Mateka wa Tanzania kutoachiwa mapema kuna kosa tumefanya

Mateka wa Tanzania kutoachiwa mapema kuna kosa tumefanya

Kipara akiwa mahali tegemea blunders tu.
 
Serikali yetu ilitulia kimyaaa, nchi zingine wamepiga kelele na kuwasiliana na ubalozi wa palestina, wakaachiwa. umeona kama wale wa thailand ambao hata sio waislam ni wabudha, wameachiwa. Rais aongee tu na balozi wa Palestina, ambaye ndani ya serikali yake kuna hamas kama chama pinzani, wampigie tu Ismail Haniyah kule Qatar wanakofanyia mazungumzo kwamba awaachie watoto wa kitanzania. sijui kwanini serikali yetu huwa haijali sana raia wake kama nchi zingine, unajua nchi zingine raia wao akipata shida wanakuja chap kuangalia shida ni nini na namna ya kumwokoa.
Serikali yetu ina uzembe wa ajabu kabisa. Hawana uchungu kabisa na hawaguswi hata kidogo na usalama wa watu wao. Kazi yao ni kuifuja nchi tu.

Umenikumbusha wanavyositisha zoezi la uokozi kwenye majanga kwa sababu ya giza kwa maelezo (ya kipumbav.u) kuwa zoezi la uokozi (si uopozi!) litaendelea kesho!

Nahisi huko juu kuna vichwa vingi vina mtindio wa ubongo kabisa. Wachache walio na afadhali wanazidiwa na mzigo wa majukukumu. Labda lakini, maana huenda hata ni wote!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwa sababu tu mtu ukishapata kitu, hukumbuki tena waliokusaidia kukipata Lakini, mchango wa waislam kwa uhuru wa Watanganyika, siyo kitu cha kubeza wala kusahaulika. Hawa wenzetu hawa walijitolea kwa hali na mali ili tu Mtanganyika apate uhuru. Tuukubali na kuheshimu mchango wao.
 
Kulikuwa na makosa katika kurejesha uhusiano na Israel na hili ni moja ya kosa kubwa alilofanya Magufuli.
Samia naye amefanya kosa kubwa kutoonesha hisia juu ya maumivu ya wapalestina.
Nadhani hii kutekwa kwa wawili tu ni kama uzindushi juu ya makosa yetu.
Raisi wa Cuba mwenyewe ameongoza maandamano na kupita mbele ya ubalozi wa Marekani kutoa hisia za nchi yake kwa madhila ya Palestina.Sisi tumebaki kupiga domo na kujipendekeza kwa dhalimu anayevunja majumba ya watu mpaka jirani na ofisi za PLO.
waziri wa mambo ya nje alipiga simu na yeye akapigwa changa la macho akatulia.
unasema kulikuw ana makosa kurejesha uhusiano na Israel, wakati huo huo karibia 40% ya Watanzania ni Wakristo wanaoenda kuhiji Israel kila mwaka na wanapata shida sana kupata visa, kwasababu kabla ya hapo ilikuwa lazima twende Nairobi kuomba visa. wakati huohuo, wapalestina wapo hapa, hawana faida yeyote kwetu, hawana msaada wowote hata ndugu zetu wakikamatwa, mataifa ya kiislam yameweka balozi zao hapa na ninyi mnaenda kuhiji maca bila shida. na unataka tusiwe na uhusiano na israel kwenye nchi ya wakristo wengi namna hii? unafikiri una akili za kutosha? hivi hii nchi mnadhani ni ya kwenu peke yenu? kwasababu Rais, waziri mkuu na viongozi wengi ni waislam basi unafikiri kila mtu anawachukia waisrael na hataki uhusiano na waisrael? unafikiri sisi tunaichukia israel? kwa taarifa yako hatuna muda na wapalestina kabisa.

uhusiano wa nchi sio suala la waislam kuchagua tuwe na uhusiano na nchi gani. na viongozi waliopo wanapoamua kuwa na uhusiano na nchi kama Israel hawafanyi kwa interest zao, kwa mapendeleo yao, wanafanya badala ya wananchi, na sisi wakristo tunahitaji viongozi wetu waendeleze tena sana uhusiano na nchi ya Israel, kama vile walivyoleta ubalozi wa palestina hapa ambayo hata sio nchi basi na Israel tunaihitaji. Nyerere alisitisha uhusiano na Israel sio kwasababu alipenda, alifanya vile ili kuwafurahisha mashehe ambao walimsaidia kupambania uhuru, wao hawakuipenda israel, pia alikuwa na ugonjwa kichwani mwake wa kufikiri Israel utaifananisha na apartheid ya south africa, jambo ambalo ni vitu viwili tofauti. mshindwe kwa Jina la Yesu, na mtakapowaambia viongozi wenu kufuta uhusiano na Israel jueni kuwa mnavuruga amani na mshikamano wa nchi hii. Kama Misri ambaye amepigana vita sana na Israel ana ubalozi, wewe mjinga mmoja masikini wa mbagala una nini ili usiwe na uhusiano na Israel?
 
Takwimu za Israel baada ya kipigo cha Hamas haziaminiki na hazina mashiko kabisa.
Idadi yao wenyewe waliokufa na kujeruhiwa kila siku inabadilishwa.Kuna watu wengi waliosema wamekufa juzi wameachiwa huru.Na kwa bahati Hamas hawajawahi kutoa idadi halisi ya inaowashikilia.Tunchoona kila siku wanatoa watu kwenye mahandaki yao na hawasemi wamebakia wangapi.
Kwa hivyo idadi halisi ya watanzania waliotekwa au vyenginevyo tunaweza tusiifahamu kwa sasa
mimi binafsi nilikuwa siamini kwamba kuna siku hamas, pamoja na jeuri yote ile, wataiomba Qatar iombe cease fire wao wangetoa mateka. ukweli ni kwamba walikamatwa walibanwa na wengi sana wameuawa huko kwenye mahandaki ukiachilia raia. you are a failure bro.
 
Umejuaje kama sio muhusika je kama alikuwa ni muungaji mkono wa yanayo fanywa na Israel dhidi ya palestina kama baadhi ya warokole wa humu jf?
hv ndo dini ya utumwa imewafikisha huku , unaona sw ndugu yako kushikwa ? watu weusi sijui tulilogwa na nan , we mshike mpalestina mkristu uone watavyoungana bila kujali dini ila uku mmekuwa wehu wq dini za watu hamjijali wala kujithamini , mnawaona wao kama waume zenu
 
Sudan ya kusini. Rwanda , Kongo , Angola, Burundi? Hizi umezisahau? Au Mwamposa hajakukaririsha?
ukiitoa Sudan kusini ni vita ya kikabila na wapo dini mchanganyiko ila Drc wanachafuliwa na ADF kwa sasa islamic state ila huko Burundi , Angola na Rwanda hakuna vita ya kidini wala vita yenyewe kbs
 
Sasa kama huyo mateka atakuwa amejaa chuki dhidi ya waisilamu kama ulivyo ww unategemea hao unao waita wavaa kobazi watamthamini kwa lipi?
jichunguze akili wewe , unashabikia ujinga , huez shabikia mtz mwenzio kushikwa mateka kwa vita isiyomuhusu , walimshika mtaani wala sio kwenye kambi ya jeshi
 
Hao mateka wanaoachiwa nchi zao zimewapambania ndiyo maana unaona wanapewa kipaumbele, so far kila batch ya mateka walioachiwa na Hamas naona Irish hawakosekani umejiuliza why.

Leo kati ya walioachiwa mmoja wao ni wa Urusi na Hamas wameweka wazi ni kwasababu Putin ali intervene kwenye huo mgogoro.

Na ikumbukwe pia kila upande hutoa list ya mateka wake wanaopaswa kuachiwa kwa wakati huo, hapo tunaongelea mpaka ifike idadi ya 50 kwa 150 kwa siku nne na hatujui what's next after then.

Kama yu hai basi yuko kwenye foleni zamu yake itafika tumuombee uzima kwasababu kuna watu waliopotea kwenye huo mgogoro na maiti zao zinapatikana kila leo, nyingine zikihusishwa na uvamizi wa october 7 na nyingine vitani Gaza na wakati huo huo Hamas nao wanakwambia at least mateka 60 wamekufa kwa mashambulizi ya israel.
kwann wamshike mateka ? ndo hoja yetu , je ni sw hii ?
 
Kwani mkuu hujasikia kuwa kuna wachungaji wanachangisha michango kutoka kwa waumini kwa ajili ya kupeleka nchini Israel? Sasa unategemea wachungaji wa aina hiyo wakija kuingia mikononi mwa Hamas utakuja kuwaambia kuwa hawa husiki?

Alafu kingine inavyo onekana ni kuwa huyo mtz hayuko mikononi mwa Hamas.
tupe ushaidi , humu sio msikitin unalopoka tu
 
Kama inavyojulikana kuwa mateka wa nchi za nje huwa wanaachiwa tu kwa kushtukiz kwani Hamas hawakuwaingiza kwenye mashari yao ya kusitishwa vita,
Siku mbili za mwanzo wameachiwa waisrael wengi wao wakiwa ni akinamama na watoto.Pamoja nao walitolewa mateka kikundi kutoka Thailand.Katika orodha ya siku ya tatu yupo mateka wa Urusi ambaye Hamas wanasema wamemuachia baada ya raisi Putin kuwa na ukaribu nao.
Tanzania tunaweza tukawa tumejiuliza mbona mateka wetu,Mollel hajatolewa ?
Kwa namna ambavyo Hamas wamekuwa wakiwatoa mateka kwa kuzingatia maslahi ya pande zote lazima wizara ya mambo ya nje ya Palestina ilipata taarifa jinsi ambavyo Tanzania imeonekana kupuuza maslahi yao na kushindwa kulaani wazi wazi ukatili wa Israel kiasi kwamba jeshi la polisi la Tanzania lilipiga marufuku maandamano ya kuilaani Israel.
Naamini hatimae mateka huyo waliyebaki naye baada ya mwenzake kuuliwa na mabomu ya Israel atatolewa salama lakini kumuweka wa mwisho ni salamu kwa Tanzania kutokana na kubadili siasa zake katika miaka michache iliyopita.
Kwa kuzingatia thread yako hii, inaweza kuhitimishwa kuwa Hamas ni magaidi.
 
kwann wamshike mateka ? ndo hoja yetu , je ni sw hii ?
Wewe unadhani kwenye ambush ya mateka kuna kuulizwa uraia, huo muda unatoka wapi? Kwa dunia ya sasa moja ya lengo la kushikilia mateka ni kuzi provoke nchi husika zilizoshikiliwa mateka wake against the opponent. Refer to South africa.
 
Kama inavyojulikana kuwa mateka wa nchi za nje huwa wanaachiwa tu kwa kushtukiz kwani Hamas hawakuwaingiza kwenye mashari yao ya kusitishwa vita,
Siku mbili za mwanzo wameachiwa waisrael wengi wao wakiwa ni akinamama na watoto.Pamoja nao walitolewa mateka kikundi kutoka Thailand.Katika orodha ya siku ya tatu yupo mateka wa Urusi ambaye Hamas wanasema wamemuachia baada ya raisi Putin kuwa na ukaribu nao.
Tanzania tunaweza tukawa tumejiuliza mbona mateka wetu,Mollel hajatolewa ?
Kwa namna ambavyo Hamas wamekuwa wakiwatoa mateka kwa kuzingatia maslahi ya pande zote lazima wizara ya mambo ya nje ya Palestina ilipata taarifa jinsi ambavyo Tanzania imeonekana kupuuza maslahi yao na kushindwa kulaani wazi wazi ukatili wa Israel kiasi kwamba jeshi la polisi la Tanzania lilipiga marufuku maandamano ya kuilaani Israel.
Naamini hatimae mateka huyo waliyebaki naye baada ya mwenzake kuuliwa na mabomu ya Israel atatolewa salama lakini kumuweka wa mwisho ni salamu kwa Tanzania kutokana na kubadili siasa zake katika miaka michache iliyopita.
Hivi si ni wewe alwaz, adiosamigo, malari 2, green sijuji nini na kimsboy ndio mnasheherekea mudi kumshikilia na kumbaka na kumua sasa unakuja kutuuliza ujinga wenu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hapa tujiandae kisaikolojia mapema ,kama yule tuliezika jana.
 
Ngoja tuoe, mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
 
Back
Top Bottom