili siasa zake katika miaka michache iliyopita.
Serikali yetu ilitulia kimyaaa, nchi zingine wamepiga kelele na kuwasiliana na ubalozi wa palestina, wakaachiwa. umeona kama wale wa thailand ambao hata sio waislam ni wabudha, wameachiwa. Rais aongee tu na balozi wa Palestina, ambaye ndani ya serikali yake kuna hamas kama chama pinzani, wampigie tu Ismail Haniyah kule Qatar wanakofanyia mazungumzo kwamba awaachie watoto wa kitanzania. sijui kwanini serikali yetu huwa haijali sana raia wake kama nchi zingine, unajua nchi zingine raia wao akipata shida wanakuja chap kuangalia shida ni nini na namna ya kumwokoa.
 
Tanganyika woga. Mwaka wa 40 mnadai katiba mpya kimya. Kenya mbona washaipata
Kwahiyo Kenya ni waislamu? Nchi haijengwi kwa kuuana na vita bali maridhiano.
Libya, Somalia na Sudan wameishia wapi?
Mbona Zanzibar ina waislamu wengi lkn ni masikini bora hata Tanganyika.
Kwani waislamu wameandamana kudai katiba mpy?
 
Serikali yetu ilitulia kimyaaa, nchi zingine wamepiga kelele na kuwasiliana na ubalozi wa palestina, wakaachiwa. umeona kama wale wa thailand ambao hata sio waislam ni wabudha, wameachiwa. Rais aongee tu na balozi wa Palestina, ambaye ndani ya serikali yake kuna hamas kama chama pinzani, wampigie tu Ismail Haniyah kule Qatar wanakofanyia mazungumzo kwamba awaachie watoto wa kitanzania. sijui kwanini serikali yetu huwa haijali sana raia wake kama nchi zingine, unajua nchi zingine raia wao akipata shida wanakuja chap kuangalia shida ni nini na namna ya kumwokoa.
Siyo mvaa kobazi na anawaunga mkono Hamas na wapalestina
 
Hao wanaomshikilia huyo mateka ambaye hahusiki na huu mzozo ni malimbukeni.
Umejuaje kama sio muhusika je kama alikuwa ni muungaji mkono wa yanayo fanywa na Israel dhidi ya palestina kama baadhi ya warokole wa humu jf?
 
Kwahiyo Kenya ni waislamu? Nchi haijengwi kwa kuuana na vita bali maridhiano.
Libya, Somalia na Sudan wameishia wapi?
Mbona Zanzibar ina waislamu wengi lkn ni masikini bora hata Tanganyika.
Kwani waislamu wameandamana kudai katiba mpy?

Kwahiyo Kenya ni waislamu? Nchi haijengwi kwa kuuana na vita bali maridhiano.
Libya, Somalia na Sudan wameishia wapi?
Mbona Zanzibar ina waislamu wengi lkn ni masikini bora hata Tanganyika.
Kwani waislamu wameandamana kudai katiba mpy?
Sudan ya kusini. Rwanda , Kongo , Angola, Burundi? Hizi umezisahau? Au Mwamposa hajakukaririsha?
 
Mwenyekiti ni mvaa kobazi aliyekamatwa siyo mvaa kobazi kwahiyo hawezi kuwa na uchungu wowote.
Hawa wavaa kobazi kwanini walivurumishwa Zanzibar?
Soma Zanzibar Revolution
Sasa kama huyo mateka atakuwa amejaa chuki dhidi ya waisilamu kama ulivyo ww unategemea hao unao waita wavaa kobazi watamthamini kwa lipi?
 
Umejuaje kama sio muhusika je kama alikuwa ni muungaji mkono wa yanayo fanywa na Israel dhidi ya palestina kama baadhi ya warokole wa humu jf?
Aah wapi !....kuunga mkono kivipi labda embu fafanua?....

kwani hawa wa humu JF wanaipa Israel silaha za kuipiga Gaza ?
 
Back
Top Bottom