Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndiyo madhara ya kubebana.ndalichako keshachoka uwaziri
Marry is not a mesage?Hayo ni baadhi ya majina toka shule za Msingi Lesiraa pamoja Loovilukuny, zote zipo Mkoa wa Arusha.
Nadhani zipo kijijini km sijakosea (kwa kutazama wingi wa majina yanayoakisi kama Jamii za Watu wa eneo moja)
Nduguye VOICE WONDERTeh teh teh kunatu naitwa VOICE OVER
Mkuu uzi wake tayari upo.Hivi haya majina ya wanafunzi waliochaguliwa darasa la 7 ni ya kweli au ndo kama mambo ya tamisemi kuchomeka majina ya watu ya watu wasiojulikana.
My take:IT wa wizara hizo 2 wamechoka au wanawahujumu mawaziri waliopo katika nyadhifa hizo
wanajua kuwa magufuli anapenda sifa, hivyo wamebuni majina bora tu yawe na ufaulu.Hiyo afadhali, selection ndiyo kituko, yaani namba ni sawa ila jina tofauti yaani wizara ya elimu kuna shida kubwa sana, sasa sijui kwa nini hawamuogopi Dkt Magufuli????
I DON'T HAVE A BREAKDOWN
mmesha Edit?Mtoa mada naona unapotosha Kwa picha za editing,
Cheki link hii hapa ya matokeo ya shule husika
Majina yapo sawa kabisa hayajakosewa hata kidogo.