Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
data
Unahitaji kukaa chini na kuisoma huu mfumo vyema kabla ya kuukosoa! Pia una hitaji kuujua mfumo wa marks....kumbuka zamani hakukuwa na B+ wala E kwenye matokeo ya form four! Kwa hiyo kuupitia juu juu na kusema ni mbovu ni kukosa adabu ..!
Umehitaji matokeo sasa nakupa haya hapa chini ya moja ya shule na sidhani kama haya unaweza kuyatumia kuukosoa mfumo wakati hujui marks husika zinapatikanaje!
Ok haya hapa
........
View attachment 226862
[table="width: 70%"]
[tr]
[td="width: 6%"]p0449/0101
[/td]
[td="width: 4%"]m
[/td]
[td="width: 6%"]-
[/td]
[td="width: 4%"]pass
[/td]
[td="width: 58%"]civ - 'd' hist - 'c' geo - 'd' kisw - 'd' engl - 'd' lit eng - 'f'
[/td]
[/tr]
[/table]
i hataMkubwa KINACHOENDELEA KIKO WAZI KABISA.
CCM HAIKUWA TAYARI KUENDELEA NA MFUMO UNAOELEWEKA NA WATANZANIA WENGI.
HIVYO WAMEKUJA NA HZI COSMETICS AMBAZO HAZIELEWEK.
SHULE ZA KATA ZINAZALISHA WATOTO WASIOJIWEZA, HVYO NI BORA KUMPA MTU PASS KULIKO DIV. FOUR..
NI UJINGA MTUPU.
no hazirelate kabisa,kumbuka zamani ukiwa na 75 hapo ni B,leo hiyo 75 ni A ,kwa hiyo no relationship at alldistinction=division one
merit=division two
pass=division three
nadhani itakua hivi
distinction=div one
merit=div two
credit=div three
pass=div four
fail=div zero
kweli kabisa mimi kuna mtu ana merits ya 2.7,ukiipeleka kwa grade za zamani inakuwa three ya 23,Tanzania kichwa cha mwendawazimuDistiction inaanzia point ngap had ngap!?
Tusaidieni tujue ili tulinganishe na sisi wa zamami.
Unaweza kuta mtu ana DIST. Kumbe enzi zile ni div 3.
[table="width: 70%"]
[tr]
[td="width: 6%"]s0259/0018
[/td]
[td="width: 4%"]f
[/td]
[td="width: 6%"]2.4
[/td]
[td="width: 4%"]credit
[/td]
[td="width: 58%"]civ - 'd' hist - 'b' geo - 'd' kisw - 'c' engl - 'b+' lit eng - 'c' phy - 'c' chem - 'd' bio - 'b' b/math - 'd'
[/td]
[/tr]
[/table][/ Asante sana!!
Kama hujaona matokeo yako ya Form 4 2014,Tupia namba yako ya form 4 (Exams number) nami nitakuwekea matokeo yako.
:smile-big: :embarrassed1: :A S embarassed: :disapointed: :heh: :lol: :juggle: