Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

Naona website ya NECTA ipo down. Hii shule ya kaizirege wako serious. Ukicheki tovuti yao HOME utaona namna wanavyotoa wanafunzi walio makini.

Nakumbuka katika matokeo yao ya fm2 mwaka 2012 hawa watoto walikuwa ndani ya top3 na aliyeongoza kitaifa alitokea hapo,kusema kweli nilibet wangefanya vizuri pia necta4 na sasa wameweza,wameonesha inspiration kubwa
 
Matokeo kidato cha nne ametoka rasmi leo hii katika mfumo mpya ambapo madaraja yamepangwa kwa mfumo wa distinction,merit pass, credit na fail. Kwakweli yanaeleweka sana kuliko mfumo uliopita hongera baraza na wizara hongera JK
 
Lowassa kweli anashindwa kuwekeza katika shule iliyopewa jina lake?


http://41.188.155.122/csee/matokeo/csee/2014/CSEE 2014/s1803.htm

Screen Shot 2015-02-14 at 12.08.53.png
 
ccm has proved the greatest failure in histry.
Sema huuelewi huu mfumo mpya wa kutoa matokeo ambao ni Wa GPA sio kutoa lawama tuu kwa CCM! Mfumo huu ni rahisi,fair na ni mzuri sana na huona tofauti na uliopita sema kilicho badilika ni majina tuu!

Kama uelewi jambo uliza sio kufata mkumbo wa kulaumu ...CCM
 
Invisible fanya mambo yako tuyapate matokeo kwa urahisi ikiwa ni huduma kwa jamii sio hawa maswa yetu kila kitu wanataka pesa...
 
Last edited by a moderator:
Bofya link hapo chini upakue

http://41.188.155.122/csee/matokeo/csee/2014/olevel2014.htm


Mfumo wa matokeo umebadilishwa kutoka ule tuliozoea wa A, B nk kwenda kama ilivyo hapo chini grade point average (GPA)


DISTINCTION -----------GPA 3.6 - 5.0
MERIT--------------------GPA 2.6 - 3.5
CREDIT------------------GPA 1.6 - 2.5
PASS --------------------GPA 0.3 - 1.5
FAIL ---------------------GPA 0.0 - 0.2






 
Matokeo kidato cha nne ametoka rasmi leo hii katika mfumo mpya ambapo madaraja yamepangwa kwa mfumo wa distinction,merit pass, credit na fail. Kwakweli yanaeleweka sana kuliko mfumo uliopita hongera baraza na wizara hongera JK

So what is the news?
 
Invisible fanya mambo yako tuyapate matokeo kwa urahisi ikiwa ni huduma kwa jamii sio hawa maswa yetu kila kitu wanataka pesa...

Yaani haka kanchi tumekaa kiudokozidokozi tu. Kweli matokeo yapo hewani lakini bado kuna watu wanataka kupiga hela kupitia service ambayo ni rahisi kuipata. Anyway "miafrika ndivyo tulivyo" by Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Sema huuelewi huu mfumo mpya wa kutoa matokeo ambao ni Wa GPA sio kutoa lawama tuu kwa CCM! Mfumo huu ni rahisi,fair na ni mzuri sana na huona tofauti na uliopita sema kilicho badilika ni majina tuu!

Kama uelewi jambo uliza sio kufata mkumbo wa kulaumu ...CCM

Mmebadili majina ili iweje? Porojo nyiing za nin.?
 
Weka full namba ako ya mtihani nitakuangalizia matokeo bureeee cha kufanya
Andika namba ako mfano
Snamba ya shule na namba ako ya mtihani

Koti hii text afu tuma
 
So what is the news?

yanaeleweka vizuri .Sophists we arrogant presocrates philosophers in the ancient Athens who pretend to know everything. Sophists were criticized by Socrates for corrupting the youth through their false arguments. You deserve to be one
 
hapa utatambua watu ambao college imepita pembeni.

Kutwa kujishaua mfumo wa elimu unashuka, wakati wanashindwa kuelewa an almost universal grading system inayotumika sehemu nyingi sana duniani.

Kama hujui tofauti ya distinction na merit, hilo ni tatizo lako, muulize ndugu yako aliyefika chuo kikuu. Kama umefika chuo kikuu, hujui tofauti ya distinction na credit, waliokudahili huko walifanya kosa kubwa sana.

Kama unaamini mtu aliye na matokeo ya "pass" ataweza kuwa competitive kwenye vyuo duniani au kwenye soko la ajira, basi hujui kinachoendelea duniani.

Elimu imeshuka, ndio, lakini huwezi kulaumu necta ku-harmonise mfumo wa elimu, baada ya hapo unauliza nini maana ya gpa ya 5.0.

Unatoa vipi lawama kwa kitu usichokijua hata kidogo?

Wtf?

wewe mimi ni udsm graduate na nina gpa ya 3.7.

Usidhani tunahoji kilofa lofa...

Tunaelewa.

Gpa garading zimekuja o level ili iwe nini.?? Swali hili mbona hamjibu.
 
Weka full namba ako ya mtihani nitakuangalizia matokeo bureeee cha kufanya
Andika namba ako mfano
Snamba ya shule na namba ako ya mtihani

Koti hii text afu tuma

Mkuu bora wewe umeamua kuwasaidia wananchi bure. Big up.
 
wewe mimi ni uds graduate na ning gpa ya 3.7.

Usidhani tunahoji kilofa lofa...

Tunaelewa.

Gpa garading zimekuja o level ili iwe nini.?? Swali hili mbona hamjibu.

Wewe ni mzembe, na hata huko UDSM hukujui kukoje.Sijawahi ona graduate anauliza GPA zikoje.Ulienda Chuoni kufanya nini?kushangaa majengo?

Hauhoji kilofalofa, unahoji kipuuzi-puuzi.

Umesha-ambiwa lengo ni ku-harmonize mfumo wa elimu kati ya basic education na tertiary education, kama huelewi kuwa grading conversion ni kitu cha kawaida sana duniani, wewe hustahili hata kupewa majibu, kwani ni waste of answers.
 
Sema huuelewi huu mfumo mpya wa kutoa matokeo ambao ni Wa GPA sio kutoa lawama tuu kwa CCM! Mfumo huu ni rahisi,fair na ni mzuri sana na huona tofauti na uliopita sema kilicho badilika ni majina tuu!

Kama uelewi jambo uliza sio kufata mkumbo wa kulaumu ...CCM

Yani hii mada ni barometer nzuri sana ya vichwa panzi na walio vizuri kichwani.

Mtu anashinda ku-comprehend simplest of arithmetic ataweza vipi kujua changamoto za elimu? Hawa ndio watu walienda shule kupasi mitihani, sasa wameshamaliza kupasi mitihani, kichwani kweupe kama debe tupu.
 
Back
Top Bottom