Kama wanachanga kwa hiyari yao hakuna tatizo kabisa ni sawa tu na waarabu wa Jordan, Misri wanavyowachangia wapalestina.Vipi kuhusu na hao waumini walio changa hizo hela?
Hata huyo aliye fariki, mwanzo tuliambiwa amekwa lakini badae ikaja kubainika kuwa aliuawa siku ya ambush sema mwili wake ulikuwa hauja tambuliwa.
Mollel hayupo kwenye list ya mateka wa hamas. Kamtafuteni huko kwenye vifusiKama inavyojulikana kuwa mateka wa nchi za nje huwa wanaachiwa tu kwa kushtukiz kwani Hamas hawakuwaingiza kwenye mashari yao ya kusitishwa vita,
Siku mbili za mwanzo wameachiwa waisrael wengi wao wakiwa ni akinamama na watoto.Pamoja nao walitolewa mateka kikundi kutoka Thailand.Katika orodha ya siku ya tatu yupo mateka wa Urusi ambaye Hamas wanasema wamemuachia baada ya raisi Putin kuwa na ukaribu nao.
Tanzania tunaweza tukawa tumejiuliza mbona mateka wetu,Mollel hajatolewa ?
Kwa namna ambavyo Hamas wamekuwa wakiwatoa mateka kwa kuzingatia maslahi ya pande zote lazima wizara ya mambo ya nje ya Palestina ilipata taarifa jinsi ambavyo Tanzania imeonekana kupuuza maslahi yao na kushindwa kulaani wazi wazi ukatili wa Israel kiasi kwamba jeshi la polisi la Tanzania lilipiga marufuku maandamano ya kuilaani Israel.
Naamini hatimae mateka huyo waliyebaki naye baada ya mwenzake kuuliwa na mabomu ya Israel atatolewa salama lakini kumuweka wa mwisho ni salamu kwa Tanzania kutokana na kubadili siasa zake katika miaka michache iliyopita.
Nyie si rafiki wa HAMAS? Iwakilishe Taifa. Afrika Kusini pamoja na kelele zote, bado raia wao hawajatoka.Kama inavyojulikana kuwa mateka wa nchi za nje huwa wanaachiwa tu kwa kushtukiz kwani Hamas hawakuwaingiza kwenye mashari yao ya kusitishwa vita,
Siku mbili za mwanzo wameachiwa waisrael wengi wao wakiwa ni akinamama na watoto.Pamoja nao walitolewa mateka kikundi kutoka Thailand.Katika orodha ya siku ya tatu yupo mateka wa Urusi ambaye Hamas wanasema wamemuachia baada ya raisi Putin kuwa na ukaribu nao.
Tanzania tunaweza tukawa tumejiuliza mbona mateka wetu,Mollel hajatolewa ?
Kwa namna ambavyo Hamas wamekuwa wakiwatoa mateka kwa kuzingatia maslahi ya pande zote lazima wizara ya mambo ya nje ya Palestina ilipata taarifa jinsi ambavyo Tanzania imeonekana kupuuza maslahi yao na kushindwa kulaani wazi wazi ukatili wa Israel kiasi kwamba jeshi la polisi la Tanzania lilipiga marufuku maandamano ya kuilaani Israel.
Naamini hatimae mateka huyo waliyebaki naye baada ya mwenzake kuuliwa na mabomu ya Israel atatolewa salama lakini kumuweka wa mwisho ni salamu kwa Tanzania kutokana na kubadili siasa zake katika miaka michache iliyopita.
ccm ndivyo walivyoTumeanza kulazimishana kupendana tangu lini?
Wao wanadai kuwa wanaichangia Israel kwa ajili ya kupigana vita inayo endelea na sio kwa ajili ya miasaada ya kibinadamu kama wanavyo fanya hao ulio wataja.Kama wanachanga kwa hiyari yao hakuna tatizo kabisa ni sawa tu na waarabu wa Jordan, Misri wanavyowachangia wapalestina.
Halafu kama sio waislam uhuru wa Tanganyika leo mpaka pengine lingalikuwa Koloni na UK
Google mapinduzi ya Zanzibar yalifanywa na nani? Hao waislamu orijino waarabu walikimbizwa Zanzibar. Kwanini?
Unafikiri tungebaki kuwa koloni la UK? Hii nchi ingepata uhuru tu
kwani Kenya ilipata uhuru kwa kuwepo kwa waislamu?
Tanganyika woga. Mwaka wa 40 mnadai katiba mpya kimya. Kenya mbona washaipata
Basi nyamezeni katiba iliopo safiImetatua changamoto gani kule Kenya zaidi ya vurugu na maandamano yasiyo na kikomo! Hata shillingi yao inazidi kuporomoka kishenzi dhidi ya shilingi ya Tz.
Tatizo yule marehemu n huyo mateka aliyebakia sio waislam ndiyo maana hakuna mwenye uchungu huko kwa bi kizmkazSerikali yetu ilitulia kimyaaa, nchi zingine wamepiga kelele na kuwasiliana na ubalozi wa palestina, wakaachiwa. umeona kama wale wa thailand ambao hata sio waislam ni wabudha, wameachiwa. Rais aongee tu na balozi wa Palestina, ambaye ndani ya serikali yake kuna hamas kama chama pinzani, wampigie tu Ismail Haniyah kule Qatar wanakofanyia mazungumzo kwamba awaachie watoto wa kitanzania. sijui kwanini serikali yetu huwa haijali sana raia wake kama nchi zingine, unajua nchi zingine raia wao akipata shida wanakuja chap kuangalia shida ni nini na namna ya kumwokoa.
Takwimu za Israel baada ya kipigo cha Hamas haziaminiki na hazina mashiko kabisa.Taarifa tulizonazo toka ubalozi wa Tz zilieleza kuwa ni watanzania wawili ambapo juzijuzi Israel yenyewe ilikiri kuwa walikuwa ni wawili na mmoja amefariki! Sasa wewe tupe takwimu zako maana tunajua yupo mmoja huko kwa watekaji maana tusijeanzisha uzushi na taharuki humu! Chap, tuletee takwimu zako na wewe, mimi nimeshakupa zangu!
Kulikuwa na makosa katika kurejesha uhusiano na Israel na hili ni moja ya kosa kubwa alilofanya Magufuli.Serikali yetu ilitulia kimyaaa, nchi zingine wamepiga kelele na kuwasiliana na ubalozi wa palestina, wakaachiwa. umeona kama wale wa thailand ambao hata sio waislam ni wabudha, wameachiwa. Rais aongee tu na balozi wa Palestina, ambaye ndani ya serikali yake kuna hamas kama chama pinzani, wampigie tu Ismail Haniyah kule Qatar wanakofanyia mazungumzo kwamba awaachie watoto wa kitanzania. sijui kwanini serikali yetu huwa haijali sana raia wake kama nchi zingine, unajua nchi zingine raia wao akipata shida wanakuja chap kuangalia shida ni nini na namna ya kumwokoa.
Si watakuwa wanazungumza nao na kuwahoji hiki na kile .Yeye pengine kila wakati amenuna kwa chukiSasa kama huyo mateka atakuwa amejaa chuki dhidi ya waisilamu kama ulivyo ww unategemea hao unao waita wavaa kobazi watamthamini kwa lipi?
Alipigwa na Israel kwa mabomu.Ule upigaji wa silaha nzito umeuwa na wapalesina 15000 na 6000 wapo chini ya vifusi.Sasa katika hali hiyo ukiokota mati Gaza nani itakuwa ndiye aliyemuua zaidi baina ya Hamas na Israelmwili wake uliokotwa Gaza, ambush ipi sasa?
Hujaambiwa kuwa waislamu ndio waleta uhuru kila sehemu duniani.Umeambiwa uhuru wa Tanzania umeletwa na waislamu na hilo liko wazi soma historia halisi ya kupigania uhuru.Au Uganda ilipata uhuru kwa waislamu wapi? Hawa wavaa kobazi kweli akili yao imeishia madrasa tu!
u have a pointSiyo Siri, kwa upande wa Serikali yetu ya Tz kuna uzembe fulani ulifanyika ktk kuwanusuru mateka raia wa Tz. Tangu enzi za utawala wa awamu ya Kwanza za Mwl. Nyerere, msimamo wa Tanzania unajulikana wazi kabisa kuhusu mgogoro huu wa Israel na Palestina kwamba Tz inaunga mkono uhuru wa Wapalestina, naamini hata Wapalestina wenyewe na Hamas wanatambua msimamo huu wa Serikali yetu. Kwa kutumia msimamo huu na kwa kutumia urafiki mkubwa uliopo kati ya Serikali ya Tz na Serikali marafiki na Wapalestina/Kundi la Hamas, Serikali yetu ingeweza kuishawishi au kuwaomba Hamas kuweza kuwaachia huru au kuwatendea wema mateka raia wa Tz. Serikali ingefanya ushawishi huu kwa kuwatumia/kupitia marafiki wa Hamas kama vile Serikali ya Misri, Yemen, Iran, UAE, Qatar, n.k., kwa vyovyote vile Hamas wasingeweza kukataa ombi la Serikali ya Tz ukizingatia kwamba Tz siyo nchi ambayo ni maadui wa Wapalestina au Hamas.
Wapiganaji wa Hamas walikua wanafagia fagia hawaulizi Utaifa watake kutana nae wanabebaKama inavyojulikana kuwa mateka wa nchi za nje huwa wanaachiwa tu kwa kushtukiz kwani Hamas hawakuwaingiza kwenye mashari yao ya kusitishwa vita,
Siku mbili za mwanzo wameachiwa waisrael wengi wao wakiwa ni akinamama na watoto.Pamoja nao walitolewa mateka kikundi kutoka Thailand.Katika orodha ya siku ya tatu yupo mateka wa Urusi ambaye Hamas wanasema wamemuachia baada ya raisi Putin kuwa na ukaribu nao.
Tanzania tunaweza tukawa tumejiuliza mbona mateka wetu,Mollel hajatolewa ?
Kwa namna ambavyo Hamas wamekuwa wakiwatoa mateka kwa kuzingatia maslahi ya pande zote lazima wizara ya mambo ya nje ya Palestina ilipata taarifa jinsi ambavyo Tanzania imeonekana kupuuza maslahi yao na kushindwa kulaani wazi wazi ukatili wa Israel kiasi kwamba jeshi la polisi la Tanzania lilipiga marufuku maandamano ya kuilaani Israel.
Naamini hatimae mateka huyo waliyebaki naye baada ya mwenzake kuuliwa na mabomu ya Israel atatolewa salama lakini kumuweka wa mwisho ni salamu kwa Tanzania kutokana na kubadili siasa zake katika miaka michache iliyopita.