Mateso ya Mdude Nyagali ndani ya kuta za Gereza la Ruanda

Binafsi nimeumia sana kuona jinsi watu wasio staili kuteswa na kuburuzwa mahakama, wakiishi maisha ya kimateka , ilihali mtesi wao alihimiza tumtangulize Mungu mbele.
Note: MUNGU HADHIHAKIWI. rest with unpeace where you disserve.
 
Usipijiheshimu watoto hawatakuheshimu
sasa kosa la mdude utakuwa unalijua sana matusi aliyokuwa anatukana anastahili anachokipata tena ni kidogo waongeze zaidi ili akitoka asije akarudia tena
 
Binafsi nimeumia sana kuona jinsi watu wasio staili kuteswa na kuburuzwa mahakama, wakiishi maisha ya kimateka , ilihali mtesi wao alihimiza tumtangulize Mungu mbele.
Note: MUNGU HADHIHAKIWI. rest with unpeace where you disserve.
hata mdude anastahili hapo alipo kwa matusi yale kwanza hakufaa kuwa na uwezo hata wa kuongea sasa hivi
 
mdude kayataka mwenyewe msipoteze nguvu zenu kutetea ujingawake
 
sasa kosa la mdude utakuwa unalijua sana matusi aliyokuwa anatukana anastahili anachokipata tena ni kidogo waongeze zaidi ili akitoka asije akarudia tena
Nitakuwekea Video za Magufuli akitukana na kudharau Wanawake na kauli nyingine za fedheha
 
Nitakuwekea Video za Magufuli akitukana na kudharau Wanawake na kauli nyingine za fedheha
siyo kweli mdude hafai kutetewa ni mhuni tu acha apate alichikuwa anataka mnamhurumia wa nini acheni ajifunze
 
siyo kweli mdude hafai kutetewa ni mhuni tu acha apate alichikuwa anataka mnamhurumia wa nini acheni ajifunze
Mdude alikuwa anajibu mapigo ya Dikteta Uchwara na Mungu yuko upande wake ndio maana Dikteta kawa Mzoga ila Mdude bado anaongea
 
Tatizo la mdude ilikua sio kukosoa Bali Yale matusi take ndio yanauzi Hana kauli nzuri
 
mdude kayataka mwenyewe msipoteze nguvu zenu kutetea ujingawake
Mr Malcolm lumumba,huwezi kudai haki zako, bira kwanza wewe kutimiza wajibu wako juu ya haki za wengine,hata ktk kanuni za kimaumbile,hakina kitu kinapenda kuchokozwa au kuonewa,ukikichokoza kwa maksudi,ujiandae kwa majibu usiyoyatarajia,tizama hata miti na wadudu,kuna miti ina miiba,mingine ina utomvu wa hatari kwa watu wenye tabia km za mdude,wadudu wengine wana harufu kari na yenye kukera,lkn mpk umchokoze,wadudu wengine wana sumu kali,yoote hiyo ni kijikinga dhidi ya watu wenye tabia za kichokozi km mdude,Mr Malcolm,kila tendo tunalolitenda,linamatokeo yake,
Mr malcom,tabia za watu zinamchango mkubwa ktk maendeleo ya taifa lolote lile..ili tuendelee kama taifa ni lazima tujenge nidhamu na tabia za watu wetu.taifa lenye watu wasiokuwa na nidhamu haliwezi kuendelea.huu ni ukweli ambao tunapaswa kuufahamu.ili tuendelee ni lazima tujenge tabia za watu wetu,kwenye mkondo furani wa mawazo na matendo,na jambo hili linahitaji nidhamu,
Kitu cha kwanza, kama tunataka kuendelea kama taifa,ni lazima tujenge nidhamu na raia wanaotii sheria,kwa nini taifa letu linashindwa ktk mambo mengi,ni kwa sababu hatujawajenga watu wetu kuwa na nidhamu,nidhamu huleta dira ktk taifa,hakuna malengo yoyote ambayo yatafikia km taifa na tukafanikiwa,km taifa hili watu wake hawana nidhamu,na km hawatokuwa na malengo ya pamoja,
 
Kila mchuma janga hula na wa kwao, Mdude tamaa ya tumbo lake ndio imemfikisha hapo. Alionywa mapema hakutaka kusikia, sasa mwenyekiti anakula bata na familia yake huku Mdude ananyea debe kwa ujinga wake
Azory gwanda,alphonce mawazo na wengine malizia maana unawajua,je nao mliwaonya mapema?

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Azory gwanda,alphonce mawazo na wengine malizia maana unawajua,je nao mliwaonya mapema?

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Hao uliowataja hapo juu muulize mwenyekiti wenu. Mara nyingi anapotafuta kiki au huruma ya kisiasa, huwa anatuma kikosi chake cha wanywa viloba wakamdhuru mtu fulani ili baadae wahamishie unyama huo walioufanya kwa serikali. Ni nani mwenye akili timamu hayajui haya? Mwaka uliopita mwenyekiti alichezea kichapo bar baada ya kukutwa na dem wa mtu lkn baadae akaja na kelele zake kuwa serikali ilimtumia watu wasiojulikana kumdhuru. Mungu alikupa akili ili uitumie mwenyew, lkn cha kushangaza akili yako umemkabidhi mwenyekiti wako akuwekee!
 
Haki ipo mbinguni ndugu yangu
 
mahaba walliyonayo kwa DJ mbowe hata hiyo ya kulewa akajiangusha wanakubali anavyosema aliytumiwa watu wamzuru lakini huyo jamaa mbowe ni mafia funga kazi muulizeni sumaye alichoambiwa anaonja sumu? ukitaka uenyekiti serious lazima akupoteze ndiyo hao uliowataja
 
Nimesoma hii thread huku machozi yakinilengalenga.

Hii nchi tulishafika sehemu mbaya sana yaani mtu unakosa uhakika wa kesho yako.

Tumuombe Rais Mama Samia ahakikishe huu uonevu uliosimikwa nchini mwetu anauondosha kabisa .
Tulitembelea hilo gereza kuwaona hao kina mdude na wafungwa wengine. Kimsingi, mdude ana afya njema kabisa wala hajawawahi kuteswa kama inavyoelezwa, hachechemei wala kuburuza miguu. malalamiko yake ni hayo ya kubambikiwa kesi. Kwahiyo, Huu ni uongo uliotukuka, ili kuwafanya mtoe michango. hayo machozi yanayokulenga bora ungewalilia na kuwakumbuka ndugu zako waliotangulia mbele za haki.
 
Wewe uliye mlilia jiwe inatosha
 
Jamaa ashapoteza wengi..sana sana wale waliojifanya wanamkosoa wazi wazi au kuutaka uenyekiti wake. Baadhi yao ni ben saa8, Chacha Wangwe, pia wapo waliowahi kukimbia kabla hawajamalizwa na genge lake nao ni Zito, Sumaye, Kubenea na wengine wengi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…