Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Wazanzibar watakua washakuvua chupi si bure ndio maana akili zako zinakutosha mwenyewe
Nilikua nimesahau vipi yule mganga wa kukulinda ushampat, bado kama bado mtafute kwanza issue ya Wazanzibar huiwezi achana nayo
Hao ni Wazanzibari acha wapate tabu huko. Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mungu. Naishia hapa japo yapo Mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi watanganyika Chuki hii iliyopitiliza kwa wazanzibar kwa kubwa gani waliowatendea mimi sipati picha kabisa toka viongoz wenu vyombo vya ulinzi hadi machinga nyote mnaumwa na wazanzibar MJUE HAYA YANAMWISHO WASHENZ WAKUBWA
Hao wa Zanzibar wanapenda kujikomba kwa hao magaidi wacha waipate fresh

God first

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanganyika wengi wanauadui uliojificha dhidi ya Wazanzibar hawa wakipata fursa na uwezo wa kuviangamiza visiwa hivi hawatosita ila Mungu hatosimama pamoja nao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inafikirisha haswa. Hivi hawa wanaowasema wazanzibari ni nini kinawaonyesha kwamba huyo anaepigwa hapo ni mzanzibar??

"Chuki zao zimo ndani ya vifua vyao"
 
Wewe Jamaa ni mpuuzi sijapata ona ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kujifanya unajenga hoja, kwani wewe ni kitu gani kinakuaminisha hiyo clip imechukuliwa uarabuni??? Kwa hiyo akisemw marekani kwako shida, ila akisemwa muarabu basi sawa tu.
 
acha ujinga pumbaaaaaavu....
 
Hahahahahahaha. Haki za binaadamu, tuna matatizo sana sisi. Haki za binaadam ndio nini??
 
Hivi huko South Africa wanafungwa kwenye viti na kuchapwa kama watumwa? Huko wanasema nenda zako, huyu haendi kokote ni adhabu tu. Hakuna unyama wowote unaofanywa sehemu yeyote unaoweza justify huu tunaouona kwenye video.
Wasouth Africa wanauwa kabisa kaka wale sio, binaadamu. Juzi tu hapa tuliwasaidia kupigania uhuru wao kwa haliand na malimimi. Baada ya kufanikiwa hawataki yena kutuona. Ni wanyama tu kama haoha au zaidi
 
Watanganyika wengi wanauadui uliojificha dhidi ya Wazanzibar hawa wakipata fursa na uwezo wa kuviangamiza visiwa hivi hawatosita ila Mungu hatosimama pamoja nao

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyerere aliwahi kusema angeweza angevipeperushia mbali visiwa vya Zanzibar. Hivi watanganyika mbona mna chuki sana na Zanzibar??

Kosa Lao ni kusema mungu wao ni Allah???
 
Watanganyika wengi wanauadui uliojificha dhidi ya Wazanzibar hawa wakipata fursa na uwezo wa kuviangamiza visiwa hivi hawatosita ila Mungu hatosimama pamoja nao

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyerere aliwahi kusema angeweza angevipeperushia mbali visiwa vya Zanzibar. Hivi watanganyika mbona mna chuki sana na Zanzibar??

Kosa Lao ni kusema mungu wao ni Allah???
 
Jibu basi mateso yapo au hayapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Marakeni ikisemwa kwa mabaya yake ambayo na yenyewe ni mengi tu nitachangia hoja kama kawaida,ila hapa tuendelee kutiririka na hoja iliyopo.
Nina fikra huru, siwezi kutetea upuuzi wowote uliofanywa au unaofanywa na yoyote.
Ni kweli hakuna proof ya kuwa hiyo clip ni Uarabuni lakini nimeona confessions nyingi za madhila waliyoyapata wanawake huko Oman na sehemu nyingine za Uarabuni, japo confessions nilizooni kwenye TV channels za Kenya karibu wanawake wote walikuwa ni Wakenya and almost all of then were from the coastal zone. So with or without that short video clip hayo mateso ya kitumwa yapo kwa Waafrika wafanyao kazi huko Uarabuni, wengine wamekuwa sex slaves kabisa.
For this shit to be happening in the 21st Century ni aibu iliyokithiri,so hoja ya kusema kuna nchi nyingine sijui zinafanya nini haibadilishi uzandiki wa hao Waarabu.
Acha kujifanya unajenga hoja, kwani wewe ni kitu gani kinakuaminisha hiyo clip imechukuliwa uarabuni??? Kwa hiyo akisemw marekani kwako shida, ila akisemwa muarabu basi sawa tu.
 
[emoji16][emoji16][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu taratibu jengeni hoja, matusi yametawala, haijengi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani huyu Mwarabu hapo ikipigwa adhana atatoka nduki kuwahi swalaa! Hahahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…