Mateka wa Tanzania kutoachiwa mapema kuna kosa tumefanya

Mateka wa Tanzania kutoachiwa mapema kuna kosa tumefanya

Hao mateka wanaoachiwa nchi zao zimewapambania ndiyo maana unaona wanapewa kipaumbele, so far kila batch ya mateka walioachiwa na Hamas naona Irish hawakosekani umejiuliza why.

Leo kati ya walioachiwa mmoja wao ni wa Urusi na Hamas wameweka wazi ni kwasababu Putin ali intervene kwenye huo mgogoro.

Na ikumbukwe pia kila upande hutoa list ya mateka wake wanaopaswa kuachiwa kwa wakati huo, hapo tunaongelea mpaka ifike idadi ya 50 kwa 150 kwa siku nne na hatujui what's next after then.

Kama yu hai basi yuko kwenye foleni zamu yake itafika tumuombee uzima kwasababu kuna watu waliopotea kwenye huo mgogoro na maiti zao zinapatikana kila leo, nyingine zikihusishwa na uvamizi wa october 7 na nyingine vitani Gaza na wakati huo huo Hamas nao wanakwambia at least mateka 60 wamekufa kwa mashambulizi ya israel.
 

Attachments

  • Screenshot_20231110-122641.png
    Screenshot_20231110-122641.png
    67.7 KB · Views: 2
Siyo mvaa kobazi na anawaunga mkono Hamas na wapalestina
wote wawili waliokuwa wametekwa na Hamas walikuwa wagalatia. ila dogo mmoja tu mvaa kobaz kule Babati ameingizwa chupa hadi waziri kafukuzwa uwaziri. sisemi huyu waziri alifanya vizuri nalaani kitendo chake, ila nadhani serikali yetu ambayo ina ubalozi wetu kabisa kule Tel Aviv ilitakiwa kufanya la ziada ili tusihisi kama wagalatia ndio hawajasaidiwa. sisemi kwa udini, ila nasema kile ninachokisikia wengi wakinung'unika wanaogopa kutamka, mimi bora niseme ili penye kurekebisha parekebishwe.
 
Xx
Serikali yetu ilitulia kimyaaa, nchi zingine wamepiga kelele na kuwasiliana na ubalozi wa palestina, wakaachiwa. umeona kama wale wa thailand ambao hata sio waislam ni wabudha, wameachiwa. Rais aongee tu na balozi wa Palestina, ambaye ndani ya serikali yake kuna hamas kama chama pinzani, wampigie tu Ismail Haniyah kule Qatar wanakofanyia mazungumzo kwamba awaachie watoto wa kitanzania. sijui kwanini serikali yetu huwa haijali sana raia wake kama nchi zingine, unajua nchi zingine raia wao akipata shida wanakuja chap kuangalia shida ni nini na namna ya kumwokoa.
"Katika nchi za Afrika hakuna Serikali bali kuna magenge ya watu walioshika silaha na kupora rasilimali za nchi kwa ajili ya kujinufaisha wao wenyewe binafsi na vibaraka wao."
By Jonas Savimbi.
 
Imagine, Thailand wameachiwa 13, sisi hata mmoja hajaachiwa, wakati huohuo mmoja hadi alikufa hivyo amebaki mmoja tu. imagine wazazi wa huyo aliyebaki wanajisikiaje na kama wanaona serikali yao ipo kwa ajili ya mtoto wao? na ni serikali iliwapeleka huko Israel hawakwenda kivyaovyao, serikali kwa ushirikiano na Israel ilipeleka vijana 260 Israel ila hata hatuielewi kama imewapambania vya kutosha kwe kweli. hivi sa100 mtoto wake angekuwa ametekwa au mzanzibari angekuwa ndio ametekwa angenyamaza namna hii? wazanzibar ambao hata Feitoto amesimamishwa Yanga tu Rais anaingilia kati.
 
Aah wapi !....kuunga mkono kivipi labda embu fafanua?....

kwani hawa wa humu JF wanaipa Israel silaha za kuipiga Gaza ?
Kwani mkuu hujasikia kuwa kuna wachungaji wanachangisha michango kutoka kwa waumini kwa ajili ya kupeleka nchini Israel? Sasa unategemea wachungaji wa aina hiyo wakija kuingia mikononi mwa Hamas utakuja kuwaambia kuwa hawa husiki?

Alafu kingine inavyo onekana ni kuwa huyo mtz hayuko mikononi mwa Hamas.
 
Kwani mkuu hujasikia kuwa kuna wachungaji wanachangisha michango kutoka kwa waumini kwa ajili ya kupeleka nchini Israel? Sasa unategemea wachungaji wa aina hiyo wakija kuingia mikononi mwa Hamas utakuja kuwaambia kuwa hawa husiki?

Alafu kingine inavyo onekana ni kuwa huyo mtz hayuko mikononi mwa Hamas.
Kwa hiyo huyo kijana ni mchungaji ?...

Kama hayupo kwa Hamas, nani kamteka? Au ni Israel ?
 
Kwani mkuu hujasikia kuwa kuna wachungaji wanachangisha michango kutoka kwa waumini kwa ajili ya kupeleka nchini Israel? Sasa unategemea wachungaji wa aina hiyo wakija kuingia mikononi mwa Hamas utakuja kuwaambia kuwa hawa husiki?

Alafu kingine inavyo onekana ni kuwa huyo mtz hayuko mikononi mwa Hamas.
Wanaipelekea Israel michango? Au wanachangisha Ili waumini wao wakaione nchi ya ahadi ?
 
Kwani mkuu hujasikia kuwa kuna wachungaji wanachangisha michango kutoka kwa waumini kwa ajili ya kupeleka nchini Israel? Sasa unategemea wachungaji wa aina hiyo wakija kuingia mikononi mwa Hamas utakuja kuwaambia kuwa hawa husiki?

Alafu kingine inavyo onekana ni kuwa huyo mtz hayuko mikononi mwa Hamas.
Huyo mwenzake aliyeokotwa GAZA alifikaje kule kama hakutekwa na hamas, na walitekwa wote? unajua kuwa nyumba za waisrael zilizovamiwa na kutekwa southern israel wanajua nani katekwa na nani kauliwa palepale israel? wale wote waliouliwa palepale israel miili yao iliokotwa, na wale waliotekwa na kupelekwa Gaza ndio kama hao, huyo mtanzania mmoja wa Rombo waliyemuokota Gaza na mwengine aliyepotea hadi sasaivi. afu kuna mtu anakuja ati tuandamane kwa ajili wa wapalestina?
 
Kwa hiyo huyo kijana ni mchungaji ?...

Kama hayupo kwa Hamas, nani kamteka? Au ni Israel ?
Vipi kuhusu na hao waumini walio changa hizo hela?

Hata huyo aliye fariki, mwanzo tuliambiwa amekwa lakini badae ikaja kubainika kuwa aliuawa siku ya ambush sema mwili wake ulikuwa hauja tambuliwa.
 
Vipi kuhusu na hao waumini walio changa hizo hela?

Hata huyo aliye fariki, mwanzo tuliambiwa amekwa lakini badae ikaja kubainika kuwa aliuawa siku ya ambush sema mwili wake ulikuwa hauja tambuliwa.
mwili wake uliokotwa Gaza, ambush ipi sasa?
 
Huyo mwenzake aliyeokotwa GAZA alifikaje kule kama hakutekwa na hamas, na walitekwa wote? unajua kuwa nyumba za waisrael zilizovamiwa na kutekwa southern israel wanajua nani katekwa na nani kauliwa palepale israel? wale wote waliouliwa palepale israel miili yao iliokotwa, na wale waliotekwa na kupelekwa Gaza ndio kama hao, huyo mtanzania mmoja wa Rombo waliyemuokota Gaza na mwengine aliyepotea hadi sasaivi. afu kuna mtu anakuja ati tuandamane kwa ajili wa wapalestina?
Leta chanzo cha taarifa kinacho sema mwili wake ulipatikana gaza.

Taarifa ya kifo chake ilitoka ikiwa inasema hivi, Mtz aleye kuwa amepotea imebainika kuwa amefariki na hiyo taarifa haikutolewa na IDF bali ilitolewa na wizara ya mambo ya nje.
 
Serikali ingefanya ushawishi huu kwa kuwatumia/kupitia marafiki wa Hamas kama vile Serikali ya Misri, Yemen, Iran, UAE, Qatar, n.k., kwa vyovyote vile Hamas wasingeweza kukataa ombi la Serikali ya Tz ukizingatia kwamba Tz siyo nchi ambayo ni maadui wa Wapalestina au Hamas.
Hii point niliiongea jana, wizara husika iko usingizini tangu kutolewa kwa taarifa ya kushikiliwa hao watanzania.
 
Back
Top Bottom