Mateso ya Mdude Nyagali ndani ya kuta za Gereza la Ruanda

Lkn pia bro tutumie lugha za busara hata tunapowakosoa watu tusiokubaliana nao,lugha ngumu na zenye ukakasi kuleta mgogoro,hata km ni ktk familia,mdude alivuka kiwango,
Unasema? Eti samahani mkuu mguu wangu umekaa chini ya mguu wako, we mwambie tu umenikanyaga
 
Pambaneni tu sisi hatuna nguvu ya kuingilia mchakato wa kimahakama.
 
Hii thread imenifanya nizidi kumchukia mwendazake kama kweli Mungu yupo basi Mwensazake ana hali mbaya sana katika moto wa jehanamu kwani hakupatana na aliowatesa
Inaumiza lkn sasa ndiyo hivyo mdogo siku zoote amekuwa ndiye wa kumalizia hasira.
 
Chadema kutoka wabunge mia hadi mbunge mmoja,bado mnajipa matumaini kuwa chama kiko imara [emoji1][emoji1][emoji1]Chadema ilikufa alipoondoka slaa.sasahivi Chadema imebaki fb na jamii foram
Corona inatesa sana.
 
Kweli Maisha yanakupa unachokitaka...mwenyekiti juzi katua kutoka Dubai mwanaharakati wake yuko nyuma ya kuta za ngome.

Bora mwenyekiti wetu Magu alikataa kwenda ulaya na marekani huko kuzulula akahaidi kukaa nasi hapa ndani mpaka kifo kinamchukua.
Bora aliye nyuma ya nondo za gereza kuliko yule aliye kwenye kuta za zege na kiza kinene
 
mkuu waswahili husema mchuma janga hula na wa kwao huyu jamaa sasa hivi anasema eti alikuwa mkosoaji wa serikali hivi serikali inakosolewagwa kwa matusi mazito aliyokuwaga anatukana huyu mdude?anatukana serikali anamtukana rais kama anatukana mtotowake yaani leo anatikea kichaa mwingine kama pambalu lissu na maboya wengine wanaudanganya umma eti alikuwa mkosoaji wa serikali ? ujinga wa hali ya juu huo sasa anapata alichokuwa anakitaka yaani anastahili mateso anayoyapata huku kina pambalu wanajifanya kumtetea anaumia pekeyake huyo siasa hajui matusi siyo siasa NA BADO ANATAKIWA AKITOKA HUMO KILA MTU AMUAMKIE NA WAUWE KABISA NGUVU ZA KIUME ILI IWE KUMBUKUMBU YAKE
 
Bora aliye nyuma ya nondo za gereza kuliko yule aliye kwenye kuta za zege na kiza kinene
huko kila mtu anaenda kinachotupishanisha ni muda tu lakini jela huyo bwege kataka mwenyewe
 
mama alitakiwa awaachie wale wote waliofungwa Kwa HILA YA MAREHEMU.
 
Huwa nakuangalia sana kila ukichangia, lakini leo hii ngoja nikushauri tu. Unaweza kujihisi wewe ni mzalendo mwenye uchungu sana na nchi kumbe umekosa maarifa, hekima, busara na uungwana. Nadhani pia huwa unaandika hivi kwasababu bado hujaiona dunia, lakini siku ukipata fursa ya kwenda sehemu zenye vita walau hata mashariki mwa Congo DRC nadhani utabadilika na kuachana na hizi tabia za kishenzi (Barbaric) ambazo sisi watanzania kwetu ni vitu vigeni sana.

Miaka ya 1990-1994 Wahutu (Interahamwe) walikuwa wanatoa kauli kama hizi kwenye vyombo vya habari na magazeti, wakiamini kabisa wanafanya usahihi kuilinda Rwanda dhidi ya mamluki wa Kitutsi ambao ni vibaraka wa mabeberu. Ikafikia hadi kipindi wakaamini kabisa kwamba kuua Watutsi ni suala la kizalendo kwasababu wale ni maadui wa nchi. Unafahamu nini kiliikuta Rwanda hasahasa Wahutu baada ya yale mauaji ya halaiki ya 1994 ???

RPF ilifanya mauaji makubwa mara mbili (mamilioni ya watu) ya Wahutu kule Congo DRC, kuliko idadi ambayo Wahutu waliuwa Watutsi kule Rwanda. Ukienda Rwanda leo hii ni nchi ambayo inaendelea kwa kasi, lakini itachukua miaka mingi na vizazi vingi sana mpaka makovu yapotee. Unafahamu tatizo la Rwanda lilikuwa ni nini haswa ??? Raia wenye tabia kama zako, The Jean Kambanda's and Jean Akayesu's type.

Mwanafalsafa Plato alishawahi kusema maneno haya "At his best, human being is noblest of all animals, separated from law and justice, he is the worst of all". Mdude katukana na kukashifu basi apelekwe mahakamani na utaraibu ufuatwe. Asibambikiziwe kesi na wala asiteswe bali aadhibiwe kama sheria inavyosema. Tulitunga sheria ili ziweze kututofautisha sisi binadamu wenye utashi dhidi ya wanyama....

Tanzania ilipofikia hapa, tusipojiangalia sana tutakuja kukaa siku na kuangalia nyuma kwa majuto na kusema laiti tungelifahamu. Hii nchi ikiingia kwenye balaa hataumia Mdude peke yake hata wewe na familia yako mnaweza kuwa wahanga........

Be vigilant my friend......
 
Kwani wewe uliyeharibiwa uwezo wako wa uzazi ulimtukana nani?
 
Aisee huu ujumbe unamgusa kila mtanzania ambaye ana tabia za kujiona kuwa yeye ndiye haki kuubwa na hii nchi.

Kwa ujumbe huu nadhani watu tutajirekebisha na kuvaa utanzania.
 
Jo
JOHN POMBE MAGUFULI ASANTE SANA KWA KAZI YAKO. MUNGU ATAKULIPA SAWA SAWA NA MATENDO YAKO. AMENI.
 
Nimesoma hii thread huku machozi yakinilengalenga.

Hii nchi tulishafika sehemu mbaya sana yaani mtu unakosa uhakika wa kesho yako.

Tumuombe Rais Mama Samia ahakikishe huu uonevu uliosimikwa nchini mwetu anauondosha kabisa .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mdude anafundishwa na ulimwengu maana ***** hakumfunza adabu!

Haya mabavicha vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…