Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!


Unanihakikishia kwa maneno matupu? What’s the basis for your conclusion?

Tupe credible theory ya jinsi kura bandia zilivyompa Magufuli ushindi!
 
Kweli kabisa ushindi huu ni halali kwanza mgombea wa CCM aliwasisitiza sana wananchi wasimchanganyie Gunzi anahitaji Connection na wanachama wa CCM kwa mujibu wa Polepole ni zaidi ya m16

Nilisema na wao watuambie wana wanachama wangapi halali ilikujua watashindaje kama wote wakipiga kura badala yake mgombea wao akipanda jukwaani ni Uwanja wa Chato tu na kumsema Magufuli.

Kuna ile taasisi ya yule mama Mzungu alihoji watanzania karibia 6000 kote walipopita kwenye majiji makubwa na mkoa wa Simiyu wananchi walionyesha kumkubali Magufuli zaidi ya wagombea wengine kwa ushindi wa asilimia 80 kama sijakosea na Lissu asilimia 15 sasa,leo wanasemaje wameibiwa kura ikiwa hata kura ya mtandaoni kapigwa vibaya sana
 
Iko hivi..hayo matokeo ni yaliyotengenezwa/ kupangwa na sio yalijumlishwa kwa kura zilizopatikana. Ndyomaana hata asilimiavzinazidi
 
Nilikuwa wakala wa kusimamia kura.ni mjinga tu pekee ndio haamini kama magufuri aliongezewa kura.narudia tena .ni mjinga tu pekee ndio anaamini magufuri napata kura 12 million kwa halali
 
Nendeni mahakamani? Hao mawakala wenu walikuwa wapi haya yote yakifanyika?
Hv hua mnaongea kwa kutumia makalio au hao mawakala walikua wapi kivipi wakati walifukuzwa na wasimamizi hv ww kweli hukusikia au kuona hujuma waliofanyiwa mawakala wa upinzani wengi walitolewa vituoni kisa barua na kitambulisho ,walinyimwa baraua mf Jimbo la chato mawakala wote walifukuzwa kisa eti wamegushi signature,tunaposema uchaguz huu haukuwa huru muelewe
 
Nilikuwa wakala wa kusimamia kura.ni mjinga tu pekee ndio haamini kama magufuri aliongezewa kura.narudia tena .ni mjinga tu pekee ndio anaamini magufuri napata kura 12 million kwa halali
Inawezekana ulikuwa wakala kituo cha kupigia kura kituo cha m/kiti mtaa msembeta 2. LAKINI kuna wengine huko Kawe, tmk, mbagala n.k hawakuruhusiwa kabisa kuwepo kipindi cha kuhesabu kura.
 

Hamisheni tu magoli; hiyo nayo ipo!
 
Mbona simpo tu zile kura kwenye vikapu zimetikiwa wagombea wa CCM zilitoka wapi? Kama zimekamatwa chache nyingi zilizopenya zilijumuishwa au zilitengwa hazikujumuishwa.
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
Umesoma hesabu kweli mkuu?? Ngoja nikusaidie walijitokeza kupiga kura ni million 15+ hivyo ambao hawakupiga kura ni million 14 na wala si million 17.
 
Kwani hakuk Kwani hakukuwa ma mawakara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…