Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Kuna mwaka Messi aliktaa kucheza na timu ya Israel , hao wanaua watoto kila siku wala hamna uhusiano na Hmas....Hamas watoto wa juzi wameukuta mgogoro
Wewe ni muongo
0fbc23a1d2c1255446303befedf338a3.jpg
F130804MA02-1320x880.jpg
224031.jpeg
 
Sijui ni akili gani inatumika, labda ya kishetani, unaokoa watu 4 unauwa 100 na watoto wadogo. Ni uuuuuuuungwana?
Hilo swali ni zuri ungwauliza wafia dini kuna faida gani kuendelea kuwashikilia mateka 124 huku israel inaendelea kuwaua wapalestina wengi na hamas kama kuku huku mkimtegemea Allah hata hawasaidii kila vita mnapigwa
 
Uandishi wa hivi hujenga maswali sana kwa wasomaji, maswali yasiyo na ulazima wowote!

Hao 210 waliouawa kwa ajili ya wanne(4), wameuawa lini maana kila uchao inatolewa takwimu yake mpya, vita hii ina takribani mwaka ikipiganwa sasa.

Toa taarifa ama andika kibobezi ili kila mtu aelewe moja kwa moja kuliko kutoa taarifa inayojenga maswali.
Unachokoza Nchi yako iharibiwe na kuteketezwa Kwa kushikilia Mateka 72? Hao Mateka ulioshikilikia wanaweza kurudisha walikuwa Gaza na Miundombinu na huduma za Jamii zilizoharibiwa?
 
Hawa HAMAS kama kweli wanataka kuwakomboa wapalestina waache kuyatibua na kujificha uraiani ,,maana wanafanya hao raia wanaosema wanawatetea kuuliwa,, hio mbinu iliwezekana Ukraine tu na kwasababu mrusi anaona wa Ukraine kama watu wake yeye alitaka wanajeshi tu,,,,ila Israel hana akili kama ya mrusi yeye ua wake m1 atalipiza hata kwa wako 10 na hajali ni katika mazingira gani
Sasa kwanini wanaita mauaji ya wayahudi ni HOLOCAUST if at all ni halali kuua raia? Au Akifanya Hitler ni kosa ila Netanyahu ni haki?
 
CCM mkuu wa wilaya anatoa afuta kumfuata mtuhumiwa wa kesi ya kubambika dar na kumleta moshi.Ila hawana mafuta ya kuwapeleka wa mama wahawazito hopsital km 5 wajajifungue salama na kuokoa uhai wa mama na mtoto
 
Mbona Netanyau na genge lake walikimbilia kujificha kwenye mashimo baada ya Iran kurusha makombora?
Sasa mbona wewe huongelei rais wa iran kaporomoshwa kwenye helkopta kaokotwa korongoni amekaangwa kama ndafu chezea kisasi cha myahudi wewe
 
Alkazeze ni kiyahudi dogo sio kiarabu.

Afu we unadhani waislamu wauwaji kama nyie na mashoga zenu wayahudi.
Mtume weu ndio kawafundisha ushetani.. Waislam wote wanaua its matter of time tu.. si Allah kawaambieni Itakuja siku Wayahudi wakijificha nyuma ya mawe basi mawe yatasema kuna myahudi hapa kajificha njooni mumuue.. Allah ndie Iblis
 
Wamekuja na gari la misaada . America delta force ndo wameingia kwa kuuwa watu wengi sana IDF peke yao hawawezi ni waoga vibaya mno.
Kutokana na njaa ya watu wa Gaza iliyolazimishwa kwao wakaona watumie na gari la misaada kuingia mpaka ndani kabisa kuwafanyia hujuma.
 
Nguvu ya muisreli inaanza kuwafikia magaidi.

Sasa wamekosa pa kukimbilia, Mateka wanaokolewa mmoja baada ya Mwingine kama ilivyo ahidiwa na Serikali ya Netanyahu.

Noa Argamani, ambaye utekaji nyara wake na Hamas mnamo Oct7 ulitisha ulimwengu, ameokolewa na IDF, pamoja na mateka wengine 3. Wote walisema wako katika afya njema. Mamake Noa ana saratani ya ubongo isiyoisha, na alitaka kuishi muda wa kutosha kuona msichana wake akirudi nyumbani.

View attachment 3011849

Good News from GAZA.


WEWE MBONA UNASHABIKIA TAIFA LA MASHOGA

 
Pia Israeli nayo imepoteza wanajeshi 18
View attachment 3012198
Are Muslim? because Muslim ameruhusiwa na Allah kudanganya. Israel hafichi vifo vya Wanajeshi wake sababu sio Muslims japo kuna wajeshi Muslim but kuongopa ni kazi ya Allah anapokezana na Iblis kuongopea Dunia..

Israel amesema amepoteza Polisi mmoja aliyekuwa akishirikiana na IDF kuokoa Mateka Kuna Mjinga mwenzio anaitwa Adiosamigo yeye anasema IDF 10 wamepoteza uhai wewe unasema 18 hebu kakaeni Msikitini mumuulize Allah awafundishe tena kuongopa

1717874210908.png
 
Vita ya Kwanza ya dunia iliyopelekea kuuawa kwa mamilioni ya watu, ilitokana na kuuawa kwa mtu mmoja tu.. Archduke Franz Ferdinand
 
Vita dhidi ya ugaidi vimeua wasio na haria wengi zaidi kuliko ugaidi wenyewe.
 
Ni hatari kwa kweli Utu na Upendo vinatoweka kwa kasi sana hapa duniani

Jumapili ya kesho nitaitumia kuliombea taifa la Tanzania Ili Mungu wa mbinguni aturejeshee ule Upendo wa mwanzo

Yaliyotokea Gaza Leo yanaogopesha

Mungu wa Mbinguni awabariki nyote [emoji2]
Huyu nae utakuta ni mzima na ana familia kabisa
 
Magaidi ni bogus sana, wengine bado wanadai eti Osama bado yupo na wengine wanadai alijifia mwenyewe. Watu wanawahurumia sana magaidi na inawauma sana wanaposikia kwamba wameuliwa na "makafiri.'
 
Back
Top Bottom