Mateka wa Tanzania kutoachiwa mapema kuna kosa tumefanya

Wanaipelekea Israel michango? Au wanachangisha Ili waumini wao wakaione nchi ya ahadi ?
Israel wanatabia za ajabu sana,usikute hata huyo mtanzania aliyeuawa Israel inahusika,maana hawajatoa taarifa rasmi ameuwawa vipi na wapi,walituletea tu mwili basi wakapiga kimya!je mwili waliupata wapi?Kuna mambo yanafikirisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…