Acha utoto basi!Hahaha wacha awaonyeshe kawaokolea wapi. hizo ni propoganda za Israel anatafuta ushindi wa uwongo.
Anashindwa nini kuchukua video kuwaonyesha namna alivyo waokoa.
Afu Hamasi wakiongea mie ndio takubali kama ni kweli wamewaokoa lakini jeshi la pampers nani analiamini?
Labda watu wamesahau ile Bollywood move ya Al Shifaa Hospital 😄