Mathematics inaweza kutufunulia kuhusu siri za ulimwengu kweli...??

Mathematics inaweza kutufunulia kuhusu siri za ulimwengu kweli...??

Kuna tofauti kati ya Hisabati (Mathematics) na Hesabu (Arithmetics).

Hisabati (Mathematics) hii tunasoma darasani na ni kwa ajili ya kumfanya mwanafunzi au mtu awe active na masomo mengine na pia inakuwa applied ktk masomo hayo mengine kama sio yote.

Hesabu (Arithmetics) haya ndiyo maisha yenyewe ambayo kimsingi yanauhisiano na Hisabati(Mathematics) isipokuwa hii ss ndiyo field yenyewe, unapoambiwa maisha ni hesabu inamaanisha Arithmetics na co Mathematics.

Unaposema kesho nikiamka nitafanya hiki na kile basi hizo ndizo hesabu zenyewe, au unaposema mwaka huu nitaacha hii kazi ili nifanye biashara zangu ujue hapo umetumia hesabu, na ukikosea kwenye hesabu lazima uadhibiwe ipasavyo.

Tukija kwenye hizo namba 3,6, na 9 alizotaja huyo Nikola Hilo ni fumbo tu lakini ndani yake kwenye hizo namba kuna Arithmetics ambapo wenye uelewa wanakuwa wameelewa.
Ahsante kwa ufafanuzi mkuu ila nimetumia mathematics ili iwe vyepesi kueleweka zaidi.
 
Kwa muda mrefu nmekuwa nikiwaza Hilo kwamba je ni kweli hakuna namba nyingine ukitoa 0-9? Alafu kwa bahati mby au nzuri mawazo yangu na yako yamegongana kwamba kuna namba between 3 and 4 cjajua kwa nn tuliwaza pamoja, yani kwnn mm nisingewaza namba btn 5 and 6 lkn ninawaza kama ww kwamba kuna namba between 3 and 4?
Wakuu kuwe na namba kivipi kwani mantiki ya namba sini idadi.. so moja ina represent kitu kimoja na mbili vitu viwili,inakuwaje kwenye tatu na nne kuwe na namba so ina represent idadi ipi..?
 
Hizi takataka za waraabu zinakuhusu nini wewe pia unayeabudu uwongo wa kufa na kufufuka, au zinakufariji kujiona unaamini utopolo uliopitiliza kuwa kuna binadamu anayekufa na kufufuka ni hadithi ya ukweli...
Leta Hisabati kuthibitisha......
Sasa wew unaamin hyo Stori ya padre na Muhammad[emoji848] hzo nyingine pia ni takataka kwasababu pia hazina ushahidi wowote
 
Wewe ni mwongo... umekaririshwa na wewe unatukaririshà

Hivi kwañini hamkubali kitu kikishawashinda? Yaani wakishafanya utafiti tu wakaona wamepata ukweli uliopo ķweńye maandiķo (vitabu) lazima wageuze ukweli kwa makusudi. Kadhalika wakiona wametoka kapa tu lazima watunge uongo uongo mwingi kùpumbaźa watu
kati ya Mimi na wewe nani juha,mimi nimeweka hapo hoja badala ya kufanya utafiti unakuja na maneno matupu kunipinga bila Hata fact zaidi ya mipasho ya kipwani,
Grow up dude waliokuletea huo unaodhani ni ukweli ndio hao hao walinipa hayo madini na Kwa prove na Kwa tafiti zenye ithibati inayokubalika na jamii ya kimataifa mpaka Sasa,
Napata ukakasi na akili za Waafrika wa dizaini Yako maana mnaonekana ni vituko mbele ya Watu waliowakaririsha ujinga ambao wao wameacha kuufuata sababu ulikuja zama za ujinga na wao washauacha kitambo Sana

This is smart World Kila kitu kinathibitishwa Kwa Science and technology hakuna longo longo Wala janja janja za kijuha kama za Karne ya 2 AD huko!
 
Naleta swali hili kwenu nyinyi wataalum wa hesabu. Je, Mathematics inaweza kutufunulia siri za ulimwengu..?

Nimekuwa nikisikia kuwa hesabu na matendo yake kama tutaweza kuzitumia vyema basi tunaweza kutambua siri kadhaa za ulimwengu!!.

Inamaanisha hesabu ni lugha ya ulimwengu so ni vile tu tunavyoweza kuitumia ili itupatie majibu sahihi,Pia nimeweza kuona hata yule injinia wa maswala ya umeme alishawahi kusema namba 3,6 na 9 ni funguo za ulimwengu!!!! By Nikola Tesla. Kwanini Nikola alinena hili..?

Swali langu ni kivipi na je,imeshawahi kufanya hivyo kutufunulia siri za ulimwengu..?
Kama zipo naombeni na mifano!.

Katika fikra zangu chache niliweza kufikiri kuhusu hili ila niliona kama ndio inawezekana japo sina hakika ila chaajabu nilikuja kuona kama hesabu zetu still zipo very low!

Msiulize kwanini maana bado nina Loading..[emoji28]
Yani nachoona kama still Kuna kanuni fulani hivi hatuzijui na ndio maana hata hesabu zetu kama zipo very low!.. hii ikanifikisha hadi kwenye fikra za kujiona kuwa sisi ni high intelligent ila nikaona sisi ni kama punje tu ya intelligent iliyopo ulimwenguni!.

Nahisi bado tuna safari ndefu mno ya kuisemesha lugha hesabu hadi itupatie majibu!.

Nimechokoza mada karibuni mnielekeze kuhusu hili..
Tafuta hiki kitabu kisome vizuri, majibu yote hako humo, "Philosophiae Naturalis Principia Mathematica"
 
Achana na hesabu aisee Kwan ndo kila kitu Ila sii hesabu zenu za Darasani hizi.

Kuna mwaka nilienda Kwa mtabiri mtabibu nilikuwa nashida yakuuza kitu kinathamani ya pesa ndefu Sana wateja wanapita yule mshenzi sana hivi Unajua utabiri na Siri zijazo zahuu ulimwengu ni hesabu. SASA alipiga Hesabu zake Yule Mzee nachungulia Kwa mbali akapata number 96 akagawa gawa pale ikabaki 3 izi elimu zengine watu sijui wanapata wapi akanambia mambo matatu.

1. Nitapata KAZI za kusafiri Mwezi watatu ulikuwa mwezi unaofata.
2. Akanitajia jina la mwanamke akanambia huyu mwanamke ni hatari muepuke kaa nae mbali kabisa utaona mabadiliko kwenye maisha yako japo hamjui ninani kwangu
3. Ninachotaka kuuza nitauza mwezi wa tano nikapewa namazagazaga.

Kilichofata
1. Mwezi watatu nikapokea simu nikapata Kazi connection kutoka Kwa rafiki kampuni kubwa Tu ya Logistics Dar es salaam full kusafiri.
2. Nilikata mawasiliano na wanawake wote niliokuwa nauhusiano nao wenye jina nilopewa maisha yakaanza kubabadilika.
3. Mwisho nikafanikiwa kuuza nilichotaka kuuza ulipofika mwezi wa tano Tarehe za mwanzo kabisa.

Achana na kitu kinaitwa Hesabu Siri zote zipo kwenye Hesabu kwenye huu ulimwengu hata ukitaka kujua sku na Tarehe yakifo chako utapewa.
 
Achana na hesabu aisee Kwan ndo kila kitu Ila sii hesabu zenu za Darasani hizi.

Kuna mwaka nilienda Kwa mtabiri mtabibu nilikuwa nashida yakuuza kitu kinathamani ya pesa ndefu Sana wateja wanapita yule mshenzi sana hivi Unajua utabiri na Siri zijazo zahuu ulimwengu ni hesabu. SASA alipiga Hesabu zake Yule Mzee nachungulia Kwa mbali akapata number 96 akagawa gawa pale ikabaki 3 izi elimu zengine watu sijui wanapata wapi akanambia mambo matatu.

1. Nitapata KAZI za kusafiri Mwezi watatu ulikuwa mwezi unaofata.
2. Akanitajia jina la mwanamke akanambia huyu mwanamke ni hatari muepuke kaa nae mbali kabisa utaona mabadiliko kwenye maisha yako japo hamjui ninani kwangu
3. Ninachotaka kuuza nitauza mwezi wa tano nikapewa namazagazaga.

Kilichofata
1. Mwezi watatu nikapokea simu nikapata Kazi connection kutoka Kwa rafiki kampuni kubwa Tu ya Logistics Dar es salaam full kusafiri.
2. Nilikata mawasiliano na wanawake wote niliokuwa nauhusiano nao wenye jina nilopewa maisha yakaanza kubabadilika.
3. Mwisho nikafanikiwa kuuza nilichotaka kuuza ulipofika mwezi wa tano Tarehe za mwanzo kabisa.

Achana na kitu kinaitwa Hesabu Siri zote zipo kwenye Hesabu kwenye huu ulimwengu hata ukitaka kujua sku na Tarehe yakifo chako utapewa.
😀 Mkuu nani huyo nimtafute anipigie hesabu..
 
Kuzijua Siri za ulimwengu huu kunamuweka mtu huru
 
Na mie naomba kuchangia hii mada ya hesabati ju ya ufunguo wa siri za ulimwengu,
Hii ipo hivi, kiuhalisia hisabati ndio kufuli ya siri za ulimwengu na sio hisabati pekee masomo yote tunayofundishwa skuli kisaikologia yana kuwa ni kufuli za kuifunga akili ya mwanadamu isotoke nje ya ufahamu unaojengwa na mafunzo hayo,
Hesabati sio zao la uhalisi au nature, hisabati ni man-made structure kama ilivyo mifumo ya masaa tarehe,siku,miezi na miaka, hii yote ni mifumo ya kutunga na sio natural, na sababu za kutunga mifumo yote hii ni kutia kufuli akili ya mwanadamu isitoke nje ya box,akili ya mwanadamu isiwe free kuwaza mambo yake yenyewe na iwe imefungika kwenye hii mifumo ya hesabati na tarehe,n.k

Tuutazame mfano huu wa kufuli ya hesabati¡.
inalazimisha namba zianzie 0 mpaka 9 hii maana yake akili haiwezi tena kutoka nje ya namba 9 na akili haiwezi tena kuvumbua namba mpya zaidi ya namba 9, na haiwezi kuja na maarifa zaidi yatokayo nje ya 0 to 9, yaani kwenye akili zetu mwangaza upo kuanzia 0 mpaka 9 tu baada ya hapo ni kiza kitupu na blockage

Twende kwenye Siri za ulimwengu hizo zinazotarajiwa kufumguliwa kwa hesabati [emoji75],
Siri za ulimwengu haziwezi kufunguliwa na elimu au mfumo wowote tunaoufahamu sisi binadamu, yaani kiuhalisia hizi elimu na mifumo inayotujenga sisi binadamu ipo kwa ajili ya kutuweka mbali na ufahamu wa mifumo halisi ya ulimwengu, na mifumo yote tuliyofunzwa ya ulimwengu sio ya ukweli yote ni uzushi. Na hii mifumo ya uzushi imejengwa kwa kukubaliana na hesabati na kwenye akili zetu chochote kinachokubaliana na hesabati ni kitu halisi.
Kuanzia dunia yenyewe ilivyo, upatikanaji wa seasons, kinachosababisha usiku na mchana, uhalisi wa jua,mwezi,nyota na sayari, upepo ni kitu gani na unasababishwa na nini, mvua inapatikanaje na mengi mengineyo haya yote yanatolewa maelezo yake katika elimu za kutunga za kutunga na sio katika uhalisi wake.
Sisi binadamu sote dunia nzima tunaishi maisha yote hapa duniani hatuwezi kujua kabisa dunia ni kitu gani kiuhalisia, tunaelimishwa kwa kuoneshwa picha za kuchora na video za animations tu, na hakuna hata picha moja ya dunia ambayo ni ya kweli,binadamu hatutakiwi kuijua dunia ni nini na pia hatutakiwi kujua siri halisi za ulimwengu, mambo tunayofunzwa ni mambo ya kutupumbaza tu na kuupoteza wakati wetu wa maisha bure, na kutufanya tusijielewe hata sisi wenyewe ni nani hasa

Nadhani ntarudi tena baadae kuendelea
kuna elimu ndan jf nilichelew kuipata nje ya jukwaa hili hakika naendelea kujifunza mengi sana ndn ya uwanja huu shukran wakuu...
 
Majibu wanayo wale wahuni waliojenga Pyramids,
Wale wazee wa Mathematics Kali ya kukata miamba Kwa laser tools!

Walishaondoka na Siri zao waliona wakiwaachia binadamu wataiangamiza Dunia ndani muda mfupi Bora wabakie primitive waendelee kutumia mapanga na mishale kuuana!

Secret!
Walisanuka mapema wale majamaa 😂😂😂😂
 
Achana na hesabu aisee Kwan ndo kila kitu Ila sii hesabu zenu za Darasani hizi.

Kuna mwaka nilienda Kwa mtabiri mtabibu nilikuwa nashida yakuuza kitu kinathamani ya pesa ndefu Sana wateja wanapita yule mshenzi sana hivi Unajua utabiri na Siri zijazo zahuu ulimwengu ni hesabu. SASA alipiga Hesabu zake Yule Mzee nachungulia Kwa mbali akapata number 96 akagawa gawa pale ikabaki 3 izi elimu zengine watu sijui wanapata wapi akanambia mambo matatu.

1. Nitapata KAZI za kusafiri Mwezi watatu ulikuwa mwezi unaofata.
2. Akanitajia jina la mwanamke akanambia huyu mwanamke ni hatari muepuke kaa nae mbali kabisa utaona mabadiliko kwenye maisha yako japo hamjui ninani kwangu
3. Ninachotaka kuuza nitauza mwezi wa tano nikapewa namazagazaga.

Kilichofata
1. Mwezi watatu nikapokea simu nikapata Kazi connection kutoka Kwa rafiki kampuni kubwa Tu ya Logistics Dar es salaam full kusafiri.
2. Nilikata mawasiliano na wanawake wote niliokuwa nauhusiano nao wenye jina nilopewa maisha yakaanza kubabadilika.
3. Mwisho nikafanikiwa kuuza nilichotaka kuuza ulipofika mwezi wa tano Tarehe za mwanzo kabisa.

Achana na kitu kinaitwa Hesabu Siri zote zipo kwenye Hesabu kwenye huu ulimwengu hata ukitaka kujua sku na Tarehe yakifo chako utapewa.
Naomba connection mkuu
 
Mkuu ni kweli tumeweza angalau kufikia hizo teknolojia Tena ndani ya kipindi kifupi Sana unajua Siri behind?

Hii Dunia inaongozwa Kwa misingi ya Siri na code maalumu tulipoanza ugunduzi wa machine hasa miaka ya 1880's kilichosababisha ni baadhi ya wanasayansi kuanza kuanza kuzunguka maeneo mbali mbali hasa kule Mesopotamia, Mesoamerica,misri na kubeba tablets mbali mbali na kuzipeleka ulaya hiyo ilianza miaka ya 1500's kina Christopher Columbus,Hernan Cortez,kina Captain Magellan kuanza kupewa financial kuizunguka Dunia na kurudi na tablets za kale
Mfano mtu kama Hernan Cortez alibeba tablets na shehena nyingi ya treasures kutoka Kwa king Montezuma ingawa zile tablets hawakujua maana yake ila baadae watafiti ilikuja kuwasaidia katika vumbuzi mbali mbali
Pia zipo za misri walizobeba Vatican pale maktaba ya kale ya Alexandria
Kingine Cha Siri na kikubwa ambacho tunafichwa ni kwamba waliweza kufanya mawasiliano na hao viumbe na Taifa kama Marekani Lina maeneo kama
Area 51huko jangwa la Nevada za chini chini Toka zamani wapo na project na hao viumbe na Ndio maana Dunia ipo na Kasi Sana Kwenye ulimwengu wa teknolojia ndani ya kipindi kifupi Sana na Kila siku vumbuzi za kushangaza zinaibuka imagine mwaka 2006 hatukukuwa na hata idea ya smart phone afadhali wenzetu Huko walikua na simu batan zenye access ya internet angalia mapinduzi ya Muda mfupi kwenye sekta ya mawasiliano tu Leo mpaka kina sie wa Nanjilinji tunamiliki device ambazo zinatufanya kuwaona ndugu zetu walio mbali sana via video call
Kiasi kwamba ukirudi mwaka 2001 tu hapo nyuma ukawaambia mpaka 2013 kutakua na simu za kumwona anayekupigia watakuona mwendawazimu

Sasa hio ni mifano jinsi Gani Kuna Siri behind ya haya mambo tunayoshuhudia
Sisi tuna bahati Sana kua kwenye kizazi ambacho mambo magumu na yaliyoshindikana zamani na kuonekana miujiza Leo sisi tunajionea ni kitu Cha kawaida
Na Ndio maana Annunak walipokuja accient world na teknolojia kubwa mno waliitwa Mungu/miungu na binadamu akaona ni miujiza mikubwa na maajabu na Ndio nadharia za Dini na kuabudu viumbe wa anga za juu zilianzia hapo wakiwapa majina kama Malaika, maserafi,Mashetani,Majini NK

Ila hivyo vyote vipo under high advanced technology Toka kale sana Kuliko binadamu na Ndio vilivyofanya human cloning project na man manipulations long time ago
Ila vyote vimekua Siri wanaogopa kuwaambia watu ukweli mchungu wakiogopa mass haisteria!
Hapa nimekuelewa sana ndugu
 
Back
Top Bottom