Mathematics inaweza kutufunulia kuhusu siri za ulimwengu kweli...??

Ahsante kwa ufafanuzi mkuu ila nimetumia mathematics ili iwe vyepesi kueleweka zaidi.
 
Wakuu kuwe na namba kivipi kwani mantiki ya namba sini idadi.. so moja ina represent kitu kimoja na mbili vitu viwili,inakuwaje kwenye tatu na nne kuwe na namba so ina represent idadi ipi..?
 
Hizi takataka za waraabu zinakuhusu nini wewe pia unayeabudu uwongo wa kufa na kufufuka, au zinakufariji kujiona unaamini utopolo uliopitiliza kuwa kuna binadamu anayekufa na kufufuka ni hadithi ya ukweli...
Leta Hisabati kuthibitisha......
Sasa wew unaamin hyo Stori ya padre na Muhammad[emoji848] hzo nyingine pia ni takataka kwasababu pia hazina ushahidi wowote
 
kati ya Mimi na wewe nani juha,mimi nimeweka hapo hoja badala ya kufanya utafiti unakuja na maneno matupu kunipinga bila Hata fact zaidi ya mipasho ya kipwani,
Grow up dude waliokuletea huo unaodhani ni ukweli ndio hao hao walinipa hayo madini na Kwa prove na Kwa tafiti zenye ithibati inayokubalika na jamii ya kimataifa mpaka Sasa,
Napata ukakasi na akili za Waafrika wa dizaini Yako maana mnaonekana ni vituko mbele ya Watu waliowakaririsha ujinga ambao wao wameacha kuufuata sababu ulikuja zama za ujinga na wao washauacha kitambo Sana

This is smart World Kila kitu kinathibitishwa Kwa Science and technology hakuna longo longo Wala janja janja za kijuha kama za Karne ya 2 AD huko!
 
Tafuta hiki kitabu kisome vizuri, majibu yote hako humo, "Philosophiae Naturalis Principia Mathematica"
 
Achana na hesabu aisee Kwan ndo kila kitu Ila sii hesabu zenu za Darasani hizi.

Kuna mwaka nilienda Kwa mtabiri mtabibu nilikuwa nashida yakuuza kitu kinathamani ya pesa ndefu Sana wateja wanapita yule mshenzi sana hivi Unajua utabiri na Siri zijazo zahuu ulimwengu ni hesabu. SASA alipiga Hesabu zake Yule Mzee nachungulia Kwa mbali akapata number 96 akagawa gawa pale ikabaki 3 izi elimu zengine watu sijui wanapata wapi akanambia mambo matatu.

1. Nitapata KAZI za kusafiri Mwezi watatu ulikuwa mwezi unaofata.
2. Akanitajia jina la mwanamke akanambia huyu mwanamke ni hatari muepuke kaa nae mbali kabisa utaona mabadiliko kwenye maisha yako japo hamjui ninani kwangu
3. Ninachotaka kuuza nitauza mwezi wa tano nikapewa namazagazaga.

Kilichofata
1. Mwezi watatu nikapokea simu nikapata Kazi connection kutoka Kwa rafiki kampuni kubwa Tu ya Logistics Dar es salaam full kusafiri.
2. Nilikata mawasiliano na wanawake wote niliokuwa nauhusiano nao wenye jina nilopewa maisha yakaanza kubabadilika.
3. Mwisho nikafanikiwa kuuza nilichotaka kuuza ulipofika mwezi wa tano Tarehe za mwanzo kabisa.

Achana na kitu kinaitwa Hesabu Siri zote zipo kwenye Hesabu kwenye huu ulimwengu hata ukitaka kujua sku na Tarehe yakifo chako utapewa.
 
😀 Mkuu nani huyo nimtafute anipigie hesabu..
 
Kuzijua Siri za ulimwengu huu kunamuweka mtu huru
 
Hahahahahaha. Watakusaka uuwawe
True hii nadharia,zipo article zinasema mapadri watano walioasi ukatoliki ndio walioanzisha uislamu, ushahidi Quran na agano la kale vinafanana
 
kuna elimu ndan jf nilichelew kuipata nje ya jukwaa hili hakika naendelea kujifunza mengi sana ndn ya uwanja huu shukran wakuu...
 
Walisanuka mapema wale majamaa 😂😂😂😂
 
Naomba connection mkuu
 
Hapa nimekuelewa sana ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…