Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Nguvu ya muisreli inaanza kuwafikia magaidi.

Sasa wamekosa pa kukimbilia, Mateka wanaokolewa mmoja baada ya Mwingine kama ilivyo ahidiwa na Serikali ya Netanyahu.

Noa Argamani, ambaye utekaji nyara wake na Hamas mnamo Oct7 ulitisha ulimwengu, ameokolewa na IDF, pamoja na mateka wengine 3. Wote walisema wako katika afya njema. Mamake Noa ana saratani ya ubongo isiyoisha, na alitaka kuishi muda wa kutosha kuona msichana wake akirudi nyumbani.

View attachment 3011849

Good News from GAZA.
So Hilo tu Bali Masheikh wao wanalia kuwa Waislam wanauacha uislam

View: https://x.com/AzzatAlsaalem/status/1799461446126014563
 
Wewe mbona upo nyuma ya taarifa. Wanajeshi wa marekani waliopo pwani ya Gaza ndo wamefanya hilo tukio na kuwaua raia zaidi ya 200 hata hivyo muda si mrefu majibu watayapata kwa walichokofanya.
Wawagonge tu magaidi hao. Kama kutumia human shield wanadhan itawaidia Israel iwagonge tu. Vita haina macho. Kama wanawapenda watu wao wasiende kujificha ndani yao mbwao hao.
 
Danguro unalijua wew hao wote tunaozeshwa na kwa halali kabisa na Mwenyezi Mungu wewe nenda kaimbe mbinguni ndicho ulicho ahidiwa
Mnaenda kuozeshwa? Na kuogelea kwenye pombe? Na mademu 70?🤣🤣🤣 Nami kwa ahadi hizo acha nikichoka nikajitoe mhanga
 
Majibu gani we mvaa kobazi,alla kawaacha mkufe anasubiri akawape bikra au we hutaki kwenda kwenye danguro la ala

Wewe mvaa pampers hutokufa ??

 
Yaani hyo taarifa umekaa chumbani ushapga nyet.. ukaamua kujitungia uzi utujazie seva yaani hakuna chombo chochote duniani kilichoandika hyo taarifa umeamua tu kuwafariji walokole wenzako baada ya kuona north hezbollah wanawatoa💩💩 ukaona mjipoze machungu na uongo
Kwani mkuu upo dunia ya wapi? Tatizo la kuwa unatazama tv za miziki/maigizo ndio hii!! Ungekuwa mtazamaji wa tv za habari za kimataifa usingeuliza hili
 
Wajinga hawa Israel kauwa matekwa wake 4 kwa kukomboa matekwa 4 wamekufa askari zake 10 mmoja wao ni officer afu wanadai eti wamefanya kitu cha mana sana wameuwa karibu raia 150 wasio na hatia pale sokoni.

Abu Obeida kawambia hao matekwa wenu sasa mmewaweka kwenye hatari na jeshi la Israel sa ivi wamekiri si rahisi kufanya operation kama hi tena.

America sijui sa atakuja na gear ipi tena hio ya kujidai kupeleka msada Hamasi hawata waruhusu sasa.
 
Mnaenda kuozeshwa? Na kuogelea kwenye pombe? Na mademu 70?🤣🤣🤣 Nami kwa ahadi hizo acha nikichoka nikajitoe mhanga

Nyinyi mnaenda kugeuzwa ndafu pamoja na huyo aliyewaambia maneno hayo

1717869938672.jpeg
 
Kuna video yoyote inayoonyesha wakiwa wanawaokoa? Kama hakuna video yoyote inayoonyesha uhokoaji, basi mimi nitakuwa wa mwisho kuamini jambo hilo
Uokoaji wake, umeua zaidi ya Wapalestina 200!!na mwanajeshi mmoja tu wa Israeli!! Kilikuwa ni kichapo kizito zaidi tangu vita ianze.
 
Mnaenda kuozeshwa? Na kuogelea kwenye pombe? Na mademu 70?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nami kwa ahadi hizo acha nikichoka nikajitoe mhanga
Usilazimishe mimi nilichoahidiwa nikione kibaya nani anataka aende mbinguni kuimba tuuu? Yaani duniani nikose starehe ya pombe na mbinguni tena nikaikose aaah hilo lenu jamn kila mtu achague pepo yake anaina nzuri
 
Nguvu ya muisreli inaanza kuwafikia magaidi.

Sasa wamekosa pa kukimbilia, Mateka wanaokolewa mmoja baada ya Mwingine kama ilivyo ahidiwa na Serikali ya Netanyahu.

Noa Argamani, ambaye utekaji nyara wake na Hamas mnamo Oct7 ulitisha ulimwengu, ameokolewa na IDF, pamoja na mateka wengine 3. Wote walisema wako katika afya njema. Mamake Noa ana saratani ya ubongo isiyoisha, na alitaka kuishi muda wa kutosha kuona msichana wake akirudi nyumbani.

View attachment 3011849

Good News from GAZA.
Nakukumbusha Mkuu kuwa Israeli sio wakristo. Wao ni wayahudi(Jew) na dini yao ni ya kiyahudi (Jewish). Ujue tuu kuwa waislamu ni wengi zaid Israeli baada ya wayahudi, huku wakristo wakiwa wachache zaid. Sioni haja ya kutumia mlengo wa kidini Katika kuizungumzia vita hii. Maana ipo Zais kisiasa kuliko kidini. Wito wangu ni kuwa watu mtafute maarifa itasaidia kupunguza ushabiki hewa.
 

Attachments

  • pf_16.03.08_israelsurveyoverviewgroups.png
    pf_16.03.08_israelsurveyoverviewgroups.png
    31.3 KB · Views: 1
Ni hatari kwa kweli Utu na Upendo vinatoweka kwa kasi sana hapa duniani

Jumapili ya kesho nitaitumia kuliombea taifa la Tanzania Ili Mungu wa mbinguni aturejeshee ule Upendo wa mwanzo

Yaliyotokea Gaza Leo yanaogopesha

Mungu wa Mbinguni awabariki nyote [emoji2]
Ulilazimishwa kuleta uzi!? Ndo mwandiko gani huu!? Next time kama huna chakuandika kausha tu.
 
Wewe huwezi kuishughulisha akili ?
Nini maana ya kuwa binadamu ?
Kitu kidogo kama hiki unatoa povu upewe taarifa kamili ?
Kweli unaweza kusoma vyuo vya kimataifa kama Open Univesity ambako hakuna mwalimu na chaki ubaoni?
Jibu ulichoulizwa, achwa kubwabwaja!
 
Ni hatari kwa kweli Utu na Upendo vinatoweka kwa kasi sana hapa duniani

Jumapili ya kesho nitaitumia kuliombea taifa la Tanzania Ili Mungu wa mbinguni aturejeshee ule Upendo wa mwanzo

Yaliyotokea Gaza Leo yanaogopesha

Mungu wa Mbinguni awabariki nyote 😃
Uislam kuwa kwenye vichwa vya ma punguani ndo jambo la kulaumiwa.HAMAS ndio chanzo cha yote
 
Usilazimishe mimi nilichoahidiwa nikione kibaya nani anataka aende mbinguni kuimba tuuu? Yaani duniani nikose starehe ya pombe na mbinguni tena nikaikose aaah hilo lenu jamn kila mtu achague pepo yake anaina nzuri
Mbona sijasema kibaya? Nimesema hongera ahera mtakuwa mnaparty sana. MITUNGI NA MIKASI TU. 😁😁😁
 
Back
Top Bottom