Matokeo Darasa la Saba: Baadhi ya majina ni fake, tazama hizi shule hapa

Matokeo Darasa la Saba: Baadhi ya majina ni fake, tazama hizi shule hapa

CCM Music

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2018
Posts
1,036
Reaction score
1,784
Screenshot_20201218-191630.png


Screenshot_20201218-191533.png


Screenshot_20201218-191203.png
 
Hayo ni baadhi ya majina toka shule za Msingi Lesiraa pamoja Loovilukuny, zote zipo Mkoa wa Arusha.

Nadhani zipo kijijini km sijakosea (kwa kutazama wingi wa majina yanayoakisi kama Jamii za Watu wa eneo moja)
 
Hiyo afadhali, selection ndiyo kituko, yaani namba ni sawa ila jina tofauti yaani wizara ya elimu kuna shida kubwa sana, sasa sijui kwa nini hawamuogopi Dkt Magufuli????
Dr magu? Watu washamjulia tayari.

Naomba link ya hayo majina
 
Hiyo afadhali, selection ndiyo kituko, yaani namba ni sawa ila jina tofauti yaani wizara ya elimu kuna shida kubwa sana, sasa sijui kwa nini hawamuogopi Dkt Magufuli????
Mkuu naomba unitumie PDF ya selection Kama unayo tafadhal
 
Back
Top Bottom