Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Yaani huyu Mwarabu hapo ikipigwa adhana atatoka nduki kuwahi swalaa! Hahahaaaa
Kabudi yupo busy na wanaoibagaza nchi yetu kwanzamtumieni kabudi hii video! kabla ya hapo mtumieni mange kimambi
Watu wa mnyaaazi Mungu haoMwarabu ndo mtu mkatili zaidi Duniani kwa sasa! Mwarabu ni mwarabu tu awe mkristo au muislam bado ni mwarabu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Manina sana huyoKwa hiyo wewe hutaki watu walalamike?au wewe ni Mwarabu na inaonekana wewe ndiyo miongoni mwa wanyanyasaji.
Mkuu hakuna anaekataa kwao, harakati tu za kutafuta maisha ndio zinawafanya watu watoke sehemu moja kwenda kwingine.
Huu unyama hauvumiliki kwa kweli, ila hio mijamaa nayo kama vile ni mifala tu hapo ipo miwili inashindwaje kumshikisha adabu huyo mvaa kanzu.
Maendeleo hayana chama
Mwamba unaroho ngumu km unaishi jehanamuwacha wapigwe tu wajinga hao na ma njaa njaa yao, una wafuata kwao wacha waku file
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata wazanzibar ni watu,,maumivu ni yale yaleHao ni Wazanzibari acha wapate tabu huko. Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mungu. Naishia hapa japo yapo Mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Watanganyika Wazanzibar si watu na wanastahili aina zote za Mateso!!!Ata wazanzibar ni watu,,maumivu ni yale yale
Mimi ni mtanganyika(kama ipo) ila sikubaliani nao , heshima ya binadamu lazima kwa woteKwa Watanganyika Wazanzibar si watu na wanastahili aina zote za Mateso!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.
Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.
Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.
Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.
View attachment 1070124
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mahali pameandikwa kuhusu Madawa ya kulevya hapa?Unadanganywa na kudanganyika,huyo sio muarabu,mavazi yanaonyesha wazi sio ya kiarabu,hayo ni mavazi ya kihindi.Huyo itakuwa wamedhulumiana kwenye biashara ya madawa ya kulevya,wacha watandikeni,wanaharibu vijana wengi,kwa biashara zao hizo.Hakuna nchi ya kiarabu inayolima madawa ya kulevya,ni nchi za whindi ndio wanalima madawa ya kulevya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaliopo ndani ya moyo wa mtu hudhihirishwa mdomoni mwake, ila kwa vile hapa watu wanatumia maandishi nawe umewasilisha yaliopo moyoni mwako. Mkuu wanzanzibari ni Watanzania wenzetu au hata wasingekua Watanzania basi bado ni binaadam kama binaadam wengine, by the way walikufanya nini hadi ukawachukia kiasi hichi?Hao ni Wazanzibari acha wapate tabu huko. Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mungu. Naishia hapa japo yapo Mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
HII NDIO SABABU WHY WAZANZIBAR WANAUKATAA UDUGU HUU WAKINAFIKI NYOYO ZA WATANGANYIKA WENGI WAO NI MBAYA SANA KWA WAZANZIBAR KWAO WAO BORA HATA WANYARUWANDA WA KINGO NK KULIKO WAZANZIBAR CHOYO HUSDA CHUKI ROHO MBAYA HIZI NI SIFA ZA WATANGANYIKAYaliopo ndani ya moyo wa mtu hudhihirishwa mdomoni mwake, ila kwa vile hapa watu wanatumia maandishi nawe umewasilisha yaliopo moyoni mwako. Mkuu wanzanzibari ni Watanzania wenzetu au hata wasingekua Watanzania basi bado ni binaadam kama binaadam wengine, by the way walikufanya nini hadi ukawachukia kiasi hichi?
Siungi mkono ila kama maigizo vile au nimeona vibaya.Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.
Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.
Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.
Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.
View attachment 1070124
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi huwa siwaelewagi hawa waarabu na dini Yao ya Kiislam ivi inawafundisha nini. Wanasemaga Wazungu ni racists nikuhakikishie Jamani waarabu na Wahindi ndio wanaongoza Kwa racism. Ni rahisi mzungu kuoana na mwafrika lakini sio waarabu au Wahindi. Ivi dini zao huwa sizielewagi.Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.
Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.
Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.
Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.
View attachment 1070124
Sent using Jamii Forums mobile app