Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Don't read too much into this. Local politics are not necessarily national politics. Kwa vile jimbo hilo tayari lilikuwa upinzani hivyo aliyeanguka zaidi si CCM bali TLP. Ndio maana ushindi wa Tarime pamoja na ukubwa wake wote ulitafsiri jambo moja tu nalo ni kurudisha jimbo mikononi mwa Chadema.
Hadi hivi sasa katika chaguzi hizi ndogo, Chadema haijaweza kushinda jimbo la CCM. Imeshindwa Tunduru, Kiteto, na Mbeya Vijijini. Na hii utaona tofauti kubwa ya jinsi gani CCM inapeleka nguvu zake. Huwezi kulinganisha jinsi CCM ilivyopania kuichukua Busanda na jinsi ilivyopandia kuichukua Biharamulo.
Jambo kubwa ambalo ni zoezi kwa chadema ni jinsi gani kuweza kushinda sasa kwenye majimbo ya CCM maana sasa hivi hakuna tena uchaguzi mdogo hadi uchaguzi mkuu mwakani.
Ninachokiona sasa ni CCM kuanza kujipanga kuyakomboa majimbo ya upinzani na kuyarudisha CCM.
Na suala la kuungana mimi nilishassema mapema, hakuna ulazima wa Chadema kuungana na chama kingine bali kujijenga ili kiweze kuwa chama mbadala na hili ni kweli kwa CUF vile vile. Endapo kutakuwa na ulazima wa kuungana basi ni muungano wenye kuunganisha fikra, sera, katiba, mitazamo n.k na siyo muungano wa kuiondoa CCM.
rmashauri..
Kwenye dini ya kiislam unapoona muislam mwenzako anapambana na mgalatia ni mwiko kabisa kumtupa hata kama unajua ametenda makosa mabaya... hivyo usitegee Game theory amseme vibaya Ustaadhi Idrisa wa tanesco au Prof. Lipumba amseme vibaya sheikh Rostam Aziz...
Lakini pamoja na CHADEMA kushindwa bado wameweza kuonyesha upinzani wenye heshima.... Ukianzia na Kiteto, Mbeya vijijini (goli la mkono) na Busanda kote huko CCM (chama kikongwe) ilibidi watumie nguvu za ziada.
Hapana... Si ujinga tu! Ni DHAMBI KUBWA...! Inabidi elimu itolewe kwa nguvu sana kabla ya 2010Hongera CHADEMA.
Hivi wasio piga kura hawajui kuwa ni kutokupiga kura ni UJINGA? Kwa 2010 ili Vyam mbadala viwe na nafasi ni lazima hawa wahamasishwe kwa kweli.
Kama kweli CUF ina nia njema na ukombozi wa watanzania waungane na chadema kiwe chama kimoja kwani CUF bado wanakampumzi Zanzabar na Chadema wanapuma kwa kasi Tanganyika itaweweka pazuri sana kupambana na CCM la sivyo Cuf itakufa taratibu kama NCCR na TLP.
Kitu kimoja tu nimejifunza.. Wanaposimama wapinzani wachache kuna uwezekano wa chama pinzani kuishinda CCM lakini wakiingia wengi, wapinzani hugawana kura na CCM huibuka mshindi..
Je watagomea matokeo pamoja na uvunjaji wa sheria za uchaguzi au ni pale wanaposhindwa ndio matokeo yanagomewa?
Hapana... Si ujinga tu! Ni DHAMBI KUBWA...! Inabidi elimu itolewe kwa nguvu sana kabla ya 2010
Don't read too much into this. Local politics are not necessarily national politics. Kwa vile jimbo hilo tayari lilikuwa upinzani hivyo aliyeanguka zaidi si CCM bali TLP. Ndio maana ushindi wa Tarime pamoja na ukubwa wake wote ulitafsiri jambo moja tu nalo ni kurudisha jimbo mikononi mwa Chadema.
Hadi hivi sasa katika chaguzi hizi ndogo, Chadema haijaweza kushinda jimbo la CCM. Imeshindwa Tunduru, Kiteto, na Mbeya Vijijini. Na hii utaona tofauti kubwa ya jinsi gani CCM inapeleka nguvu zake. Huwezi kulinganisha jinsi CCM ilivyopania kuichukua Busanda na jinsi ilivyopandia kuichukua Biharamulo.
Jambo kubwa ambalo ni zoezi kwa chadema ni jinsi gani kuweza kushinda sasa kwenye majimbo ya CCM maana sasa hivi hakuna tena uchaguzi mdogo hadi uchaguzi mkuu mwakani.
Ninachokiona sasa ni CCM kuanza kujipanga kuyakomboa majimbo ya upinzani na kuyarudisha CCM.
Na suala la kuungana mimi nilishassema mapema, hakuna ulazima wa Chadema kuungana na chama kingine bali kujijenga ili kiweze kuwa chama mbadala na hili ni kweli kwa CUF vile vile. Endapo kutakuwa na ulazima wa kuungana basi ni muungano wenye kuunganisha fikra, sera, katiba, mitazamo n.k na siyo muungano wa kuiondoa CCM.
Nakumbuka ndugu Mtanzania alisema Chadema wasimuweke mgombea wao kule Biharamulo, bali wamuunge mkono yule wa TLP.
Mh! Logic zingine bwana! Za wasomi wa fasttrack hizo.
Chuki zinakusumbua kijana kiasi ya kwamba likitajwa neno Uislam matumbo yako yanaunguruma. lol!
achana na huyo kaona misalaba kwenye avatar yako kimemkera.....Udini kijana unakutafuna, hapa hujatoa maoni ya maana kazi yako unatafuta tu pale uislamu ulipoguswa, lol! After all mimi nilikuwa na-quote statement ya mtu mwingine, sasa shehe mbona waniandama mie ati!