Hao ni Wazanzibari acha wapate tabu huko. Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mungu. Naishia hapa japo yapo Mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wa Zanzibar wanapenda kujikomba kwa hao magaidi wacha waipate fresh
God first
Watanganyika wengi wanauadui uliojificha dhidi ya Wazanzibar hawa wakipata fursa na uwezo wa kuviangamiza visiwa hivi hawatosita ila Mungu hatosimama pamoja naoWrite your reply...Kuna watu hapa wanaingiza Uzanzibar ...siku ukijua huyo aliefanyiwa unyama huo ni mtanganyika mwenzako utakuja hapa kuomba msamaha ...sawa hatukatai tunawapapatikia waarabu ujue pia Watanganyika wanawapapatikia Wazanzibari na mnatuona kama waungu wenu ....kumbuka dunia hii ya Sasa sio kama ile ya Nyerere ukiyajua ya Wazanzibari nasi tunayajua ya Watanganyika ...Inapokuja mada uijadili kwa fikra huru kama una chuki zako peleka sehemu stahiki ...
HahahaHao ni Wazanzibari acha wapate tabu huko. Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mungu. Naishia hapa japo yapo Mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inafikirisha haswa. Hivi hawa wanaowasema wazanzibari ni nini kinawaonyesha kwamba huyo anaepigwa hapo ni mzanzibar??Write your reply...Kuna watu hapa wanaingiza Uzanzibar ...siku ukijua huyo aliefanyiwa unyama huo ni mtanganyika mwenzako utakuja hapa kuomba msamaha ...sawa hatukatai tunawapapatikia waarabu ujue pia Watanganyika wanawapapatikia Wazanzibari na mnatuona kama waungu wenu ....kumbuka dunia hii ya Sasa sio kama ile ya Nyerere ukiyajua ya Wazanzibari nasi tunayajua ya Watanganyika ...Inapokuja mada uijadili kwa fikra huru kama una chuki zako peleka sehemu stahiki ...
Wewe Jamaa ni mpuuzi sijapata ona ,Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kujifanya unajenga hoja, kwani wewe ni kitu gani kinakuaminisha hiyo clip imechukuliwa uarabuni??? Kwa hiyo akisemw marekani kwako shida, ila akisemwa muarabu basi sawa tu.Hebu twende taratibu bila ya jazba. Mmerakani ameingiaje hapa, hii issue inahusu Waafrika na Waarabu. Hili suala la mafuta limetokea wapi? hapa tunazungumzia mateso wapatayo wafanyakazi wa Kiafrika huko Uarabuni. Kwanza USA ina reserve ya mafuta mengi tu na wala hawayatumii yamehifadhiwa kama akiba na pili mafuta si kitu pekee cha kujivunia kwani hata Venezuela wanayo japo mikate ni bidhaa wanayoisafiria nchi za jirani kwani kwao haipatikani.
Haijalishi kama wewe ni Muarabu au unawaamini sana kwa sababu za kiimani lakini linapokuja suala la mijadala jaribu kujikita kwenye mada husika.
It's just an advice, take it or leave it.
acha ujinga pumbaaaaaavu....Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahaha. Haki za binaadamu, tuna matatizo sana sisi. Haki za binaadam ndio nini??Hii ishu ya wafanyakazi wa ndani kuteswa Uarabuni naliona sana, nadhani huu ni uzi wa 5 hivi kuuona hapa JF, inamaanisha wengi wanateswa sana (japo wapo wanaotendewa wema pia)
Suala la haki za binadamu huko Uarabuni lipo chini mno, hata kati ya Waarabu kwa Waarabu wenyewe pengine hata Afrika tuna afadhali pamoja na umasikini wetu
Wasouth Africa wanauwa kabisa kaka wale sio, binaadamu. Juzi tu hapa tuliwasaidia kupigania uhuru wao kwa haliand na malimimi. Baada ya kufanikiwa hawataki yena kutuona. Ni wanyama tu kama haoha au zaidiHivi huko South Africa wanafungwa kwenye viti na kuchapwa kama watumwa? Huko wanasema nenda zako, huyu haendi kokote ni adhabu tu. Hakuna unyama wowote unaofanywa sehemu yeyote unaoweza justify huu tunaouona kwenye video.
Nyerere aliwahi kusema angeweza angevipeperushia mbali visiwa vya Zanzibar. Hivi watanganyika mbona mna chuki sana na Zanzibar??Watanganyika wengi wanauadui uliojificha dhidi ya Wazanzibar hawa wakipata fursa na uwezo wa kuviangamiza visiwa hivi hawatosita ila Mungu hatosimama pamoja nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyerere aliwahi kusema angeweza angevipeperushia mbali visiwa vya Zanzibar. Hivi watanganyika mbona mna chuki sana na Zanzibar??Watanganyika wengi wanauadui uliojificha dhidi ya Wazanzibar hawa wakipata fursa na uwezo wa kuviangamiza visiwa hivi hawatosita ila Mungu hatosimama pamoja nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu basi mateso yapo au hayapo?Acha uongo ...
Unafiki unakuzunguka mwilini pamoja na damu!
Mna shida sana ....mnaomwabudu mzungu...
Wazanzibar hawalazimishi uarabu ila itabaki kuwa hivyo wao ni dam mchanganyiko!
Naona umekurupuka tena hovyo hovyo ...kusema hili... uliza vizuri ..wengi wanaokwenda huko wametoka huko huko na wanaletwa hapa na wenzenu..watanga na watu wa singida jumlisha na wa mombasa ndio waliojaa huko.
Kumbe...Ndio maana mzungu aliwaita washenzi ...moja kati ya tabia za kishenzi ndio kama hii!
Mnyammwezi lake jembe...maana yake unaijua wewe?
Tipu tipu akiwafata huko huko...kuwapeleka kule kule utumwani!
Ulaya na Arabuni! mmesahau sio?
Huko wanaenda watwana ...
Hapo Dar kuna watu maalum wanafanya hiyo biashara ya binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa tofauti Kati ya 'Allah na MUNGU' HahahahahaNyerere aliwahi kusema angeweza angevipeperushia mbali visiwa vya Zanzibar. Hivi watanganyika mbona mna chuki sana na Zanzibar??
Kosa Lao ni kusema mungu wao ni Allah???
Acha kujifanya unajenga hoja, kwani wewe ni kitu gani kinakuaminisha hiyo clip imechukuliwa uarabuni??? Kwa hiyo akisemw marekani kwako shida, ila akisemwa muarabu basi sawa tu.
[emoji16][emoji16][emoji1787]I swear, nilikuwa na marafiki zangu wengi ambao nikikaa nao utasikia weeee mimina kahawa na kama unajua kikombe ni kidogo sana kwa hiyo x4 tu kwisha.
Mimina tena na chupa ikiisha kapike tena akichelewa kofi linamhusu
Wakati mwingine nawahurumia lakini hapo ndio utajua hawa kila nchi wanafanya wanavyowekwa
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Wakuu taratibu jengeni hoja, matusi yametawala, haijengi sana.Hivi watanganyika Chuki hii iliyopitiliza kwa wazanzibar kwa kubwa gani waliowatendea mimi sipati picha kabisa toka viongoz wenu vyombo vya ulinzi hadi machinga nyote mnaumwa na wazanzibar MJUE HAYA YANAMWISHO WASHENZ WAKUBWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani huyu Mwarabu hapo ikipigwa adhana atatoka nduki kuwahi swalaa! HahahaaaaSerikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.
Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.
Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.
Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.
View attachment 1070124
Sent using Jamii Forums mobile app
tehe tehe tehe umenena kweli 2puHao ni Wazanzibari acha wapate tabu huko. Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mungu. Naishia hapa japo yapo Mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahaha. Haki za binaadamu, tuna matatizo sana sisi. Haki za binaadam ndio nini??