Mr. Mangi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,514
- 768
Ndo maana nasema haka kanchi kamekaa kiupigaji vidili njaa. Kweli kitu cha bure kinachokutaka kuingia tu mtandaoni eti tayari kajitokeza mjanja anahitaji elfu 1 kwa kila kichwa kweli! Tubadilike.
kuajiriwa ndo mipaka yako ya akili mpaka ufukuzwe kazi ndo ujue uwezo wako wakutafuta na kuwa mbunifu
