Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

Tazama matokeo Kupitia

http://41.188.155.122/csee/matokeo/csee/2014/olevel2014.htm.

Usisahau kutoa Maoni yako kutokana na matokeo ya Kipindi hiki.
Je Big Result Now (BRN) inaleta matumaini katika Elimu yetu.

ppppp.PNG
 
Naona website ya NECTA ipo down. Hii shule ya kaizirege wako serious. Ukicheki tovuti yao HOME utaona namna wanavyotoa wanafunzi walio makini.
 
sory, distinction(ufaulu uliojipambanua) =dv1
credit=dv2, merit=dv3, pass=dv4, fail ndio dv5.

Distiction inaanzia point ngap had ngap!?

Tusaidieni tujue ili tulinganishe na sisi wa zamami.

Unaweza kuta mtu ana DIST. Kumbe enzi zile ni div 3.
 
Hivi mama Salma Kikwete ameifanyia nini nchi hii mpaka shule ipewe jina lake?hizi swaga za kujiona nyie ndo muhimu zinaboa sana
 
Leo tena nimeamini ukitaka kucheza na akili za Watanzania walio wengi weka vitu kwenye maandishi, watu hawasomi!
Katibu Mtendaji huyu huyu mwaka jana 2014 aligumia muda mwingi kwenye media hasa magazeti kuelezea Alama mpya, akendesha semina kwa REOs, DEOs nchi nzima lakini kwa kuwa watu hawajazoea kufuatilia vitu mpaka yawakute hawakujishughulisha.
Leo hii mtu anauliza Maana ya distinction wakati hata vyuoni inatumika. Alichofanya DR. MSONDE- Executive Secretary ni kuweka mfumo sawa na ule unaotumika Vyuoni ili udahili TCU uwe rahisi.
 
Leo tena nimeamini ukitaka kucheza na akili za Watanzania walio wengi weka vitu kwenye maandishi, watu hawasomi!
Katibu Mtendaji huyu huyu mwaka jana 2014 aligumia muda mwingi kwenye media hasa magazeti kuelezea Alama mpya, akendesha semina kwa REOs, DEOs nchi nzima lakini kwa kuwa watu hawajazoea kufuatilia vitu mpaka yawakute hawakujishughulisha.
Leo hii mtu anauliza Maana ya distinction wakati hata vyuoni inatumika. Alichofanya DR. MSONDE- Executive Secretary ni kuweka mfumo sawa na ule unaotumika Vyuoni ili udahili TCU uwe rahisi.

Akili zako na KATIBU MKUU NECTA ZIMEFANANA..
 
Leo tena nimeamini ukitaka kucheza na akili za Watanzania walio wengi weka vitu kwenye maandishi, watu hawasomi!
Katibu Mtendaji huyu huyu mwaka jana 2014 aligumia muda mwingi kwenye media hasa magazeti kuelezea Alama mpya, akendesha semina kwa REOs, DEOs nchi nzima lakini kwa kuwa watu hawajazoea kufuatilia vitu mpaka yawakute hawakujishughulisha.
Leo hii mtu anauliza Maana ya distinction wakati hata vyuoni inatumika. Alichofanya DR. MSONDE- Executive Secretary ni kuweka mfumo sawa na ule unaotumika Vyuoni ili udahili TCU uwe rahisi.

Hapa utatambua watu ambao College imepita pembeni.

Kutwa kujishaua mfumo wa elimu unashuka, wakati wanashindwa kuelewa an almost universal grading system inayotumika sehemu nyingi sana duniani.

Kama hujui tofauti ya Distinction na merit, hilo ni tatizo lako, muulize ndugu yako aliyefika chuo kikuu. Kama umefika chuo kikuu, hujui tofauti ya Distinction na credit, waliokudahili huko walifanya kosa kubwa sana.

Kama unaamini mtu aliye na matokeo ya "PASS" ataweza kuwa competitive kwenye vyuo duniani au kwenye soko la ajira, basi hujui kinachoendelea duniani.

Elimu imeshuka, ndio, lakini huwezi kulaumu NECTA Ku-harmonise mfumo wa elimu, baada ya hapo unauliza nini maana ya GPA ya 5.0.

Unatoa vipi lawama kwa kitu usichokijua hata kidogo?

WTF?
 
Hongera sana KAIZIREGE mmeonesha mfano kwa kuwabeba wenzenu
 
yametoka ndio, kidato cha nne waliomaliza mwaka jana
 
Back
Top Bottom